Nilibisha sasa nimeamini, FIFA wanataka Messi ashinde hili Kombe la Dunia

Nilibisha sasa nimeamini, FIFA wanataka Messi ashinde hili Kombe la Dunia

Imesemwa na wachezaji wa ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha

Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti

Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi

Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata
Miss hata tuzo zake zote 2 za Balloon D'O ni za utata.

2010 alilalamikiwa kuchukua tuzo ya aliyekuwa anastahili Iniester.

2020 pia alilalamikiwa sababu alichukua tuzo ya Lewandosky hata Messi naye alikiri hivyo [emoji23]

Miss anaandaliwa kupewa tuzo ya mchongo kwa kupewa penalty zaidi ya 5 zote, anayekataa kuwa life is not fair ajiite Taahira [emoji28]
 
Imesemwa na wachezaji wa ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha

Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti

Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi

Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata
Wewe utakua na tatizo kichwani ile penati ili kua ya kupewa kweli au hujui mpira
 
Team Malalamiko hamkosekanagi
FB_IMG_16706989093919099.jpg
 
Imesemwa na wachezaji wa ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha

Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti

Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi

Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata
Kwa hiyo kipa wa Croatia kumchezea faulo Alvarez nayo ilipangwa na FIFA?

Mkimbio wa Alvarez kuanzia katikati ya uwanja hadi goal nayo imekuwa sponsored by FIFA???
 
Penalty ni Halali kabisa , kipa alishindwa kugusa mpira , akamgusa mchezaji , angeeanza kugusa mpira kabla ya mchezaji isingekuwa penalty , haya mmefungwa la tatu huko
Aliokosa mpira akawa amepiga makofi kama anaua mbu na kucheza faulo 🤣
 
Hili kombe nmeacha kuangalia zamani tu, limejaa harufu ya rushwa. Hata sasahiv sifuatilii kabisa kinachoendelea huko.

Toka kupiga kura za muandaaji watu wa ndani kabisa wanasena kulitembezwa rushwa balaa na hao waarabu
Wa ndani wewe huko sitimbii uliwaonea wapiii?? Acheni uzushii
 
Miss hata tuzo zake zote 2 za Balloon D'O ni za utata.

2010 alilalamikiwa kuchukua tuzo aliyekuwa anastahili Iniester.

2020 pia alilalamikiwa sababu alichukua tuzo ya Lewandosky hata Messi naye alikiri hivyo [emoji23]

Miss anaandaliwa kupewa tuzo ya mchongo kwa kupewa penalty zaidi ya 5 zote, anayekataa kuwa life is not fair ajiite Taahira [emoji28]
Sasa issue nani anapiga penalt au Argentina kupewa Argentina?
 
Imesemwa na wachezaji wa ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha

Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti

Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi

Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata
Rudi usome kanuni na sheria za kutolewa penalty
 
Wa ndani wewe huko sitimbii uliwaonea wapiii?? Acheni uzushii
Sawa dada, nikuletee nini nikitoka sitimbii?

Lkn nadhan ulisikia official news kina sepp blatter na official wengine wa FIFA wakilalamika khs hio issue. Sitimbii wanakusalimia sana lkn
 
Back
Top Bottom