Nilichogundua, Tanzania hata atawale malaika bila akili za watu kufunguka hatuwezi endelea inavyotakiwa kamwe

Nilichogundua, Tanzania hata atawale malaika bila akili za watu kufunguka hatuwezi endelea inavyotakiwa kamwe

Anafundisha maisha ya ujima, katika nchi zilizostaarabila na kuendelea hakuna mtu anayehangaika umekunywa au umevaa nini kwa muda upi.
Tanzania ni mojwawapo ya nchi hizo?

Hakuna mifano ya "nchi zilizostaarabika na kuendelea" duniani zisizofuata mambo hayo?
Hicho ndiyo kipimo pekee cha nchi "kustaarabika na kuendelea"?
 
Back
Top Bottom