Changamoto kubwa ya kizazi Cheni ni ufuasi. Huu ufuasi wenu upo kila mahali. Kwenye Dini, Siasa, Muziki na hata mpira. Watu wanaabudu wanadamu wenzao na huwaambii kitu kuhusu hao wawapendao.
Kimsingi kwa jicho la tatu, ilishaonekana. Ili mchezaji awe GOAT ni lazima ashinde kombe la Dunia. Kwa sasa mchezaji anayeheshimika zaidi duniani ni Pele na ndiye mchezaji mkubwa zaidi ya wachezaji wote Duniani toka kuimbwa kwa ulimwengu. Pamoja nankuwa ametokea Brazil ila ni ngozi nyeusi. Ilikuwa ni lazima kwa ngozi nyeupe kuandaa wazi wao watakaokuwa na kuimbwa kuwa ni wachezaji bora zaidi ya Pele. Sikatai Messi ni mchezaji mzuri ila ameandaliwa kwa muda mrefu aonekane kuwa ni bora zaidi ya Pele. Kuna "Bal on dor" zaidi ya mbili ambazo zililazimishwa apewe japo hakudeserve.
Hili kombe la dunia lilishaonekana muda atapewa kwani ndio kombe lake la mwisho kucheza na anaelekea kustaafu ili aonekane ni zaidi ya Pele. Sikuangalia mechi nyingi za Argentina ila ile ya jana niliangalia Kipindi cha kwanza. Haikuwa Penalti ile kwani kipa alishaucheza mpira na mchezaji wa Argentina hakuwa na uwezo wa kuucheza wala kuu kutakuukuta tena ule mpira hivyo kuwa na uhakika wa kufunga goli au kuwa hatari dhidi ya wapinzani wake hata kama aliguswa na golikipa.
Wampe tu kombe lake.
Ndugu yangu
Kinengunengu you have wrote nothing but conspiracy, and deep inside you nawewe pia una utimu, udini na itikadi nyingine kama ulivyowahukumia vijana kuwa wanavyo
Nini kilikusababisha uache kufuatilia WC?? Eti sababu Argentina anabebwa???mbona sababu dhaifu/ mfu kabisa???
Ngoja nikutajie team kubwa pengine bila shaka zingemfunga Argentina zilizotoka afu uniambie kuwa zilifanyiwa figisu ili Argentina asikutane nazo
Brazil: alifanyiwa figisu????
Spain: alihujumiwa???
German: alifanyiwa ukiritimba???
Belgium: alifanyiwa njama???
Portugal: alifanyiwa njama???
Hao Argentina wenyewe ni kama tu kisimati tu mungu kaamua hivyo
Alipigwa na saudia akawa anahitaji point sita kwa Mexico na Poland ili afuzu na zile kw a taarifa yako ndio zilikuwa game muhimu kwa Argentina kuliko hata hiyo ya Croatia... Je katika hizo game mbili za Mexico na Poland ambazo zote alishinda goal mbili bila kuna goal penalty (kwasababu nyie tafsir yenu penalty ni kubebwa) tulipata penalty dhidi ya Poland ila tulikosa
Mpira ni mchezo wa wazi wenye waamuz watano katika uwanja plus VAR hivi Argentina angefungwa goal tatu au mbili ya halal wangeyafuta au kuyakataa na dunia inaona???
Mbona game dhidi ya Netherlands ziliongezwa ten minutes hadi tukachomolewa goal ingekuwa yaandaliwa kuwa bingwa na alikuwa keshazidiwa zisingeongezwa hata dakika nane achilia mbali kumi
Mbona hatujaona akifungwa na goal kukataliwa???
Acheni propaganda za ajabu ambazo hazipo kwa sababu timu zenu zimetoka acheni chuki binafsi
Messi mwenyewe ana goal tatu za penalty katika mechi sita na ni za halal lakini zinavyoongelewa utafikiri magoal yote 11 ya Argentina ni penalty
Msiishi kwenye mi conspiracies eti kila kitu mnaamini kuna something behind huo pia ni ugonjwa....ni kweli Wenda watu wengi wanatamani messi ashinde WC lakini sio kuja kusema anaandaliwa, anaandaliwa vipi sasa na akifungwa na team pinzani goal zitafutwa??? Mbona alivyosawazishiwa na Netherlands goal hazikukataliwa??? Na magiant wote waliotoka ambao hawakukutana na Argentina ila walikuwa wanauwezo wa kumfunga na kumtoa pia ni planned???
Hamna hoja mna rukaruka tu
Sent from my TECNO KB7j using
JamiiForums mobile app