Nilichogundua: Ukipata Pesa unaanza kuwa mkimya sana na hupendi tena kelele. Pesa nayo ni nishati

Nilichogundua: Ukipata Pesa unaanza kuwa mkimya sana na hupendi tena kelele. Pesa nayo ni nishati

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Wakuu, baada ya tafakuri za kuyatazama Maisha since when I was broke mpaka muda huu nimegundua ukiwa na uhakika wa Maisha ya kila siku na unapata ushindi mdogo na mkubwa katika mzunguko wa Maisha unajikuta nguvu ya kuongea sana inapungua unakuwa msikilizaji sana. Ina maana ile nguvu ya kuongea inachukuliwa na Pesa.

Hivyo Pesa ni nishati, sio kwamba mtu ukipata Pesa inakubadilisha isipokuwa Pesa inafanya manifestation udhihirisho katika physical appearance kwa kukusemea Sehemu mbalimbali.

NB: Hapa namzungumzia mtu ambaye pesa ipo ndani yake, yaani yule ambaye ana earn more na ana spend less kwenye important matters.

Hivyo tusiwahukumu sana watu amabao wamebadilika baada ya kuwa maana Pesa ni nishati na Nishati inamuathiri kila mtu kitofauti tofauti.
 
Wakuu, baada ya tafakuri za kuyatazama Maisha since when I was broke mpaka muda huu nimegundua ukiwa na uhakika wa Maisha ya kila siku na unapata ushindi mdogo na mkubwa katika mzunguko....
Halafu hizo pesa zikamatwe na nyinyi watani zangu, mbona hata salamu tutapata kwa bahati nasibu.
 
Pesa huwa haibadili tabia ya Mtu bali Ufungua Tabia za mtu zilizokuwa zimefungwa na Umaskini.
Kama mimi kipindi fulani nilizikamata asee iyo jeuri ya pesa. Yaani kila niliyekutana naye njiani awe mtoto, mwanamke ama mzee nilikuwa nazaba na kuwawasha mfululizo wa makofi ya hatarii maksudi unprovoked na kila Kofi nawalipa laki.
 
Pesa ikipqtikikqmq bila mipango utapiga kelele tu tujue. Urithi, betting au upigaji.
Ila pesa unapoipata kwa jasho na mikakati mikali inakunyamazisha
 
Kwa kelele nyingi za comment humu...

Naona Kuna haja ya wapiga kelele Hawa kutafuta pesa ili wasipige kelele..

Sitaki kelele [emoji1787]
 
Nikiwaga na pesa huwa nachoka sana kuongea majibu yangu ni huwa 'sawa' ,nimekuelewa',sikumbuki.Na huwa pia nachukua muda mrefu sana kukumbuka watu mpaka unipe maelezo ya kutosha ndio nakukumbuka .Zikiisha kila mtu namkumbuka hata kama tulisoma wote chekechea .Nishati hiyoo.
 
Wakuu, baada ya tafakuri za kuyatazama Maisha since when I was broke mpaka muda huu nimegundua ukiwa na uhakika wa Maisha ya kila siku na unapata ushindi mdogo na mkubwa katika mzunguko wa Maisha unajikuta nguvu ya kuongea sana inapungua unakuwa msikilizaji sana. Ina maana ile nguvu ya kuongea inachukuliwa na Pesa.

Hivyo Pesa ni nishati, sio kwamba mtu ukipata Pesa inakubadilisha isipokuwa Pesa inafanya manifestation udhihirisho katika physical appearance kwa kukusemea Sehemu mbalimbali.

NB: Hapa namzungumzia mtu ambaye pesa ipo ndani yake, yaani yule ambaye ana earn more na ana spend less kwenye important matters.

Hivyo tusiwahukumu sana watu amabao wamebadilika baada ya kuwa maana Pesa ni nishati na Nishati inamuathiri kila mtu kitofauti tofauti.
""Hivyo Pesa ni nishati, sio kwamba mtu ukipata Pesa inakubadilisha isipokuwa Pesa inafanya manifestation udhihirisho katika physical appearance kwa kukusemea Sehemu mbalimbali."'

😊😊😊☺️☺️

Nimekuelewa sana
 
Unachosema kinauhalisia Fulani. Kuna mshkaji wangu nilisoma Naye O level then mbele ya safari kitabu kikamkataa akazamia kwenye biashara, sasa wakati wa likizo nilifika home lazima nimtafute alikuwa na pikipiki yake full kuendesha rafu, pombe Sana, ugomvi Sana, mademu Sana japo mpambanaji kwenye kuzisaka pesa. Baadae madili yakatiki pesa ikamkumbatia akafanya investment mbalimbali. Sasa siku nimekutana Naye ghafla nashangaa bia mbili tatu zimemtosha , gari anavyoendesha utadhani learner, nikamuuliza sikuhizi umebadilika? Akanijibu Brother sasahivi napesa mingi lazima niwe mtulivu nisije nikafa kizembe nikawaachia wajinga wakaanza kula pesa zangu wakati bado watoto wangu wadogo.
 
Back
Top Bottom