Tena kwa nauli yake[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]me nna wasiwasi na afya yake asee,.Bukoba Dar mbali nyieeee[emoji38][emoji38]
Mkuu wanasema kama unaogopa kupima basi ujue unadalili za kuwa na ukimwiMpaka huu upepo uishe lazima niwe nimepima.
Keshaliwa huyo.Usijali
Nimesoma post ya Priscallia namna alivyopata 'HIV' na namna alivyokuwa akigawa uroda kwa wanaume wa JF.
Pia nimezingatia post ya cutelove
Mimi mwenyewe nimewahi kutongoza humu nikakubaliwa ila nilikacha kuonana nao.
Hao wadada ni as follows:
Nitataja herufi za mwanzo za ID tu:
1.Ca
2.fe
3.ma
4. Me
Huyo me alinisimulia jinsi alivyosex na mwanaume wa JF japo ana mume na kuniambia kwamba Huyo mwanaume alimtia vizuri kuliko mumewe na hajawahi pata boro tamu as such.
Wengine sikumbuki
Pia nimezingatia comments za wanaume kwenye post mbalimbali humu JF
huyu ni wa kiume kabisaKwanza mimi huwa nahisi hivyo. Wanawake kwenye mambo ya mahusiano na watu huwa hatujianiki sana madhaifu yetu.
Mimi nipo mitaa ya Ghana hapa kirumba embu nielekeze nije ofisini kwako apo nilete ushuhuda wa kweli apa jukwaaniHahahah: kazi mnayo na predictions
Dahhh....Wakuu mimi naishi Dodoma ila kipindi hicho nilikuwa safari hivyo msinihesabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Itakuwa uliloshangaa kama nililoshangaa mimi hivi humu jf atakuwa anafanya research yake eti we mzeeBinafsi sijashangaa hilo la matumizi ya condom, ila nimeshangaa jambo jingine tu...
Komaa komaa siku zinatembeaKila kitu safi
Nimejikuta nacheka usiniulize sababu we mpareAisee, kumbe watu mnakula namna hii humu jf?
anatengeneza treni ya esijiara,sasa hivi sijui kashaunga mabehewa mangapiItakuwa uliloshangaa kama nililoshangaa mimi hivi humu jf atakuwa anafanya research yake eti we mzee
Nawaangalia tu hapa na unafiki wao, yaani mademu humu wanajidai kumshangaa cutelove kwamba eti ametembea na wanaume watatu wa humu. HahahaahahahahahIla watu wa huku kwa unafki. Sasa kama wote mnamshangaa cutelove ina maana anaolala nao ni kina nani?
Wakati wengine huvuka mikoa kwa mikoa humu.Nimeshangaa mimi wanavyomshangaa mtoa mada kusafiri kufuata mabeb zake kama vile ni kitu cha ajabu sana amekifanya.
Mbona sura zote za kiume humu dukani.Ingia mall humu,duka la continental utanikuta