Nilichobaini kwa watu wa Njombe

Karibu sana mhishimiwa,,nitakupokea kwa ukarimu woote kabisa
 
Nakili kuwa nisengeoa njombe sijuw maisha yangekuwaje kuna wakati mambo yaligoma kabsa nikamwambia wife arud home ili nijipange akagoma na kusema kama kufa njaa basi tufe wote just emegin kwao wana kila kitu kwa upendo alionao kwangu hata nikitaka kuchepuka mwili unasinyaa kabsa najiona nitatenda kosa kubwa sana saruti sana wananjombe
 
Unakaribishwa mno Njombe!
 
Njombe ni paziri sana na wenyeji ni wakarimu mnoo, lkn naomba kujua na kuuliza pia, walio jijenga sana pale Mjini ni waKinga au wa Bena wenyewe? maana nimekaa km miezi 6 pale, huwez amini karibu % kubwa ukienda ktk nyumba/makazi yao Baba kafariki !!(Nina ushahidi wa kutosha kutokana na kazi ya mipangomiji niliokua naifanya), je ni kwa ajili HIV kua ipo kwa kiwango kikubwa au kuna tabia flan ya kuhusu Mali!??
 
kalibu njombe-makowo kwa kilimo cha viazi
Nashukuru sana mkuu!

Kumbe Makowonni eneo? Mimi nilifikiri ni msamiati wa kikwenu wenye maana nyingine tofauti na nijuacho.

Nashukuru kwa mwaliko, lakini Mimi nimelenga kilimo cha parachichi.

Nataka na mimi niwe "bilionea" wa parachichi kama akina NEMES GREEN GARDEN!
 
Tuwekee picha zao japo hata moja tuthibitishe tu
 
Rate ya ukimwi huko iko juu sana sana kuwa makini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…