Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Ubalozi apewe Dr Silaa kwa vigezo vipi, that is too bad
Ni Balozi wa taifa letu nchini Sweden, is that bad ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Balozi wa taifa letu nchini Sweden, is that bad ?
Kwa sababu alikubali kuisaliti alichokuwa akikiamini.Ubalozi apewe Dr Silaa kwa vigezo vipi, that is too bad
Ili wateseke tano tenaNi tano tena
Kwani mateso wanayaona. Husikii bosi kapiga simu kwa walimu Jana? Unaambiwa wamefurahi Sana japo simu ilipigwa kwa Waziri Jenister Mhagama kwa niaba ya walimu.Ili wateseke tano tena
Wewe uliyenazo umezifanyia nini kama sio kulalamika kwenye keyboard ya simu yako?Matumishi ya umma hayana akili!
Wale ni makada ujui drama zao yaani boss apige tu simu bila kuwaandaa kwani aogopi aibu Yale ni maigizo.Kwani mateso wanayaona. Husikii bosi kapiga simu kwa walimu Jana? Unaambiwa wamefurahi Sana japo simu ilipigwa kwa Waziri Jenister Mhagama kwa niaba ya walimu.
Kumbe ndiyo kuishi kishetani imedhihirika?Wanatekeleza ILANI ya chama, hawamu hii wote tuliahidiwa kuishi kama shetani, chuki imeongezeka sana kipindi hiki. Sikushawishi uamini.
[emoji1787][emoji1787] una akili tatanishi..!!Sasa huyo magufuli ametubana katika lipi! Kama kujenga nyumba za kuishi, wengi tulijenga na kubweteka enzi za JK! Kwa sasa mabenki yashusha riba na kuongeza miaka ya kukopa kutoka 5 mpaka 7!...
Hakuna mtanzania mwenye uwezo wa kuandamana, sio Watumishi wa Umma, waliojiajiri binafsi wala wananchi wasio na kazi.
Hakuna, hakuna, hakuna, wangekuwepo wenye uthubutu huo Hawa wanafunzi jobless waliomaliza vyuo tangu 2015 wangeshaandamana.
Watanzania wana nidhamu ya uoga tangu enzi.
Namba 2 sio kweli kabisa ni usanii tuHabari Wana wa JF.
Niende madani.
Tangu Rais Magufuli aingie madarakani mwaka 2015, kumekuwa na mabadiliko ktk utumishi wa umma. Kuna mengi ila nizungumzie haya machache.
1. Mosi, watumishi wa umma wengi wamefungua maduka madogo ya rejareja ili kujikimu kimaisha.
2. Pili, watumishi wengi wa umma wanajituma na wamekuwa waoga kazini kwa viongozi wa serikali.
3 Tatu, watumishi wa umma wanaelekeza hasira zao kwa viongozi wao wanaowasimamia vituoni. Mkuu wa ofisi asipokuwa makini atagombana na wenzake wote.
4. Nne, watumishi wa umma wengi wanaombeana mabaya na hufurahi Sana kusikia fulani katumbuliwa. Mtu husuuzika nafsi yake kisa kasikia kiongozi wa ofisini kwao, jirani au hata kiongozi mkubwa huko juu katumbuliwa.
5. Tano, watumishi wa umma wamejawa na wivu na majungu miongoni mwao na wengi wanaombeana mabaya.
Ni hayo machache tu nimeyagundua kipindi hiki.
Watu huwa wanaandika humu kuwa Watumishi wa Tanzania ni waoga sana has a Waalimu, hawajitambui kwakuwa wananyanyaswa ila hawaandamani kudai haki zaoHuu ndio ukweli, wakulima kila siku wanalalamika kupangiwa bei ya mazao au stakabadhi ghalani ila hakuna hata mmoja aliyeandamana. Kwanini tuandamane watumishi tu?
Wanawatuma watumishi kama chamboWatu huwa wanaandika humu kuwa Watumishi wa Tanzania ni waoga sana has a Waalimu, hawajitambui kwakuwa wananyanyaswa ila hawaandamani kudai haki zao
SWALI: Je ni kada ipi wanaoandamana? Wasio na ajira miaka nenda rudi kimya, Wakulima kimya, wafanya biashara kodi zilipandishwa hadi wengine wakafunga biashara zao kimya, wanafunzi, Wanachuo kimya
Ni Mtanzania yupi mwenye uthubutu huo?
Maamuzi magumu yenyewe ndio hayo ya kutoroka muda wa kazi? Kazi ipoSasa huyo magufuli ametubana katika lipi! Kama kujenga nyumba za kuishi, wengi tulijenga na kubweteka enzi za JK! Kwa sasa mabenki yashusha riba na kuongeza miaka ya kukopa kutoka 5 mpaka 7...
Kama aliyekuzaa, sema baadhi ndio hawana akili, siwezi kumpa kura shamba na limbukeniMatumishi ya umma hayana akili!
Kumbukumbu zinaonesha ni walimu na madaktari tu ndio wenye uthubutu wa kugoma hapa Tanzania.Labda waalimu
Mmeshindwa kuwashiwi saivi mnawatukanaMatumishi ya umma hayana akili!