Nilichogundua kwa watumishi wa umma zama hizi za Rais Magufuli

Nilichogundua kwa watumishi wa umma zama hizi za Rais Magufuli

Wabongo hawahawa unaowajua! Save post.
Save post ya nini kuharibu memory tu kwa upumbavu, jana Lissu toka saa 4 asubuhi mpaka saa 4 za usiku yupo korokoroni hapo kimara kwa mbele tu anahenyeshwa na police lakini Hakuna wananchi waliosogelea eneo la tukio japo kwa umbali wa meters 10 tu

Leo nimeshangaa kuona video twitter CCM wakichana bendera za chadema Moshi mjini tena stendi mchana kweupe na wapiga debe kwa mamia wapo wanashuhudia, unaongea nini wewe?
 
Maamuzi magumu yenyewe ndio hayo ya kutoroka muda wa kazi? Kazi ipo
Hii ndiyo njia rafiki na uenye manufaa kwa mwajiri asiyekujali. Hakuna mwandamu asiyependa maisha mazuri.
 
Kwani mateso wanayaona. Husikii bosi kapiga simu kwa walimu Jana? Unaambiwa wamefurahi Sana japo simu ilipigwa kwa Waziri Jenister Mhagama kwa niaba ya walimu.
Japo simpunguzii wala kumuongezea chochote, sijui kwanini huwa namchukia Jenister Mhagama!
 
Save post ya nini kuharibu memory tu kwa upumbavu, jana Lissu toka saa 4 asubuhi mpaka saa 4 za usiku yupo korokoroni hapo kimara kwa mbele tu anahenyeshwa na police lakini Hakuna wananchi waliosogelea eneo la tukio japo kwa umbali wa meters 10 tu

Leo nimeshangaa kuona video twitter CCM wakichana bendera za chadema Moshi mjini tena stendi mchana kweupe na wapiga debe kwa mamia wapo wanashuhudia, unaongea nini wewe?
Tulia usiwe na jazba
 
Kashaondoka,..nasubiria utafiti wako kipind hiki Cha mama
 
Back
Top Bottom