Nilibisha sasa nimeamini, FIFA wanataka Messi ashinde hili Kombe la Dunia

Nilibisha sasa nimeamini, FIFA wanataka Messi ashinde hili Kombe la Dunia

Ndugu yangu Kinengunengu you have wrote nothing but conspiracy, and deep inside you nawewe pia una utimu, udini na itikadi nyingine kama ulivyowahukumia vijana kuwa wanavyo

Nini kilikusababisha uache kufuatilia WC?? Eti sababu Argentina anabebwa???mbona sababu dhaifu/ mfu kabisa???

Ngoja nikutajie team kubwa pengine bila shaka zingemfunga Argentina zilizotoka afu uniambie kuwa zilifanyiwa figisu ili Argentina asikutane nazo

Brazil: alifanyiwa figisu????
Spain: alihujumiwa???
German: alifanyiwa ukiritimba???
Belgium: alifanyiwa njama???
Portugal: alifanyiwa njama???

Hao Argentina wenyewe ni kama tu kisimati tu mungu kaamua hivyo

Alipigwa na saudia akawa anahitaji point sita kwa Mexico na Poland ili afuzu na zile kw a taarifa yako ndio zilikuwa game muhimu kwa Argentina kuliko hata hiyo ya Croatia... Je katika hizo game mbili za Mexico na Poland ambazo zote alishinda goal mbili bila kuna goal penalty (kwasababu nyie tafsir yenu penalty ni kubebwa) tulipata penalty dhidi ya Poland ila tulikosa

Mpira ni mchezo wa wazi wenye waamuz watano katika uwanja plus VAR hivi Argentina angefungwa goal tatu au mbili ya halal wangeyafuta au kuyakataa na dunia inaona???

Mbona game dhidi ya Netherlands ziliongezwa ten minutes hadi tukachomolewa goal ingekuwa yaandaliwa kuwa bingwa na alikuwa keshazidiwa zisingeongezwa hata dakika nane achilia mbali kumi

Mbona hatujaona akifungwa na goal kukataliwa???

Acheni propaganda za ajabu ambazo hazipo kwa sababu timu zenu zimetoka acheni chuki binafsi


Messi mwenyewe ana goal tatu za penalty katika mechi sita na ni za halal lakini zinavyoongelewa utafikiri magoal yote 11 ya Argentina ni penalty

Msiishi kwenye mi conspiracies eti kila kitu mnaamini kuna something behind huo pia ni ugonjwa....ni kweli Wenda watu wengi wanatamani messi ashinde WC lakini sio kuja kusema anaandaliwa, anaandaliwa vipi sasa na akifungwa na team pinzani goal zitafutwa??? Mbona alivyosawazishiwa na Netherlands goal hazikukataliwa??? Na magiant wote waliotoka ambao hawakukutana na Argentina ila walikuwa wanauwezo wa kumfunga na kumtoa pia ni planned???

Hamna hoja mna rukaruka tu


Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
PUMBA [emoji1787]
 
Imesemwa na wachezaji wa Ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha.

Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti!

Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi.

Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata.
Umewaza Kama Mimi,wamefanya mbinu ili kuipa uongozi Argentina kwa goli la kwanza la Mesi,Ile ilikuwa Ni penati ya Mchongo..

Goli lile ndio liliwatoa Croatia mchezoni maana kabla ya goli walikuwa wamewadhibiti vilivyo Argentina.
 
Ndugu yangu Kinengunengu you have wrote nothing but conspiracy, and deep inside you nawewe pia una utimu, udini na itikadi nyingine kama ulivyowahukumia vijana kuwa wanavyo

Nini kilikusababisha uache kufuatilia WC?? Eti sababu Argentina anabebwa???mbona sababu dhaifu/ mfu kabisa???

Ngoja nikutajie team kubwa pengine bila shaka zingemfunga Argentina zilizotoka afu uniambie kuwa zilifanyiwa figisu ili Argentina asikutane nazo

Brazil: alifanyiwa figisu????
Spain: alihujumiwa???
German: alifanyiwa ukiritimba???
Belgium: alifanyiwa njama???
Portugal: alifanyiwa njama???

Hao Argentina wenyewe ni kama tu kisimati tu mungu kaamua hivyo

Alipigwa na saudia akawa anahitaji point sita kwa Mexico na Poland ili afuzu na zile kw a taarifa yako ndio zilikuwa game muhimu kwa Argentina kuliko hata hiyo ya Croatia... Je katika hizo game mbili za Mexico na Poland ambazo zote alishinda goal mbili bila kuna goal penalty (kwasababu nyie tafsir yenu penalty ni kubebwa) tulipata penalty dhidi ya Poland ila tulikosa

Mpira ni mchezo wa wazi wenye waamuz watano katika uwanja plus VAR hivi Argentina angefungwa goal tatu au mbili ya halal wangeyafuta au kuyakataa na dunia inaona???

Mbona game dhidi ya Netherlands ziliongezwa ten minutes hadi tukachomolewa goal ingekuwa yaandaliwa kuwa bingwa na alikuwa keshazidiwa zisingeongezwa hata dakika nane achilia mbali kumi

Mbona hatujaona akifungwa na goal kukataliwa???

Acheni propaganda za ajabu ambazo hazipo kwa sababu timu zenu zimetoka acheni chuki binafsi


Messi mwenyewe ana goal tatu za penalty katika mechi sita na ni za halal lakini zinavyoongelewa utafikiri magoal yote 11 ya Argentina ni penalty

Msiishi kwenye mi conspiracies eti kila kitu mnaamini kuna something behind huo pia ni ugonjwa....ni kweli Wenda watu wengi wanatamani messi ashinde WC lakini sio kuja kusema anaandaliwa, anaandaliwa vipi sasa na akifungwa na team pinzani goal zitafutwa??? Mbona alivyosawazishiwa na Netherlands goal hazikukataliwa??? Na magiant wote waliotoka ambao hawakukutana na Argentina ila walikuwa wanauwezo wa kumfunga na kumtoa pia ni planned???

Hamna hoja mna rukaruka tu


Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Umemaliza kila kitu
Mjadala ufungwe sasa

Sent from my TECNO CG7 using JamiiForums mobile app
 
Naona watu humu wanajificha tu kwenye kichaka cha FIFA kuwabeba Argentina ila utimu fulani tu unawasumbua. Argentina alivyopoteza dhidi ya Saudia mliwananga sana na kusema hana kikosi wala hana mchezo mzuri wa kushinda hili kombe. Wanaume wakasahihisha makosa ikawa mnaanza kusema ngoja akutane na huyu mara kwa huyu hatoboi ila wanaume hao wametinga fainali. Mnatengeza conspiracy theory zenu ili kujifurahisha nafsi zenu ila deep down anachokifanya Argentina mnakiona.
 
Kamsikilize vizuri Dr Licky kwenye review za uchambuzi wa mechi ya leo.

Pia vipi penalty ya Netherland, ilikuwa ndani ya eneo la kipa?

Vipi penalty dhidi ya Poland?

Argentina wako hapo sababu ya mbeleko tu.
Huyo mchambuzi ni mshabiki wa Brazil, na brazil ishatoka
 
Kwa namna Croatia walivyocheza wangeshinda walikua wanastahili, ila Argentina walicheza vizuri kiasi kikubwa walikua na bahati.
Mpira ulistahili kua Kona Kwa faida ya Croatia refa ana peta na Argentina wanaunza haraka wanapata penalty.
Goli la pili counter attack inayo jaribu kuokolewa na Beki wa Croatia anashindwa ku uondoa na kuanguka Mfungaji anafunga Kwa urais.
Goli la tatu juhudi binafsi za Mess na Mfungaji anamalizia.
Kikubwa bahati iliamua mchezo.
 
Kwa namna Croatia walivyocheza wangeshinda walikua wanastahili, ila Argentina walicheza vizuri kiasi kikubwa walikua na bahati.
Mpira ulistahili kua Kona Kwa faida ya Croatia refa ana peta na Argentina wanaunza haraka wanapata penalty.
Goli la pili counter attack inayo jaribu kuokolewa na Beki wa Croatia anashindwa ku uondoa na kuanguka Mfungaji anafunga Kwa urais.
Goli la tatu juhudi binafsi za Mess na Mfungaji anamalizia.
Kikubwa bahati iliamua mchezo.
Ukiangalia mpaka dakika ya 70 croatia hakuwa na shoot on target, hapo Argentina ana 6, bahati inatoka wapi hapo..
 
Kamsikilize vizuri Dr Licky kwenye review za uchambuzi wa mechi ya leo.

Pia vipi penalty ya Netherland, ilikuwa ndani ya eneo la kipa?

Vipi penalty dhidi ya Poland?

Argentina wako hapo sababu ya mbeleko tu.
Kila kitu Dr.licky kwan wewe huna ubongo wa kung'amua jambo na macho ya kuona kinachotokea? Basi fanya kama Argentina wametolewa ili moyo wako utulie shankupe wa Licky
 
Hili kombe nmeacha kuangalia zamani tu, limejaa harufu ya rushwa. Hata sasahiv sifuatilii kabisa kinachoendelea huko.

Toka kupiga kura za muandaaji watu wa ndani kabisa wanasena kulitembezwa rushwa balaa na hao waarabu
Mm toka hao waarabu waaanze ubaguzi sijui tumeshinda kwa ajiri ya dini sijui na waarabu na moroco nikaona kwanini sisi waafrica tunabaguliwa na bado tuhangaike kuangalia huo upuuzi wao
 
Back
Top Bottom