Nilichekwa sana Style yangu ya malezi ila leo hii watu wanatamani kuniiga

Nilichekwa sana Style yangu ya malezi ila leo hii watu wanatamani kuniiga

Siku zote ishi unavyoona ni sahihi bila kuvunja sheria za nchi wala kukiuka maadili na tamaduni, ukianza kufanya maisha yaendane na fulani ni kiashiria cha wazi kwamba upo weak kwenye maamuzi.

Nimetoka hapa youtube kuangalia mahafali cha chuo fulani huko afrika kusini nimeona mtu anaitwa jina lake kuchukua cheti, kaenda na nguo za kitamaduni na kacheza kwa furaha ngoma ya kitamaduni na hakuna alichokosea.
Facts [emoji817]
 
Umefanya sahihi kasoro kumruhusu aende nyumba za watu.

Anaweza kuwa abused huko sexually usijue.

Na mtoto mwenzie au watoto wakubwa wanaokuja nyumba hiyo hata houseboy au housegirl.

Siku hizi kuna shule za serikali English medium. Naona kama Better kuliko private English medium.
Hizi za serikali za English medium ni zipi Kaka! Ada zake zinakuwaje?
 
Mtoto wako ni jinsia gani, labda tuanzie hapo
 
Bravo!

Watu bado wanajidanganya na kusahau malezi haya.

Mtoto hata hajui kufua, kupasha chai wala hata kujipikia ndio mtu anaita malezi mazuri sikuhizi,

kesho mzazi unafukuzwa kazi, unafariki, n.k mtoto anaanza kupata taabu.

Hata usipopatwa na mabaya huyo mtoto wako akiwa mkubwa atajuta ulivyomlea,

Hawa wa kiume unafungia ndani utadhani unafuga kuku wa kisasa wapi na wapi, ndio mwanzo wa kutengeneza ma introvert

kama hawa wa kike kila kitu wanasaidiwa na house girl huwa inakua ni taabu sana kwenye ndoa,
 
Mtoto wako ni jinsia gani, labda tuanzie hapo
Kidume hiki 😁😁

Yani pua, mdomo, uso tumefanana sasa iweje aishi kwa malezi tofauti, watu tumetembea masaa kufika shule sasa huyu ni nani asitembee dk 25 kufika shule 😂😂
 
Umefanya sahihi kasoro kumruhusu aende nyumba za watu.

Anaweza kuwa abused huko sexually usijue.

Na mtoto mwenzie au watoto wakubwa wanaokuja nyumba hiyo hata houseboy au housegirl.

Siku hizi kuna shule za serikali English medium. Naona kama Better kuliko private English medium.
Mkuu issue ya kuwa abused sexually ni swala la kumuachia mungu tu kwa kweli.

Umakini na ufuatiliahi unahitajika sawa, ila hiwezi kuwa na mwanao muda woote , hvyo mtoto anapaswa kuelimishwa mapema kuhusu maswala hayo na kumpa uhuru wa kukwambia chochote baada ya hapo ni kumwachia mungu sasa
 
Mtoto hata hajui kufua, kupasha chai wala hata kujipikia ndio mtu anaita malezi mazuri sikuhizi,

kesho mzazi unafukuzwa kazi, unafariki, n.k mtoto anaanza kupata taabu.

Hata usipopatwa na mabaya huyo mtoto wako akiwa mkubwa atajuta ulivyomlea,

Hawa wa kiume unafungia ndani utadhani unafuga kuku wa kisasa wapi na wapi, ndio mwanzo wa kutengeneza ma introvert

kama hawa wa kike kila kitu wanasaidiwa na house girl huwa inakua ni taabu sana kwenye ndoa,
Aisee
 
Sasa hivi namalizana na boys wangu kufanya usafi....
 
Hongera kila mtu ana maono yake

Mimi wangu vitu vyote ambavyo ulimkataza ndio maisha yake

Social skills my ass...

Tukutane baadae mie wangu ambaye hana social skills atakuwa ni computer scientist wakati wewe unampetengenza kuwa Katibu wa itikadi na uenezi
 
Back
Top Bottom