Nilichojifunza kuhusu JF

Status
Not open for further replies.
Hehehehhehehehe kuna member hapa ni mzito serikalini anavyoandika sasa kama jobless kumbe ni Hatari huwez kuta anadharau ovyooooo hata kama anawala wasichana basi huwez kuamin hahahahahah nacheka kihutuuuuu
Hao sasa wana kila kitu na hawana dharau wala umalaya wa wazi wazi. Wenzetu na sie sasa [emoji23][emoji23]
 
Sasa hizo I'd 5 za nn
 
Kabisaaaa yaani
 

Brav what up !!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…