Nilibisha sasa nimeamini, FIFA wanataka Messi ashinde hili Kombe la Dunia

Nilibisha sasa nimeamini, FIFA wanataka Messi ashinde hili Kombe la Dunia

ila Team Christina Ronaldo mna gubu sana
20221214_183355.jpg
20221214_010732.jpg
 
Lengo la kuwa uwanjani ni kucheza mpira sasa yule golikipa wa croatia alienda kucover mpira au mchezaji...sabb angekuwa na lengo la kucheza boli angefuata mpira sabb ulikuwa umempita yeye kajitega njiani...

Aliyepewa mheshimu RiZIKI yake nipama kuipora kwake ni vigumu mtahangaika sana(bizman)
#Acheni boli litembeee
 
Back
Top Bottom