Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Unaweza kuwa sawa lkn hii ya leo ni Penat hakuna utata ni penat ya wazi lkn ushabiki unakutesaImesemwa na wachezaji wa ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha
Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti
Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi
Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata
Mi naona Arabs family their desired result ni kumpa Morroco kombe baada ya Saudia kushindwaImesemwa na wachezaji wa ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha
Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti
Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi
Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata
Kuna kona na kadi ya njano kabla ya penati, sijaelewa ile collision iliyosababisha penati ni kati ya kipa na muArgentina, yule jamaa aliyetandikwa kadi hakuwepo pale, alimtukana refa nini?Unaweza kuwa sawa lkn hii ya leo ni Penat hakuna utata ni penat ya wazi lkn ushabiki unakutesa
Mdomo ulimponza!yule jamaa aliyetandikwa kadi hakuwepo pale, alimtukana refa nini?
Inahusiana nini na maamuzi ya kidwanzi!?View attachment 2445871
Mtasingizia na wachawi , dk ya 68 short on target 0 , mnasingizia wenzenu wanabebwa
Haikuwa penati ile, mpira ulikuwa ushaguswa na mchezaji.Unaweza kuwa sawa lkn hii ya leo ni Penat hakuna utata ni penat ya wazi lkn ushabiki unakutesa
Penalty ni Halali kabisa , kipa alishindwa kugusa mpira , akamgusa mchezaji , angeeanza kugusa mpira kabla ya mchezaji isingekuwa penalty , haya mmefungwa la tatu hukoInahusiana nini na maamuzi ya kidwanzi!?
Team Ronaldo wanateseka sanaView attachment 2445871
Mtasingizia na wachawi , dk ya 68 short on target 0 , mnasingizia wenzenu wanabebwa
Goli la pili mpira uliguswa na wachezaji pia umeona kilichotokea ???Haikuwa penati ile, mpira ulikuwa ushaguswa na mchezaji.
Mpira ni mchezo wq wazi,Acha waendelee kuumia