Nilichanjwa dawa ya kupendwa na wasichana

Amen🙏🏿
 
Umenikumbusha rafiki yangu alikuwa na rafiki yake naye alichanjwa ili apendwe na wanaume wenye pesa..ndele bwana.
 
Namba ya mtaalam please [emoji41]
Kuna mtu namuwinda sana humu ndan
 
So mimi msanii kama bwana Mauki anavyoniita nikimuona naona hanivutii au inakuaje?
Huyo lazima ilikuwa uvutiwe naye..haikuwa kwa wenye pesa tu wanaume wote..ila alikuwa anachagua wenye pesa na masharti hakutakiwa kutukana Wala kudharau na masikini wanaomtongoza.
 
Huyo lazima ilikuwa uvutiwe naye..haikuwa kwa wenye pesa tu wanaume wote..ila alikuwa anachagua wenye pesa na masharti hakutakiwa kutukana Wala kudharau na masikini wanaomtongoza.
Kwahiyo masikini ak kapuku anatumbuliwa mapemaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…