Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah nasal sana iwe hvoHili kombe wanachukua France kama 2018 tuu.
AmeeenKombe linarudi Ufaransa
Mi MoroccoPenalty ni Halali kabisa , kipa alishindwa kugusa mpira , akamgusa mchezaji , angeeanza kugusa mpira kabla ya mchezaji isingekuwa penalty , haya mmefungwa la tatu huko
OyaaNimehamahama timu mpaka nimepata timu ya kwenda nayo fainali
Mtu wa kazi haters wanapata tabu😂😂Mbuzi/goat
Acheni umbulula. Mbona walifungwa na Saudia. Kwanini hamukuwaeleza Uholanzi wawafunge watoke. Mfungwr na Morrocco lawama apewe Messi. Mbuzi Kabisa nyie. Kuna wapuuzi juzi wamepewa penati ili wasawazishe wakapaisha. Ukute na wao wanalalamika humu. Mbwa nyie!Changamoto kubwa ya kizazi Cheni ni ufuasi. Huu ufuasi wenu upo kila mahali. Kwenye Dini, Siasa, Muziki na hata mpira. Watu wanaabudu wanadamu wenzao na huwaambii kitu kuhusu hao wawapendao.
Kimsingi kwa jicho la tatu, ilishaonekana. Ili mchezaji awe GOAT ni lazima ashinde kombe la Dunia. Kwa sasa mchezaji anayeheshimika zaidi duniani ni Pele na ndiye mchezaji mkubwa zaidi ya wachezaji wote Duniani toka kuimbwa kwa ulimwengu. Pamoja nankuwa ametokea Brazil ila ni ngozi nyeusi. Ilikuwa ni lazima kwa ngozi nyeupe kuandaa wazi wao watakaokuwa na kuimbwa kuwa ni wachezaji bora zaidi ya Pele. Sikatai Messi ni mchezaji mzuri ila ameandaliwa kwa muda mrefu aonekane kuwa ni bora zaidi ya Pele. Kuna "Bal on dor" zaidi ya mbili ambazo zililazimishwa apewe japo hakudeserve.
Hili kombe la dunia lilishaonekana muda atapewa kwani ndio kombe lake la mwisho kucheza na anaelekea kustaafu ili aonekane ni zaidi ya Pele. Sikuangalia mechi nyingi za Argentina ila ile ya jana niliangalia Kipindi cha kwanza. Haikuwa Penalti ile kwani kipa alishaucheza mpira na mchezaji wa Argentina hakuwa na uwezo wa kuucheza wala kuu kutakuukuta tena ule mpira hivyo kuwa na uhakika wa kufunga goli au kuwa hatari dhidi ya wapinzani wake hata kama aliguswa na golikipa.
Wampe tu kombe lake.
Sema hupendi mpira,unaachaje kuangalia kombe la duniaHili kombe nmeacha kuangalia zamani tu, limejaa harufu ya rushwa. Hata sasahiv sifuatilii kabisa kinachoendelea huko.
Toka kupiga kura za muandaaji watu wa ndani kabisa wanasena kulitembezwa rushwa balaa na hao waarabu
Pamoja na magumu yote yale alopitia Morocco [emoji1173]Mi naona Arabs family their desired result ni kumpa Morroco kombe baada ya Saudia kushindwa
Fans wa Cr7 hao,yaani hapo sasa hivi mioyo yao inanuka CHUKI [emoji38][emoji38][emoji38]View attachment 2445871
Mtasingizia na wachawi , dk ya 68 short on target 0 , mnasingizia wenzenu wanabebwa
Boya humjua boya mwenziye [emoji28]Huyo jamaa ni boya achana naye atakua anasubiri matokeo ya 4m 4
Hata bao la pili na la tatu hayakua mabao yale [emoji38][emoji38][emoji38]Haikuwa penati ile, mpira ulikuwa ushaguswa na mchezaji.
[emoji38][emoji38][emoji38],hao kinachowaumiza na kuwasumbua ni chuki tu hamna kingineAcheni umbulula. Mbona walifungwa na Saudia. Kwanini hamukuwaeleza Uholanzi wawafunge watoke. Mfungwr na Morrocco lawama apewe Messi. Mbuzi Kabisa nyie. Kuna wapuuzi juzi wamepewa penati ili wasawazishe wakapaisha. Ukute na wao wanalalamika humu. Mbwa nyie!
Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Ngada kwenye ubora wako [emoji16]Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,aliewaita utopolo aliwaza mbali sana
Great Thinker [emoji106][emoji847]Changamoto kubwa ya kizazi Cheni ni ufuasi. Huu ufuasi wenu upo kila mahali. Kwenye Dini, Siasa, Muziki na hata mpira. Watu wanaabudu wanadamu wenzao na huwaambii kitu kuhusu hao wawapendao.
Kimsingi kwa jicho la tatu, ilishaonekana. Ili mchezaji awe GOAT ni lazima ashinde kombe la Dunia. Kwa sasa mchezaji anayeheshimika zaidi duniani ni Pele na ndiye mchezaji mkubwa zaidi ya wachezaji wote Duniani toka kuimbwa kwa ulimwengu. Pamoja nankuwa ametokea Brazil ila ni ngozi nyeusi. Ilikuwa ni lazima kwa ngozi nyeupe kuandaa wazi wao watakaokuwa na kuimbwa kuwa ni wachezaji bora zaidi ya Pele. Sikatai Messi ni mchezaji mzuri ila ameandaliwa kwa muda mrefu aonekane kuwa ni bora zaidi ya Pele. Kuna "Bal on dor" zaidi ya mbili ambazo zililazimishwa apewe japo hakudeserve.
Hili kombe la dunia lilishaonekana muda atapewa kwani ndio kombe lake la mwisho kucheza na anaelekea kustaafu ili aonekane ni zaidi ya Pele. Sikuangalia mechi nyingi za Argentina ila ile ya jana niliangalia Kipindi cha kwanza. Haikuwa Penalti ile kwani kipa alishaucheza mpira na mchezaji wa Argentina hakuwa na uwezo wa kuucheza wala kuu kutakuukuta tena ule mpira hivyo kuwa na uhakika wa kufunga goli au kuwa hatari dhidi ya wapinzani wake hata kama aliguswa na golikipa.
Wampe tu kombe lake.