Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Interlaced Hands ni ishara ya -Ve Emotion hasa kutokuamin au kujiamini.Hii picha kama vile mwamba CR7 alikua anamuomba kocha amuingize, hio mikono alivoifunga sasa na sura ya kutia huruma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Interlaced Hands ni ishara ya -Ve Emotion hasa kutokuamin au kujiamini.Hii picha kama vile mwamba CR7 alikua anamuomba kocha amuingize, hio mikono alivoifunga sasa na sura ya kutia huruma
Ni kawaida mti wenye matunda kupondwa...Hata ile penalty ya Ronaldo ililalamikiwa.Why alalamikiwe Argentina tu kubebwa kwa penalty bandia mara kwa mara na si timu zingine [emoji848][emoji143]
Nimewasikiliza kina Kalusha Bwalya na wenzie pale studio za Dstv wamefafanua vizuri tu na wote wamekubaliana ni Penati halali.Mimi ni nani hadi niwabishie wataalamu wa mpira huu Barani Africa?Haikuwa penati ile, mpira ulikuwa ushaguswa na mchezaji.
Mkuu kwani Penalty zina mwenyewe! Au Fifa waliwaambia Netherland wakose zile penalty ili Argentina wafuzu?Kamsikilize vizuri Dr Licky kwenye review za uchambuzi wa mechi ya leo.
Pia vipi penalty ya Netherland, ilikuwa ndani ya eneo la kipa?
Vipi penalty dhidi ya Poland?
Argentina wako hapo sababu ya mbeleko tu.
Timu POTIGO [emoji23]
Wakati wewe unamsikiliza Dr Licky,sisi wengine tunawasikiliza kina Kalusha Bwalya na wao wesema ni penati halali.Kamsikilize vizuri Dr Licky kwenye review za uchambuzi wa mechi ya leo.
Pia vipi penalty ya Netherland, ilikuwa ndani ya eneo la kipa?
Vipi penalty dhidi ya Poland?
Argentina wako hapo sababu ya mbeleko tu.
Kwamba Dr Licky pekee ndiye ana macho mazuri ya kutazama mpira kuliko Referee uwanjani Na team ya Marefaree wa VAR?Kamsikilize vizuri Dr Licky kwenye review za uchambuzi wa mechi ya leo.
Pia vipi penalty ya Netherland, ilikuwa ndani ya eneo la kipa?
Vipi penalty dhidi ya Poland?
Argentina wako hapo sababu ya mbeleko tu.
PoleMiss hata tuzo zake zote 2 za Balloon D'O ni za utata.
2010 alilalamikiwa kuchukua tuzo ya aliyekuwa anastahili Iniester.
2020 pia alilalamikiwa sababu alichukua tuzo ya Lewandosky hata Messi naye alikiri hivyo [emoji23]
Miss anaandaliwa kupewa tuzo ya mchongo kwa kupewa penalty zaidi ya 5 zote, anayekataa kuwa life is not fair ajiite Taahira [emoji28]
Dr Licky ndio alikua muamuzi? Yani unamuamini Dr Licky alieko ofisi za TBC kuliko refa na VAR walioko uwanjani? We mwehu nini!Hilo pia Dr Licky kalizungumzia kabisa kipindi cha kwanza, mpaka sasa nishajua FIFA ilishamuandaa mchezaji bora wao wa mchongo na Bingwa wa kombe la dunia 2022 [emoji87]
Dr Licky ni mungu wako?Hilo pia Dr Licky kalizungumzia kabisa kipindi cha kwanza, mpaka sasa nishajua FIFA ilishamuandaa mchezaji bora wao wa mchongo na Bingwa wa kombe la dunia 2022 [emoji87]
Huyo jamaa ni boya achana naye atakua anasubiri matokeo ya 4m 4Dr Licky ndio alikua muamuzi? Yani unamuani Dr Licky alieko ofisi za TBC kuliko refa na VAR walioko uwanjani? We mwehu nini!
Wamependelewa kwenye lipi kwa mfano?penati?Imesemwa na wachezaji wa Ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha.
Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti!
Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi.
Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata.
Waarab si ni waislamu safi rushwa wanatembezaje?!Hili kombe nmeacha kuangalia zamani tu, limejaa harufu ya rushwa. Hata sasahiv sifuatilii kabisa kinachoendelea huko.
Toka kupiga kura za muandaaji watu wa ndani kabisa wanasena kulitembezwa rushwa balaa na hao waarabu
Nchi hii ina mashabiki na wachambuzi wajinga lialia na wapumbavu kabisa. Pale matokeo yasipokuwa kama wanavyopenda basi utaona ujinga na upumbavu waoImesemwa na wachezaji wa Ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha.
Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti!
Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi.
Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata.