Nilichogundua, Tanzania hata atawale malaika bila akili za watu kufunguka hatuwezi endelea inavyotakiwa kamwe

Nilichogundua, Tanzania hata atawale malaika bila akili za watu kufunguka hatuwezi endelea inavyotakiwa kamwe

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Leo nimekutana na Habari Mkuu wa Mkoa wa Dar kaenda na kamati yake ya Ulinzi na Usalama Wavuvi Kempu na kawapiga biti kuhusu clip iliyorushwa inayoonesha namna watu wanavyokula bata.

Mbaya zaidi baada ya Amos Makala kuongea kaongea kiongozi mwingine sijui nani nae akapiga biti kuhusu club hiyo kuuza vinywaji asubuhi.

Nimeona pia habari ya kiongozi mmoja akitoa habari kuwa kuna vifaranga viliagizwa kutoka nje vimefia Airport.

Baada ya habari hizi nilichogundua ni kwamba kwa hapa Tanzania hata atawale malaika hatuwezi pata maendeleo tunayotakiwa kuyapata kamwe.

Ukiona taifa viongozi wanaenda kupiga marufuku sehemu ya starehe iliyopo ufukweni inayolipa kodi na kuingiza mapato, iliyoajiri watanzania na kuwalipa mishahara inayowawezesha kuhudumia familia zao kufanya biashara asubuhi basi ujue hiyo sehemu shida ni akili za watu.

Tanzania tuna safari ndefu sana.
FB_IMG_1672665905110.jpg
 
Bata zingine sasa hivi ni za "Wauza Unga" na dalili zinaonyesha fedha chafu za Unga/ madawa ya kulevya zimerudi kwa kasi ya mwanga( speed of light).
Eti jitu linapeleka Cash Dola Milioni 18 Bank ?!!
Kweli Hayati Magufuli alikuwa Mwamba!
Acha akili za kimaskini wewe. Sasa kuna shida gani mtu kupeleka cash dola Mil 18 bank?

Kuna watu akili zenu zimejaa ufukara tu
 
Acha akili za wivu ..kila mtu anajua anapopata ela zake ...ugumu wako wa maisha ndio unafanya uone watu wanachezea hela ila Ni kawaida xnaa 😀
Bata zingine sasa hivi ni za "Wauza Unga" na dalili zinaonyesha fedha chafu za Unga/ madawa ya kulevya zimerudi kwa kasi ya mwanga( speed of light).
Eti jitu linapeleka Cash Dola Milioni 18 Bank ?!!
Kweli Hayati Magufuli alikuwa Mwamba!
 
Leo nimekutana na Habari Mkuu wa Mkoa wa Dar kaenda na kamati yake ya Ulinzi na Usalama Wavuvi Kempu na kawapiga biti kuhusu clip iliyorushwa inayoonesha namna watu wanavyokula bata.

Mbaya zaidi baada ya Amos Makala kuongea kaongea kiongozi mwingine sijui nani nae akapiga biti kuhusu club hiyo kuuza vinywaji asubuhi.

Nimeona pia habari ya kiongozi mmoja akitoa habari kuwa kuna vifarangq viliagizwa kutoka nje vimefia Airport.

Baada ya habari hizi nilichogundua ni kwamba kwa hapa Tanzania hata atawale malaika hatuwezi pata maendeleo tunayotakiwa kuyapata kamwe.

Ukiona taifa viongozi wanaenda kupiga marufuku sehemu ya starehe iliyopo ufukweni inayolipa kodi na kuingiza mapato, iliyoajiri watanzania na kuwalipa mishahara inayowawezesha kuhudumia familia zao kufanya biashara asubuhi basi ujue hiyo sehemu shida ni akili za watu.

Tanzania tuna safari ndefu sana.View attachment 2466793
Naunga mkono hoja🤝
Hii Tanzania ngumu hii, labda mwendazake na mwendawazimu wangesukuma gurudumu.​
 
Leo nimekutana na Habari Mkuu wa Mkoa wa Dar kaenda na kamati yake ya Ulinzi na Usalama Wavuvi Kempu na kawapiga biti kuhusu clip iliyorushwa inayoonesha namna watu wanavyokula bata.

Mbaya zaidi baada ya Amos Makala kuongea kaongea kiongozi mwingine sijui nani nae akapiga biti kuhusu club hiyo kuuza vinywaji asubuhi.

Nimeona pia habari ya kiongozi mmoja akitoa habari kuwa kuna vifarangq viliagizwa kutoka nje vimefia Airport.

Baada ya habari hizi nilichogundua ni kwamba kwa hapa Tanzania hata atawale malaika hatuwezi pata maendeleo tunayotakiwa kuyapata kamwe.

Ukiona taifa viongozi wanaenda kupiga marufuku sehemu ya starehe iliyopo ufukweni inayolipa kodi na kuingiza mapato, iliyoajiri watanzania na kuwalipa mishahara inayowawezesha kuhudumia familia zao kufanya biashara asubuhi basi ujue hiyo sehemu shida ni akili za watu.

Tanzania tuna safari ndefu sana.View attachment 2466793
Usichokijua kuwa Ukipita Shortcut utafika tu ila hauko salama maana siyo njia elekezi.

Serrikali yetu ina mapungufu kibao, ila kwa kuzuia machafu na kusafisha njia ya kuingiza kipato kwa njia za halali ni suala muhimu sana. Unalipa kodi ndiyo lakini kodi hiyo inatokana na kuondoa akili za wtu kwa kuwuzia pombe!!! Haya ni maajabu yanayoshabikiwa. Nchi haiwezi kuendelea wakati uridhi wake na fahari yake ni Kilimanjaro na Serengeti,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Leo nimekutana na Habari Mkuu wa Mkoa wa Dar kaenda na kamati yake ya Ulinzi na Usalama Wavuvi Kempu na kawapiga biti kuhusu clip iliyorushwa inayoonesha namna watu wanavyokula bata.

Mbaya zaidi baada ya Amos Makala kuongea kaongea kiongozi mwingine sijui nani nae akapiga biti kuhusu club hiyo kuuza vinywaji asubuhi.

Nimeona pia habari ya kiongozi mmoja akitoa habari kuwa kuna vifarangq viliagizwa kutoka nje vimefia Airport.

Baada ya habari hizi nilichogundua ni kwamba kwa hapa Tanzania hata atawale malaika hatuwezi pata maendeleo tunayotakiwa kuyapata kamwe.

Ukiona taifa viongozi wanaenda kupiga marufuku sehemu ya starehe iliyopo ufukweni inayolipa kodi na kuingiza mapato, iliyoajiri watanzania na kuwalipa mishahara inayowawezesha kuhudumia familia zao kufanya biashara asubuhi basi ujue hiyo sehemu shida ni akili za watu.

Tanzania tuna safari ndefu sana.View attachment 2466793


Alisema mwamba John Pombe Magufuli mkamkatalia.... na mtakubali tuu


Rest well mwamba John Pombe Magufuli

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hasan
 
Usichokijua kuwa Ukipita Shortcut utafika tu ila hauko salama maana siyo njia elekezi.

Serrikali yetu ina mapungufu kibao, ila kwa kuzuia machafu na kusafisha njia ya kuingiza kipato kwa njia za halali ni suala muhimu sana. Unalipa kodi ndiyo lakini kodi hiyo inatokana na kuondoa akili za wtu kwa kuwuzia pombe!!! Haya ni maajabu yanayoshabikiwa. Nchi haiwezi kuendelea wakati uridhi wake na fahari yake ni Kilimanjaro na Serengeti,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Unajua TBL inalipa kiasi gani kwa mwaka TRA? Unaweza kuta kama wewe ni muajiliwa wa serikali basi mshahara wako unatokana na kodi ya TBL?
 
Back
Top Bottom