- Thread starter
- #41
Umenena!ktk kila kitu fanya kwa kiasi...
too much of anything is harmful.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena!ktk kila kitu fanya kwa kiasi...
too much of anything is harmful.
Hahahahaha mimi namzaba kofi then nasepa kubababakeIla ujue hao wanawake DNA zao sio sawa wote.
Kimsingi ni kumsoma kuwa anataka nini. Kuna wengine hawapendi kukoromewa na kutawaliwa. Wanataka uhuru na hapo wanakuwa happy na upendo mwingi. Ukimtawala sana anaona kero na anaona kama ni wivu wa kijinga.
Japo kweli hata mimi kwa uzowefu wangu mdogo nimeona wanawake wanapenda mwanaume uwe dominant. Kuna mmoja nilikuwa nae kila nikiongea kitu anajibu 'hamna'.
Nilimzaba kofi moja akalia nikambembeleza tukawa sasa nikiongea angalau anajibu kitu. Nahisi masikio yake yalikuwa yameziba kwahiyo lile kofi liliyazibua.
They say that but they dont mean it.Mbona mie sielewi elewi sasa hapo???
Wao ukiwauliza wanasema wanapenda wanaume wapole wachesi, ambaye anajiamini, sasa na ww unasema vingine......
*Labda huyo mpenzi wako ndo anapenda ww uwe bondia
Sasa Mama Sabrina nyinyi njisia ya kike mbona nashindwa kuwaelewa kwa kweli Wanawake hivi wenyewe huwa wanataka nn hasa? Da mnaipa wakati mgumu sana naomba unisaidie kama ndugu yako nyinyi huwa mnapenda nn hasa? Nisaidie kimawazo hapo 😁😁😁😁😁😁 da wanawke ni kitabu sio siriNi kwelii kuna muda nikikoromewa nasikia raha fulani hivi
Mwanaume hatakiwi awe mpole sanaa ,tunapenda kujaliwa ,kupendwa,kupewa kipaumbele,sasa mwanaume gani hata ukifanya kosa hakukaripiii wa nini sasa,lakin mi kwangu nikioneshwa kupendwa tu nazidi kupenda maradufuSasa Mama Sabrina nyinyi njisia ya kike mbona nashindwa kuwaelewa kwa kweli Wanawake hivi wenyewe huwa wanataka nn hasa? Da mnaipa wakati mgumu sana naomba unisaidie kama ndugu yako nyinyi huwa mnapenda nn hasa? Nisaidie kimawazo hapo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] da wanawke ni kitabu sio siri
Kumbe Mwanamke ni sawa na Mtoto au anatakiwa awe na malezi naisi itakuwa hivyo na ndo maana me nina girlfriend Wangu nishamsoma ni kama mtoto hivi Kuna wakati huwa nakuwa Mkali hasa kuna muda tena namtuliza kiufupi naisi mnampenda mpole lakinj pia awe mkali fulani hivi awe adominate fulani hivi sijui kama nimepatia hapoMwanaume hatakiwi awe mpole sanaa ,tunapenda kujaliwa ,kupendwa,kupewa kipaumbele,sasa mwanaume gani hata ukifanya kosa hakukaripiii wa nini sasa,lakin mi kwangu nikioneshwa kupendwa tu nazidi kupenda maradufu
Sent from my SM-T230NU using JamiiForums mobile app
Yap mi kuna kipindi namchokoza kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe Mwanamke ni sawa na Mtoto au anatakiwa awe na malezi naisi itakuwa hivyo na ndo maana me nina girlfriend Wangu nishamsoma ni kama mtoto hivi Kuna wakati huwa nakuwa Mkali hasa kuna muda tena namtuliza kiufupi naisi mnampenda mpole lakinj pia awe mkali fulani hivi awe adominate fulani hivi sijui kama nimepatia hapo
😁😁😁😁😁😁😁 Ha ha ha Wanawake mmenishinda tabia alafu Pia sijui kama ni sawa kwamba 1 Mwanaume ndo anaweza kumshape mke wake tabia?Yap mi kuna kipindi namchokoza kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Namba 2 ukali hautakiwi kuzidii inadepend na kosa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Ha ha ha Wanawake mmenishinda tabia alafu Pia sijui kama ni sawa kwamba 1 Mwanaume ndo anaweza kumshape mke wake tabia?
2 Alafu Mwanaume akiwa mkali sana hapo vip au inatakiwa awe kwa kiasi kila sehemu?
Na huu kusema kwamba tuishi na nyinyi kwa akili,hii hapa ana maana gani eti Mama SabrinaNamba 2 ukali hautakiwi kuzidii inadepend na kosa
Hata sisi tunatakiwa kuishi na nyie kwa akiliNa huu kusema kwamba tuishi na nyinyi kwa akili,hii hapa ana maana gani eti Mama Sabrina
Ila Maandiko yamemtaja Mwanaume ndo atumie akili kuishi na ;Mwanamke,sidhani kama Mwanamke ametajwa ila Mwanamke ameagizwa kutuheahimu Sisi WanaumeHata sisi tunatakiwa kuishi na nyie kwa akili
Lakini Mungu hakuwaonya kama jinsi alivyotuonya tuishi na nyie kwa akili. Unadhani Mungu ni mjinga?Hata sisi tunatakiwa kuishi na nyie kwa akili
"Nilimzaba kofi moja" huu ni ukatili wa kijinsia, haukubaliki.Ila ujue hao wanawake DNA zao sio sawa wote.
Kimsingi ni kumsoma kuwa anataka nini. Kuna wengine hawapendi kukoromewa na kutawaliwa. Wanataka uhuru na hapo wanakuwa happy na upendo mwingi. Ukimtawala sana anaona kero na anaona kama ni wivu wa kijinga.
Japo kweli hata mimi kwa uzowefu wangu mdogo nimeona wanawake wanapenda mwanaume uwe dominant. Kuna mmoja nilikuwa nae kila nikiongea kitu anajibu 'hamna'.
Nilimzaba kofi moja akalia nikambembeleza tukawa sasa nikiongea angalau anajibu kitu. Nahisi masikio yake yalikuwa yameziba kwahiyo lile kofi liliyazibua.
😂😂😂😂😂😂😂😂Mbona mie sielewi elewi sasa hapo???
Wao ukiwauliza wanasema wanapenda wanaume wapole wachesi, ambaye anajiamini, sasa na ww unasema vingine......
*Labda huyo mpenzi wako ndo anapenda ww uwe bondia
Dah! Mimi siwezi labda uniache tyuNi kwelii kuna muda nikikoromewa nasikia raha fulani hivi