Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Mnawapataje wapenzi huku JF maana wengi wanatumia majina Fake ? Na Ni ni link ipi ya kuwapata?
Mkuu woga wako ndio umasikini wako.
Jilipue tu wafuate, humu na mitaani huko ni sawa tu, sema humu angalau wengi unaanza kumsoma akili yake kwenye maandishi yake.
 
Umefanikisha lengo lako la kugongwa gongwa ovyo bika kondom hongera sana
 
Tusiwe wepesi kuhukumu.
Amekuambia wakipewa nyama wanakula na kukimbia au anawakimbia kwa kuogopa mahusiano ya kutofanya ngono salama.
Ni kweli yeye kama binadamu ana udhaifu flani wa kupenda kirahisi huenda inatokana na tamaa ya kuolewa na mtu msomi au mwenye maisha flani.

Kusafiri kumfuata mpenzi ni kawaida tena inakuwa sehemu ya kubadili mazingira na kupunguza stress za maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…