Nilichogundua, Tanzania hata atawale malaika bila akili za watu kufunguka hatuwezi endelea inavyotakiwa kamwe

Nilichogundua, Tanzania hata atawale malaika bila akili za watu kufunguka hatuwezi endelea inavyotakiwa kamwe

Na hiyo ndo shida! kwa nini wamsumbue huyu mwekezaji?

Watu wameanza kuipenda sehemu yake na recently imekuwa ikigain popularity sana. Kwa viongozi wenye akili hapa walitakiwa wachochee hii popularity ya club yake kukua zaidi huku wakiweka mikakati ya kukusanya mapato vizuri kutoka kwenye ukuaji huo.

kwenda kumpiga biti za kishamba ni kuua ile biashara na kukosesha mapato makubwa sana ambayo tungeingiza.

Mie hadi washkaji zangu wakenya walianza kupanga safari kuja bongo kula bata wavuvi keep ila kwa tangazo hili sijui kama wataendelea na mipango yao
Labda haujawahi kufuatilia post zangu, lini mimi nimekubaliana na utendaji wa serikali? Embu rudi usome tena post yangu ya kwanza.
 
Una elimu gani we mtu? Watu kufanya starehe zao bila kumbughuzi mtu ndo holela?

Nini maana ya holela? Kwani kuna tuhuma za watoto kununua pombe wavuvi kempu? Au haya unayazua wewe?
Hiyo holela nimeisema kiujumla katika jamii yetu watu wengi wanafanya mambo kiholela.

Nimesema umri kwa sababu wewe unataka tuwaige huko mbele, nimekwambia unataka tuanze kuulizana vitambulisho kila tukienda kununua pombe hata madukani achilia mbali bar?
 
Labda haujawahi kufuatilia post zangu, lini mimi nimekubaliana na utendaji wa serikali? Embu rudi usome tena post yangu ya kwanza.
Wewe ndo hujaelewa mada. Wavuvi kempu ni sehemu ya starehe iliyo eneo la ufukweni, ni sehemu iliyopata umaarufu sana hivi karibuni na kuvutia watu wengi wageni na watanzania. wanafanya biashara hasa hivi karibuni. hawana tuhuma zozote za kuuza vinywaji kwa watoto au dawa za kulevya.

Ni clip za wahudumu waliovaa wavazi ya ufukweni ndo zimefanya mkuu wa mkoa kwenda hapo na kuanza kuwapiga marufuku. mbaya zaidi kuna kiongozi mwingine akawapiga marufuku kuuza vinywaji asubuhi.

Kwa hiyo government intervention tu kuih alisia serikali imeua hii biashara na imekosesha mapato makubwa ambayo ingepata kupitia sehemu hii ya biashara. Huko ndo kukosa akili kwa watu/ viongozi wetu kunakozungumziwa kwenye hii mada
 
Hiyo holela nimeisema kiujumla katika jamii yetu watu wengi wanafanya mambo kiholela.

Nimesema umri kwa sababu wewe unataka tuwaige huko mbele, nimekwambia unataka tuanze kuulizana vitambulisho kila tukienda kununua pombe hata madukani achilia mbali bar?
kuiga mambo mazuri sio jambo baya , kuiga mambo ya hovyo ndo jambo baya.

Kama ukienda Rukwa unaona barabara ya songwe- rukwa imejengwa kwa msaada wa watu wa marekani, kituo cha umeme msamvu kimejengwa kwa msaada wa watu wa marekani, lazima utilise hizo hela marekani anapataje?

Ukichunguza unagundua kuna hela nyingi marekani anatengeneza kupitia mambo ya bata tu. Sasa kwa nini hawa viongozi wetu hawajifunzi? Maeneo ya bata ni vyanzo vizuri vya mapato na yanatakiwa kufanya kazi masaa 24 ili yaingize mapato
 
Wewe ndo hujaelewa mada. Wavuvi kempu ni sehemu ya starehe iliyo eneo la ufukweni, ni sehemu iliyopata umaarufu sana hivi karibuni na kuvutia watu wengi wageni na watanzania. wanafanya biashara hasa hivi karibuni. hawana tuhuma zozote za kuuza vinywaji kwa watoto au dawa za kulevya.

Ni clip za wahudumu waliovaa wavazi ya ufukweni ndo zimefanya mkuu wa mkoa kwenda hapo na kuanza kuwapiga marufuku. mbaya zaidi kuna kiongozi mwingine akawapiga marufuku kuuza vinywaji asubuhi.

Kwa hiyo government intervention tu kuih alisia serikali imeua hii biashara na imekosesha mapato makubwa ambayo ingepata kupitia sehemu hii ya biashara. Huko ndo kukosa akili kwa watu/ viongozi wetu kunakozungumziwa kwenye hii mada
Sasa unalingalisha Wavuvi Kemp na Las Vegas nimekuuliza unajua sheria zilizoianzisha na zinazoiendesha Las Vegas?

Je Wavuvi Kemp ipo designated area kama huko Las Vegas ulipopalinganisha na leseni yake inamruhusu kuuza pombe masaa 24?

Kabla haujasema mtu anaonewa, kwanza tuangalie na yeye alipojikwaa.

Issue ni kwamba kwa nini serikali inapick and choose wapi na kwa nani kuenforce sheria? Hiyo ndiyo inabidi iwe mada.
 
Kuwepo na sheria za muda wa kuuza chakula pia, sio watu mnakula kula tu muda wote[emoji16].
Kuwepo na sheria za muda wa kuangalia TV
Kuwepo na sheria za muda wa kuingia mitandaoni
Tuishi kama Korea Kaskazini kwa Kiduku[emoji16]
Uhuru umezidi nchi hii 🤣😂🤣
 
Sasa unalingalisha Wavuvi Kemp na Las Vegas nimekuuliza unajua sheria zilizoianzisha na zinazoiendesha Las Vegas?

Je Wavuvi Kemp ipo designated area kama huko Las Vegas ulipopalinganisha na leseni yake inamruhusu kuuza pombe masaa 24?

Kabla haujasema mtu anaonewa, kwanza tuangalie na yeye alipojikwaa.

Issue ni kwamba kwa nini serikali inapick and choose wapi na kwa nani kuenforce sheria? Hiyo ndiyo inabidi iwe mada.
Wewe umeiona leseni ya wavuvi kemp?

Hakuna sheria ya mavazi ya kuvaa kwenye sehemu za bata Tanzania! Kilichofanyika ni utashi tu wa viongozi kutokana na ushamba wao

Pia sijaona Sheria zinazosema sehemu za starehe zisiuze pombe au kufanya kazi masaa 24 kwa hapa Tanzania. kama zipo tuwekee hapa
 
Wewe umeiona leseni ya wavuvi kemp?

Hakuna sheria ya mavazi ya kuvaa kwenye sehemu za bata Tanzania! Kilichofanyika ni utashi tu wa viongozi kutokana na ushamba wao

Pia sijaona Sheria zinazosema sehemu za starehe zisiuze pombe au kufanya kazi masaa 24 kwa hapa Tanzania. kama zipo tuwekee hapa
Unanipa kazi ambayo unatakiwa uifanye mwenyewe.

Hapo juu nimekuonyesha sheria ya New York. Ngoja nikupe ya England na Scotland.

In England and Wales, the pubs generally open 11am and close at 11pm, with some staying open later.

By law, one can buy and consume alcohol till 11pm.

If an establishment lets people drink past this time, then they should have an extension licence, which permits them to serve alcohol after these hours.

In Scotland alcohol can be sold between the hours of 10am and 10pm.

Pubs and clubs are different and can stay open until the early hours if they are granted a licence.

Huku ndiyo unataka tuwaige ila unaona sheria zao?
 
ilikuwa kama hivi?
20221118_190811.jpg
 
Unanipa kazi ambayo unatakiwa uifanye mwenyewe.

Hapo juu nimekuonyesha sheria ya New York. Ngoja nikupe ya England na Scotland.

In England and Wales, the pubs generally open 11am and close at 11pm, with some staying open later.

By law, one can buy and consume alcohol till 11pm.

If an establishment lets people drink past this time, then they should have an extension licence, which permits them to serve alcohol after these hours.

In Scotland alcohol can be sold between the hours of 10am and 10pm.

Pubs and clubs are different and can stay open until the early hours if they are granted a licence.

Huku ndiyo unataka tuwaige ila unaona sheria zao?
Mbona unazidi kuleta mifano ambayo umeshapewa majibu yake? Mie nimekupa Ras Vegas ambapo pub, casino na sehemu zote za starehe zinafanya kazi 24 hours

Hoja yangu hapa ni mapato. kama tunataka kuingiza mapato kutoka sehemu za bata basi hazina budi kufanya kazi masaa 24.

Pia kama unamkataza mtu kufanya kazi masaa 24 inabidi uweke hiyo sheria inayomkataka kufanya kazi saa 24?

Hizo sheria za Tanzania ziko wapi? Pia huko kuna unakosema kuna Sheria ya mavazi ya kuvaa sehemu za beach?
 
Mbona unazidi kuleta mifano ambayo umeshapewa majibu yake? Mie nimekupa Ras Vegas ambapo pub, casino na sehemu zote za starehe zinafanya kazi 24 hours

Hoja yangu hapa ni mapato. kama tunataka kuingiza mapato kutoka sehemu za bata basi hazina budi kufanya kazi masaa 24.

Pia kama unamkataza mtu kufanya kazi masaa 24 inabidi uweke hiyo sheria inayomkataka kufanya kazi saa 24?

Hizo sheria za Tanzania ziko wapi? Pia huko kuna unakosema kuna Sheria ya mavazi ya kuvaa sehemu za beach?
Ukiwa unataka kujua jambo, usikaze fuvu unapoelimishwa, siku nyingine utaachwa na ujinga wako.

Unashikilia Las Vegas kama ndiyo standard ya sheria za pombe nimekwambia pale ni DESIGNATED AREA, nimegundua haujua maana yake. Maana yake ni eneo maalumu lililotengwa lenye sheria za pekee. Unataka nikupe na historia ya Las Vegas?

California inayopakana na Las Vegas sheria zao za uuzaji wa pombe zinasema pombe inaweza kuuzwa kuanzia 6-2am tu.

Nyie ndiyo mkiona machinga wanabomolewa vibanda vyao mnawatetea, mmezoea holela holela tu.

Unavyolilia mapato utadhani yataenda kukufaidisha chochote.
 
Ukiwa unataka kujua jambo, usikaze fuvu unapoelimishwa, siku nyingine utaachwa na ujinga wako.

Unashikilia Las Vegas kama ndiyo standard ya sheria za pombe nimekwambia pale ni DESIGNATED AREA, nimegundua haujua maana yake. Maana yake ni eneo maalumu lililotengwa lenye sheria za pekee. Unataka nikupe na historia ya Las Vegas?

California inayopakana na Las Vegas sheria zao za uuzaji wa pombe zinasema pombe inaweza kuuzwa kuanzia 6-2am tu.

Nyie ndiyo mkiona machinga wanabomolewa vibanda vyao mnawatetea, mmezoea holela holela tu.

Unavyolilia mapato utadhani yataenda kukufaidisha chochote.
Unahangqika sana. Kuna shida gani kuweka hizo sheria za Tanzania nilizokuomba usiweke zinazowabana wavuvi kempu?
 
Tuna SGR, Bwawa la umeme, ndege, flyover, uchumi wa kati tuliachiwa na Magufuli unataka maendeleo gani?

Mwanzisha huu uzi ni mwehu!
Yaani ndio wale wale wa bongo flavor!
Shida anazo yeye mwenyewe sijui kwa nini katuingiza na sisi kwenye huo ubwege wake [emoji35]
Idiot!
 
Misukule mmekuja juu balaa baada ya mungu wenu kusemwa
😂😂😂
Unamzungumzia nani hapa?
Mbona unazidi kuonyesha usahihi wa "kiasi cha kamasi" kilichojaa ndani ya fuvu lako la kichwa!
 
Unahangqika sana. Kuna shida gani kuweka hizo sheria za Tanzania nilizokuomba usiweke zinazowabana wavuvi kempu?
Huyo jamaa 'Keynez', kakufundisha vizuri sana, na bado unakaza shingo tu!

You're a hopeless case.
 
Huyo jamaa 'Keynez', kakufundisha vizuri sana, na bado unakaza shingo tu!

You're a hopeless case.
Nisaidie wewe kuweka izo sheria za Tanzania maana na yeye kashindwa kuziweka kakimbia
 
Nisaidie wewe kuweka izo sheria za Tanzania maana na yeye kashindwa kuziweka kakimbia
Nenda kazitafute mwenyewe, kwani ulipoleta hii mada hapa hukuifanyia upembuzi kujua sheria zinazohusu eneo hilo?

You're a hopeless case.
 
Anafundisha maisha ya ujima, katika nchi zilizostaarabila na kuendelea hakuna mtu anayehangaika umekunywa au umevaa nini kwa muda upi.
Huyo jamaa 'Keynez', kakufundisha vizuri sana, na bado unakaza shingo tu!

You're a hopeless case.
 
Back
Top Bottom