Nilichoamua kufanya baada ya kugundua sina uwezo wa kipesa wala akili za kiubunifu za kuikomboa jamii

Nilichoamua kufanya baada ya kugundua sina uwezo wa kipesa wala akili za kiubunifu za kuikomboa jamii

Mimi nikipanda miti yaa Zambarau ,zilipoanza kuiva wanafunzi wa shule ya msingi ikawa njia yao wakipanda lazima wavunjike ,nikaamua kukata.
Nadhani hiyo ndo giving back to the community iliyofeli.
 
Mimi nikipanda miti yaa Zambarau ,zilipoanza kuiva wanafunzi wa shule ya msingi ikawa njia yao wakipanda lazima wavunjike ,nikaamua kukata.
Nadhani hiyo ndo giving back to the community iliyofeli.
Usingeikata mkuu, ungeiacha tu waiue wenyewe!
 
Iwe chai or iwe real, hili ni jambo zuri sana la kupongezwa. Actually kila mtu angefanya nyumbani kwake na mtaa anaoishi in 20 yrs tutakua nchi yenye afya bora sana.

Tunakula matunda at keast every week, ukinaliza ukachukua mbegu ukakausha, ukaipanda hata kwenye chupa ya maji iliokatwa nusu na ikaota tayar ni mche ambao kipindi cha masika unawza kuuhamishia kwenye shimo na ukajua in 3 yrs watu wakala matunda matam bila gharama.

Hongera mkuu
Ni kweli kabisa mkuu ulichoongea.
Kuhusu hii mada, ni kweli kwa 100%. Wenye mashaka wajue tu kuwa sina sababu yoyote ya kudanganya katika hili.
 
Katika dunia ya sasa ambapo mtu anakuonyesha kidonda kikubwa mguuni chenye kutoa wadudu lakini baada ya kumsaidia unakuja kugundua kuwa hakikuwa kidonda bali anajua mwenyewe alichofanya........

Katika dunia ya sasa ambapo bibi wa miaka 60 anaweza kujigeuza wa miaka 18 kwa makosmetics......

Upo sahihi tu kutoamini chochote unachoona au kuambiwa.

Swali langu tu kwako ni kuwa hapo kigumu ni nini kwa mtu aliyeamua kufanya?!!!!!
 
Back
Top Bottom