Wewe umesema mwenzio alishaoa ndiyo maana nimeuliza wewe kwanini hujaoa?Kwenye maelezo yangu sijatoa marital status yangu so naweza kuwa nimeoa au sijaoa pia. Nyongeza ya hapo, kuoa ni maaamuzi ya mtu na ndoa sio ya kukurupukia
Amen🙏🏿"Hakuna faida ya uzinzi na uasherati tofauti na kujichosha huku ukipoteza pesa zako"
Mada nzima nimekuelewa hapa na ndio maana nimetuliza kibamia changu..
Lkn kuna roho wa nani nani sijui huko anateta nami ananiambia "unafikiri ukikaa tu utakuja kupata watoto kama kina bill gate"..😂😅
Bwana na asimame upande wangu..
Tatizo mimi sikukosa swaga hadi kuanza kutafuta msaada wa nguvu za giza.Kama wewe tu
So mimi msanii kama bwana Mauki anavyoniita nikimuona naona hanivutii au inakuaje?Umenikumbusha rafiki yangu alikuwa na rafiki yake naye alichanjwa ili apendwe na wanaume wenye pesa..ndele bwana.
Akikutumia na mie ni tag [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namba ya mtaalam please [emoji41]
Kuna mtu namuwinda sana humu ndan
hapa ndo mlipo pigwa!🤣🤣🤣👍dawa fulani hivi nyeusi akachanganya na asali
Huyo lazima ilikuwa uvutiwe naye..haikuwa kwa wenye pesa tu wanaume wote..ila alikuwa anachagua wenye pesa na masharti hakutakiwa kutukana Wala kudharau na masikini wanaomtongoza.So mimi msanii kama bwana Mauki anavyoniita nikimuona naona hanivutii au inakuaje?
Wakat mtu mwenyewe ni weweAkikutumia na mie ni tag [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushindwe ndiyo unataka ukachanje kabisa daa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakat mtu mwenyewe ni wewe
Kwahiyo masikini ak kapuku anatumbuliwa mapemaaaaaaHuyo lazima ilikuwa uvutiwe naye..haikuwa kwa wenye pesa tu wanaume wote..ila alikuwa anachagua wenye pesa na masharti hakutakiwa kutukana Wala kudharau na masikini wanaomtongoza.
Ndio manake umenisumbua sana mwaka wa tatu huu..Ushindwe ndiyo unataka ukachanje kabisa daa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha weee kweli?Ndio manake umenisumbua sana mwaka wa tatu huu..
Wanatumbuliwa ila haikutakiwa kuwatumbua kwa dharauKwahiyo masikini ak kapuku anatumbuliwa mapemaaaaaa
Na picha ntakupiga kabisaa napost Snapchat[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha weee kweli?