Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #41
Ulisema kila kitu sahihi kabisa
Hizi ndizo sababu zitaendelea kuifanya Tanzania iwe mbali sana na mabadiliko/mageuzi makubwa
1. Tanzania ina wahafidhina "conservatives" wengi kuliko watu huria "liberals". Kwa wasiofahamu vizuri wahafidhina ni watu wanaoshikilia misimamo ya kale, wasiopenda kwenda na wakati katika mambo mbalimbali kama vile jinsi watu wanavyowachukilia viongozi, mavazi, mahusiano, ndoa n.k Wahafidhina...www.jamiiforums.com