Nilibisha sasa nimeamini, FIFA wanataka Messi ashinde hili Kombe la Dunia

Nilibisha sasa nimeamini, FIFA wanataka Messi ashinde hili Kombe la Dunia

Why alalamikiwe Argentina tu kubebwa kwa penalty bandia mara kwa mara na si timu zingine [emoji848][emoji143]
Ni kawaida mti wenye matunda kupondwa...Hata ile penalty ya Ronaldo ililalamikiwa.
Hata Ronaldo angefuzu na Argentina kutoka.
Ungesikia kelele tu kuwa Ronaldo anatafutiwa Kombe la dunia.
Sema tu safari hiyo kelele zitatoka kwa upande wa mashabiki wa Messi kama ambavyo saivi hizi kelele zote zinatoka kwa mashabiki wa ronaldo.
 
Kamsikilize vizuri Dr Licky kwenye review za uchambuzi wa mechi ya leo.

Pia vipi penalty ya Netherland, ilikuwa ndani ya eneo la kipa?

Vipi penalty dhidi ya Poland?

Argentina wako hapo sababu ya mbeleko tu.
Mkuu kwani Penalty zina mwenyewe! Au Fifa waliwaambia Netherland wakose zile penalty ili Argentina wafuzu?
 
Kamsikilize vizuri Dr Licky kwenye review za uchambuzi wa mechi ya leo.

Pia vipi penalty ya Netherland, ilikuwa ndani ya eneo la kipa?

Vipi penalty dhidi ya Poland?

Argentina wako hapo sababu ya mbeleko tu.
Wakati wewe unamsikiliza Dr Licky,sisi wengine tunawasikiliza kina Kalusha Bwalya na wao wesema ni penati halali.
 
Kamsikilize vizuri Dr Licky kwenye review za uchambuzi wa mechi ya leo.

Pia vipi penalty ya Netherland, ilikuwa ndani ya eneo la kipa?

Vipi penalty dhidi ya Poland?

Argentina wako hapo sababu ya mbeleko tu.
Kwamba Dr Licky pekee ndiye ana macho mazuri ya kutazama mpira kuliko Referee uwanjani Na team ya Marefaree wa VAR?
 
20221214_010429.jpg
 
Miss hata tuzo zake zote 2 za Balloon D'O ni za utata.

2010 alilalamikiwa kuchukua tuzo ya aliyekuwa anastahili Iniester.

2020 pia alilalamikiwa sababu alichukua tuzo ya Lewandosky hata Messi naye alikiri hivyo [emoji23]

Miss anaandaliwa kupewa tuzo ya mchongo kwa kupewa penalty zaidi ya 5 zote, anayekataa kuwa life is not fair ajiite Taahira [emoji28]
Pole
848910672.jpg
 
Mpira ungekua unachezewa chumbani sawa tungesema wanabebwa. Hawa Croatia wamefika nusu lakini haikua team bora ukilinganisha na Brazil. Bora wangepigwa na Brazil tungeshuhudia mechi kali semifinal.

Croatia walizidiwa sana na Argentina hasa kwenye eneo la la mwisho kwenye kumalizia na creativity. Wamestahili walichopata.
 
Imesemwa na wachezaji wa Ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha.

Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti!

Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi.

Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata.
Wamependelewa kwenye lipi kwa mfano?penati?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Imesemwa na wachezaji wa Ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha.

Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti!

Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi.

Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata.
Nchi hii ina mashabiki na wachambuzi wajinga lialia na wapumbavu kabisa. Pale matokeo yasipokuwa kama wanavyopenda basi utaona ujinga na upumbavu wao
 
Back
Top Bottom