Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Jamani mdada yeyote uliye single ni pm na mimi niwe na mwenzi humu
 
Wanaume 3 wa Jf? Huu jamani jasili uliutoa wap? Unawaamini vip watu wa Jf akujuwe tena zaidi ya mmoja? Ikitokea wakakusema mabaya utajuwa ni nani?
 
Unagawa mno kapochi manyoya kako...[emoji3][emoji3] Wanawake ndio maana rahisi kupata ngoma kwakua mnasex bila ridhaa yenu peku tena some times kwa kulazimishwa...

Nipe namimi nionje maanaa unagawa gawa..
 
Yule dada aliyevaa sweta la bendera ya taifa yukwapi [emoji3][emoji3] maana aliachwa guest na buku tatu arudi mwanza [emoji3][emoji3] jamaa akasema anaenda kununua vocha ndio ikawa mazima
 
Wanatafuta ATTENTION.
 
Nimeshangaa mimi wanavyomshangaa mtoa mada kusafiri kufuata mabeb zake kama vile ni kitu cha ajabu sana amekifanya.
 
Kwenye tangazo lako umesahau bei , yaani unauza shilling ngapi ukijumlisha na nauli yako.
Yaani jf tuu umepuyanga kiasi hiki huko mtaani khali sijui ipo vipi?[emoji22]
Tafuta kazi au biashara itakayokupa mahitaji yako hizo 7800 hazitakufikisha popote
Hahahaha,Hahahaha
 
Jf inataka kuwa kama badoo
Kama mambo ni haya mbona hata Badoo cha mtoto? Mtu unaukwaa UKIMWI kupitia JF dah! Maisha yako yote ukisikia jina la Mello unakunja uso...

Ila mabinti wa humu dah! Hata umpende vipi ukija kuchunguza tu kidogo unakuta yaani anaburuzwa na mabaharia vibaya sana; hata kugeuzwa mchepuko na majamaa yaliyooa. Hovyo kabisa !!!
 
Nani kakwambia kondom zinazuia ukimwi? Watu wanakuja na test pack wanakupima ngwengwe halafu wanapaka ky mwanaume unateleza tu kokote. Na we kushinda na wanaume wa mitandao kwani huko bukoba hamna wanaume?
huyu yaonekana kaliwa na wanaume wa karibia mikoa yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…