Nilibisha sasa nimeamini, FIFA wanataka Messi ashinde hili Kombe la Dunia

Nilibisha sasa nimeamini, FIFA wanataka Messi ashinde hili Kombe la Dunia

MESSI DAWA YAKE DOGO KYLIAN E MBAPPE MTU MKAZI UTAONA LEO WAMOROCCO WANAVYOKIMBIZWA ....WAINGEREZA WANAMUELEWA KYLE WALKER ALIKOMA SIKU ILE
 
MESSI DAWA YAKE DOGO KYLIAN E MBAPPE MTU MKAZI UTAONA LEO WAMOROCCO WANAVYOKIMBIZWA ....WAINGEREZA WANAMUELEWA KYLE WALKER ALIKOMA SIKU ILE
Mbappe akomae kwanza kufikia level za Halaand.

Viatu vya Messi na Ronaldo hawezi hata kuvigusa, achilia mbali kuvivaa!
 
Dah wewe kweli huju
Mbappe akomae kwanza kufikia level za Halaand.

Viatu vya Messi na Ronaldo hawezi hata kuvigusa, achilia mbali kuvivaa!
Dah KWELI wewe hujui mpira mbappe wakumringanisha na eerling HALAAND duh
 
Mkuu we cheki refa wa game ya leo uone
Pamoja na magumu yote yale alopitia Morocco [emoji1173]

Binadamu watu wa ajabu sana

Anyway sasa tumuamini nani,wewe unasema Morocco anataka kutunukiwa ubingwa,wengine wanasema Argentina na Messi wanataka wabarikiwe huu ubingwa

Which is Which
 
Yan kama France yang ikitoka ni kher abebe Morocco kulko Argentina
 
Why alalamikiwe Argentina tu kubebwa kwa penalty bandia mara kwa mara na si timu zingine [emoji848][emoji143]
Tofauti na hao failures Ureno. Nani mwingine amelalamika. Au taja penalty unazoona Argentina kapewa kwa upendeleo ?
 
Imesemwa na wachezaji wa Ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha.

Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti!

Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi.

Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata.
FIFA ndio wanachagua mpiga penalty ?

FIFA wangekuwa na Say hii mechi ingekuwa kati ya Brazil na Argentina wala Netherlands, German wasingetoka...

Kwanini ? Bigger Teams more audience more sponsorship money na more advert for the game...

Kwahio bigger teams / names sometimes get favored results maamuzi ya refa yanakuwa influenced..., Pia Host nation asingetoka kwenye makundi...

By the way tuishukuru FIFA under Blatter alifanya Football Associations hata za nchi changa sio na Say..., bila hivyo UEFA (Europe) wangetuendesha sana sisi wengine
 
Changamoto kubwa ya kizazi Cheni ni ufuasi. Huu ufuasi wenu upo kila mahali. Kwenye Dini, Siasa, Muziki na hata mpira. Watu wanaabudu wanadamu wenzao na huwaambii kitu kuhusu hao wawapendao.

Kimsingi kwa jicho la tatu, ilishaonekana. Ili mchezaji awe GOAT ni lazima ashinde kombe la Dunia. Kwa sasa mchezaji anayeheshimika zaidi duniani ni Pele na ndiye mchezaji mkubwa zaidi ya wachezaji wote Duniani toka kuimbwa kwa ulimwengu. Pamoja nankuwa ametokea Brazil ila ni ngozi nyeusi. Ilikuwa ni lazima kwa ngozi nyeupe kuandaa wazi wao watakaokuwa na kuimbwa kuwa ni wachezaji bora zaidi ya Pele. Sikatai Messi ni mchezaji mzuri ila ameandaliwa kwa muda mrefu aonekane kuwa ni bora zaidi ya Pele. Kuna "Bal on dor" zaidi ya mbili ambazo zililazimishwa apewe japo hakudeserve.

Hili kombe la dunia lilishaonekana muda atapewa kwani ndio kombe lake la mwisho kucheza na anaelekea kustaafu ili aonekane ni zaidi ya Pele. Sikuangalia mechi nyingi za Argentina ila ile ya jana niliangalia Kipindi cha kwanza. Haikuwa Penalti ile kwani kipa alishaucheza mpira na mchezaji wa Argentina hakuwa na uwezo wa kuucheza wala kuu kutakuukuta tena ule mpira hivyo kuwa na uhakika wa kufunga goli au kuwa hatari dhidi ya wapinzani wake hata kama aliguswa na golikipa.

Wampe tu kombe lake.
We nawe ni mpumbavu tu kama walivyo wengine.

Huyo Pele mwenyewe hujawahi hata kumuona akicheza.

Tumemuona Messi akicheza na tumewaona hao wengine.

Uchezaji wa Messi ni WA kipekee

He is football genius, maestro.

Ana Kila Kila kitu uwanja unachotaka

Kanyiwa urefu ila haijawahi kuwa kikwazo kwake kukupa matokeo unayotaka na burudani.

Eti kaandaliwa sawa kaandaliwa kwani Pele hakuandaliwa!?

Ujinga mtupu
 
Ndugu yangu Kinengunengu you have wrote nothing but conspiracy, and deep inside you nawewe pia una utimu, udini na itikadi nyingine kama ulivyowahukumia vijana kuwa wanavyo

Nini kilikusababisha uache kufuatilia WC?? Eti sababu Argentina anabebwa???mbona sababu dhaifu/ mfu kabisa???

Ngoja nikutajie team kubwa pengine bila shaka zingemfunga Argentina zilizotoka afu uniambie kuwa zilifanyiwa figisu ili Argentina asikutane nazo

Brazil: alifanyiwa figisu????
Spain: alihujumiwa???
German: alifanyiwa ukiritimba???
Belgium: alifanyiwa njama???
Portugal: alifanyiwa njama???

Hao Argentina wenyewe ni kama tu kisimati tu mungu kaamua hivyo

Alipigwa na saudia akawa anahitaji point sita kwa Mexico na Poland ili afuzu na zile kw a taarifa yako ndio zilikuwa game muhimu kwa Argentina kuliko hata hiyo ya Croatia... Je katika hizo game mbili za Mexico na Poland ambazo zote alishinda goal mbili bila kuna goal penalty (kwasababu nyie tafsir yenu penalty ni kubebwa) tulipata penalty dhidi ya Poland ila tulikosa

Mpira ni mchezo wa wazi wenye waamuz watano katika uwanja plus VAR hivi Argentina angefungwa goal tatu au mbili ya halal wangeyafuta au kuyakataa na dunia inaona???

Mbona game dhidi ya Netherlands ziliongezwa ten minutes hadi tukachomolewa goal ingekuwa yaandaliwa kuwa bingwa na alikuwa keshazidiwa zisingeongezwa hata dakika nane achilia mbali kumi

Mbona hatujaona akifungwa na goal kukataliwa???

Acheni propaganda za ajabu ambazo hazipo kwa sababu timu zenu zimetoka acheni chuki binafsi


Messi mwenyewe ana goal tatu za penalty katika mechi sita na ni za halal lakini zinavyoongelewa utafikiri magoal yote 11 ya Argentina ni penalty

Msiishi kwenye mi conspiracies eti kila kitu mnaamini kuna something behind huo pia ni ugonjwa....ni kweli Wenda watu wengi wanatamani messi ashinde WC lakini sio kuja kusema anaandaliwa, anaandaliwa vipi sasa na akifungwa na team pinzani goal zitafutwa??? Mbona alivyosawazishiwa na Netherlands goal hazikukataliwa??? Na magiant wote waliotoka ambao hawakukutana na Argentina ila walikuwa wanauwezo wa kumfunga na kumtoa pia ni planned???

Hamna hoja mna rukaruka tu


Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hao ni Malofa tu, in MKAPA voice. Wanajitungia tu mambo. FIFA wangekuwa wanataka kumpa Messi WC si wangempa mwaka 2014.
Wazungu wenye fitna wako Ulaya wana wachezaji bora sana kama Johann Cruyff,Andrea Pirlo na hata huyo Ronaldo anatokea Ulaya.
Wangetaka hivyo wangewapa wa Ulaya wenzao kumziba Pele na America kusini yote.
Aliyepewa kapewa,waombee Argentina apoteze fainali nje ya hapo ni kelele tu.
 
Si kila anayemkataa Andunje ni mshabiki wa CR 7.

Unawapangiaje Watu wote duniani wamshabikie huyo Andunje [emoji848]

Ninyi ndiyo huwa mnawaita Watu kuwa ni Waislamu wasiofungamana na sera za USA na EU kusapoti Ukraine kupambana na Russia kisa tu hawamkubali Zelensky (Ukraine), au kuwaita Watu mashoga wanaowakubali USA na EU kisa tu kumkataa (Putin) Russia [emoji16]

Watu tupo duniani zaidi ya B 8 kasoro M 200 afu unataka sote tumkubali Andunje, kweli itakuwa dunia ya Watu wenye akili, si itakuwa ni dunia ya Mazezeta tu [emoji848][emoji1732][emoji1787]
Jinsi ulivyoandika tu hayo majina haisumbui kujua kuwa wewe ni shabiki wa mchezaji gani
 
Imesemwa na wachezaji wa Ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha.

Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti!

Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi.

Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata.
Hakuna kitu kama hicho. Mpira wa miguu unachezwa wazi wazi, na watu wote tunaangalia. Hiyo ni wivu wenu tu nyie team Ronaldo
 
Changamoto kubwa ya kizazi Cheni ni ufuasi. Huu ufuasi wenu upo kila mahali. Kwenye Dini, Siasa, Muziki na hata mpira. Watu wanaabudu wanadamu wenzao na huwaambii kitu kuhusu hao wawapendao.

Kimsingi kwa jicho la tatu, ilishaonekana. Ili mchezaji awe GOAT ni lazima ashinde kombe la Dunia. Kwa sasa mchezaji anayeheshimika zaidi duniani ni Pele na ndiye mchezaji mkubwa zaidi ya wachezaji wote Duniani toka kuimbwa kwa ulimwengu. Pamoja nankuwa ametokea Brazil ila ni ngozi nyeusi. Ilikuwa ni lazima kwa ngozi nyeupe kuandaa wazi wao watakaokuwa na kuimbwa kuwa ni wachezaji bora zaidi ya Pele. Sikatai Messi ni mchezaji mzuri ila ameandaliwa kwa muda mrefu aonekane kuwa ni bora zaidi ya Pele. Kuna "Bal on dor" zaidi ya mbili ambazo zililazimishwa apewe japo hakudeserve.

Hili kombe la dunia lilishaonekana muda atapewa kwani ndio kombe lake la mwisho kucheza na anaelekea kustaafu ili aonekane ni zaidi ya Pele. Sikuangalia mechi nyingi za Argentina ila ile ya jana niliangalia Kipindi cha kwanza. Haikuwa Penalti ile kwani kipa alishaucheza mpira na mchezaji wa Argentina hakuwa na uwezo wa kuucheza wala kuu kutakuukuta tena ule mpira hivyo kuwa na uhakika wa kufunga goli au kuwa hatari dhidi ya wapinzani wake hata kama aliguswa na golikipa.

Wampe tu kombe lake.
Idiot
 
Jinsi ulivyoandika tu hayo majina haisumbui kujua kuwa wewe ni shabiki wa mchezaji gani
Kwahiyo nikiandika La Pulga badala ya Messi tayari inaonesha kuwa namshabikia Messi?

Hayo si majina tu ya utani mitaani au unawaza kwa kutumia nini haswa [emoji848]
 
Imesemwa na wachezaji wa Ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha.

Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti!

Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi.

Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata.
Nadhani huangalii mechi unasikiliza redioni
 
Imesemwa na wachezaji wa Ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha.

Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti!

Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi.

Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata.
Ni Kweli watanzania tuna changamoto nyingi

Lakini nadhani kuwa na vilaza kama wewe halafu tukwaaminisha kwamba muwe huru kujiexpress ni dhambi ambayo itatutafuna Kwa muda mtefu sana

FIFA hapigi penati, hapangi first eleven, hachagui game pattern etc

In fact it’s worse fifa kupanga refa wa ulaya kwenye game kati ya European team na South American team

USHAURI: HATE KISTAARABU
 
Back
Top Bottom