fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,758
- 2,713
God did.CHAGUZI NI MBILI; Uchague Kushinda Ukiwa Na Sisi AMA Ushuhudie Sisi Tukishinda [emoji256]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
God did.CHAGUZI NI MBILI; Uchague Kushinda Ukiwa Na Sisi AMA Ushuhudie Sisi Tukishinda [emoji256]
Why alalamikiwe Argentina tu kubebwa kwa penalty bandia mara kwa mara na si timu zingine [emoji848][emoji143]Sasa issue nani anapiga penalt au Argentina kupewa Argentina?
View attachment 2445943Imesemwa na wachezaji wa ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha
Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti
Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi
Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata
Yaan ushaiki ni sawa na ukichaa, unawaona watu wanatoa hoja za kijinga waziwazi kabisa yaan utadhani milevi. Achana nao haoKwa hiyo kipa wa Croatia kumchezea faulo Alvarez nayo ilipangwa na FIFA?
Mkimbio wa Alvarez kuanzia katikati ya uwanja hadi goal nayo imekuwa sponsored by FIFA???
Penalt bandia ni hipi kwa mfano?Why alalamikiwe Argentina tu kubebwa kwa penalty bandia mara kwa mara na si timu z [emoji848][emoji143]
[emoji23][emoji23]Kwa hiyo kipa wa Croatia kumchezea faulo Alvarez nayo ilipangwa na FIFA?
Mkimbio wa Alvarez kuanzia katikati ya uwanja hadi goal nayo imekuwa sponsored by FIFA???
Ila MESSI ni kiumbe hatariImesemwa na wachezaji wa ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha
Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti
Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi
Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata
Hii picha kama vile mwamba CR7 alikua anamuomba kocha amuingize, hio mikono alivoifunga sasa na sura ya kutia hurumaTeam Malalamiko hamkosekanagi
View attachment 2445931
Kamsikilize vizuri Dr Licky kwenye review za uchambuzi wa mechi ya leo.Penalt bandia ni hipi kwa mfano?
👋👋👋Sawa dada, nikuletee nini nikitoka sitimbii?
Lkn nadhan ulisikia official news kina sepp blatter na official wengine wa FIFA wakilalamika khs hio issue. Sitimbii wanakusalimia sana lkn
Dr. Leakey yupo chumba cha VAR au naye anaangalia bandani hapa kwa mtogole🏃Kamsikilize vizuri Dr Licky kwenye review za uchambuzi wa mechi ya leo.
Pia vipi penalty ya Netherland, ilikuwa ndani ya eneo la kipa?
Vipi penalty dhidi ya Poland?
Argentina wako hapo sababu ya mbeleko tu.
Wote wanywa wanzuki tu hao TBC watolee var wapi?Dr. Leakey yupo chumba cha VAR au naye anaangalia bandani hapa kwa mtogole🏃
Penalty 1 tayari ilishatosha kuondoa winning mentality steam ya Croatia, hayo magoli mengine ni mbwembwe tu kufunika mbeleko ya wazi kabisa [emoji1787]Tunasubiri na nyie mkafanye mahojiano ya malalamiko na piers Morgan hayo mengine hayatuhusu, nendeni na nyie mkalalamike huko mkaendeleze maigizo maana mpira umewashinda.
[emoji3] Umeuona mgoli wa tatu lakini ni kwa udhamini wa bahasha toka FIFA.
Kumbe mpira wenyewe unaangalia TBC...sawa usiku mwema nduguKamsikilize vizuri Dr Licky kwenye review za uchambuzi wa mechi ya leo.
Pia vipi penalty ya Netherland, ilikuwa ndani ya eneo la kipa?
Vipi penalty dhidi ya Poland?
Argentina wako hapo sababu ya mbeleko tu.
Ushawishi uwe nao, pesa uwe nazo halafu maisha yakutese utakua kenge na hilo halikubaliki, pona pona yenu msituguse tukiwa ndani ya 18, mkitugusa tu au hata kujaribu kutuongelesha tukiwa ndani ya 18 tunafunika tuta maana tumetembeza bahasha kuanzia FIFA mpaka kwa mabeki zenu.Penalty 1 tayari ilishatosha kuondoa winning mentality steam ya Croatia, hayo magoli mengine ni mbwembwe tu kufunika mbeleko ya wazi kabisa [emoji1787]