Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wakuu wa jukwaa
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Kati ya huu mgogoro unaondelea chin chin kati ya wasafi na clouds nimegundua NGUVU YA UMMA IKO NYUMA YA DIOMOND
Yaan japo jana mitandaon watu wenye wafuas wengi walikuwa nyuma ya luge lakin watu wengi ukisoma coment zao wanamuunga mkono diomond kwa nguvu na akili zao zote
Jana nahis clouds walikuwa wanahaha kinoma na kuona kabisa ndo wamefika tamati maana wameshikwa pabaya
Baada ya kusaga kuona biashara yake inaenda kufa maana aliona nguvu ya umma iko nyuma ya wasafi akaomba msamaha fasta kwa salam
Ruge unachoweza ni kulilia mademu tu lakin huna chochote
Siku magufur akimua akuache peke yako makonda atakunyosha kisawa sawa kwa sasa nguvu yako iko kwa magu tu hata wasanii wamekuchoka ile mbaya yaan magu akikuacha tu siku hiyo utaisoma namba
Wasafi wanauwezo wa kuifuta clouds ndan ya week moja na ikabak historia
BOY FROM LONDON
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Kati ya huu mgogoro unaondelea chin chin kati ya wasafi na clouds nimegundua NGUVU YA UMMA IKO NYUMA YA DIOMOND
Yaan japo jana mitandaon watu wenye wafuas wengi walikuwa nyuma ya luge lakin watu wengi ukisoma coment zao wanamuunga mkono diomond kwa nguvu na akili zao zote
Jana nahis clouds walikuwa wanahaha kinoma na kuona kabisa ndo wamefika tamati maana wameshikwa pabaya
Baada ya kusaga kuona biashara yake inaenda kufa maana aliona nguvu ya umma iko nyuma ya wasafi akaomba msamaha fasta kwa salam
Ruge unachoweza ni kulilia mademu tu lakin huna chochote
Siku magufur akimua akuache peke yako makonda atakunyosha kisawa sawa kwa sasa nguvu yako iko kwa magu tu hata wasanii wamekuchoka ile mbaya yaan magu akikuacha tu siku hiyo utaisoma namba
Wasafi wanauwezo wa kuifuta clouds ndan ya week moja na ikabak historia
BOY FROM LONDON