Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miss hata tuzo zake zote 2 za Balloon D'O ni za utata.Imesemwa na wachezaji wa ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha
Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti
Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi
Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata
Wewe utakua na tatizo kichwani ile penati ili kua ya kupewa kweli au hujui mpiraImesemwa na wachezaji wa ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha
Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti
Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi
Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata
Dr Licky kaikataa kabisa penalty akidai kwa Marefa mahiri aliyezawadiwa penalty angepaswa kulimwa kadi ya njano maana alienda kumvaa kipaWewe utakua na tatizo kichwani ile penati ili kua ya kupewa kweli au hujui mpira
Hilo pia Dr Licky kalizungumzia kabisa kipindi cha kwanza, mpaka sasa nishajua FIFA ilishamuandaa mchezaji bora wao wa mchongo na Bingwa wa kombe la dunia 2022 [emoji87]Goli la pili mpira uliguswa na wachezaji pia umeona kilichotokea ???
Kwa hiyo kipa wa Croatia kumchezea faulo Alvarez nayo ilipangwa na FIFA?Imesemwa na wachezaji wa ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha
Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti
Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi
Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata
Aliokosa mpira akawa amepiga makofi kama anaua mbu na kucheza faulo 🤣Penalty ni Halali kabisa , kipa alishindwa kugusa mpira , akamgusa mchezaji , angeeanza kugusa mpira kabla ya mchezaji isingekuwa penalty , haya mmefungwa la tatu huko
Hao wana chuki na mafanikio ya Argentina kisa timu zao zimeondolewa mapema na Messi ameng'ara mbele yao....wapuuze hao mabeberuImesemwa na wachezaji wa ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha
WapuuuzweeeeeHao wana chuki na mafanikio ya Argentina kisa timu zao zimeondolewa mapema na Messi ameng'ara mbele yao....wapuuze hao mabeberu
technically Greatest Of All Time Bantu Lady Nakadori
Wa ndani wewe huko sitimbii uliwaonea wapiii?? Acheni uzushiiHili kombe nmeacha kuangalia zamani tu, limejaa harufu ya rushwa. Hata sasahiv sifuatilii kabisa kinachoendelea huko.
Toka kupiga kura za muandaaji watu wa ndani kabisa wanasena kulitembezwa rushwa balaa na hao waarabu
Penalties 5 zote hata wewe mchezaji toka Mchambawima usingeng'ara au ni mahaba tu ndiyo yanakuzuzua [emoji848][emoji3][emoji1732]Hao wana chuki na mafanikio ya Argentina kisa timu zao zimeondolewa mapema na Messi ameng'ara mbele yao....wapuuze hao mabeberu
technically Greatest Of All Time Bantu Lady Nakadori
Sasa issue nani anapiga penalt au Argentina kupewa Argentina?Miss hata tuzo zake zote 2 za Balloon D'O ni za utata.
2010 alilalamikiwa kuchukua tuzo aliyekuwa anastahili Iniester.
2020 pia alilalamikiwa sababu alichukua tuzo ya Lewandosky hata Messi naye alikiri hivyo [emoji23]
Miss anaandaliwa kupewa tuzo ya mchongo kwa kupewa penalty zaidi ya 5 zote, anayekataa kuwa life is not fair ajiite Taahira [emoji28]
Huyo kaanzisha na uzi kabisa, sijui ana ushahidi? Hakuwa anaangalia WC toka ilivyoanza mtoano, mpaka timu zinaingia fainali.Hao wana chuki na mafanikio ya Argentina kisa timu zao zimeondolewa mapema na Messi ameng'ara mbele yao....wapuuze hao mabeberu
technically Greatest Of All Time Bantu Lady Nakadori
Rudi usome kanuni na sheria za kutolewa penaltyImesemwa na wachezaji wa ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha
Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti
Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi
Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata
Sawa dada, nikuletee nini nikitoka sitimbii?Wa ndani wewe huko sitimbii uliwaonea wapiii?? Acheni uzushii