Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Me nawaangalia tu hapa na unafiki wao
 
Wewe mbaya aiseeeee
 
Inaonekana wewe kigezo ni kondomu tu unaachia mzigo
 
Kumbe humu kuna maji mara moja kiasi hiki?
Yaani ni hatari😂😂 . Yaani kulala na multiple men mwenyewe haoni shida. Yaani hauongei mengi,unalala nae. Kwa bahati mbaya kama siku ya kwanza huna condom,well, inavumilika! Lakini mahusiano ya kudumu inabidi mpime au kutumia condom! Na ni kweli hata hasemi uongo,hata wake za watu wako hivyo tena ni watu wa kada zote, kuanzia vilaza wa uswahilini mpaka mabosi na maprofesa!
 
Umeamua ujitangazie biashara kuwa wewe ni chombo!
Haya...tutakutafuta
 
Wakuu mimi naishi Dodoma ila kipindi hicho nilikuwa safari hivyo msinihesabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nani kakwambia kondom zinazuia ukimwi? Watu wanakuja na test pack wanakupima ngwengwe halafu wanapaka ky mwanaume unateleza tu kokote. Na we kushinda na wanaume wa mitandao kwani huko bukoba hamna wanaume?
Hahahahhahah
 
Sio wa jf tu,wanaume kwa ujumla hatupendi kula toto zuri na maganda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…