Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Weeee naanzaje kwa mfano😂mimi nawewe ni siri yetu,labda uanze wewe...lol
sisi wakazi wa ununio. Mahali Upepo unapovuma maswala hayo hatuna.

Vijana hawajali kuhusu afya zako kabisa

Mnakulanaje bila condom Tanzania ya sasa hivi ambayo kwa siku mmoja watu 200 wanaambukizwa virusi na asilimia 80% ya hao ni jinsia ya kike.

Offer offer hizi na tamaa za kimaisha
Zinawamaliza sana kina dada wengi.
 
Aseee, uzee unanikosesha mengi sana siku hizi. Na hao ni waliodhihirisha uzembe wao ndiyo umewaongelea. Walio makini hujawaongelea.

Nakusalimia tu mjukuu wangu kipenzi cutelove
 
Mkuu naona unataka kuchomoa betri Napa[emoji4][emoji4]
 
Aisee..nashangaa na huyo mke wa mtu..
 
Mimi ninachokupendea wewe ni msema kweli, yaani walah huvungi..... Hongera msema kweli mpenzi wa mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…