Nilichojifunza kuhusu wanawake wanapenda mahusiano ya kutawaliwa

Very true 100% na ushahidi ninao ila sina mood ya kuandika.
 
me ndo mana nimechonga kabisa kirungu changu special nimekiifadhi kabatini
 
Juzi kanishikia kisu nimechelewa kurudi,,hiyo kibano nilitembeza ni cha mbwa koko!!ni mara yangu ya kwanza kumpiga...nilipiga hadi watoto wakaamka ndio ikawa pona yakee..
Matoto yalivyo majinga yanatangaza hadi kwa bibi zao kwamba nilimtandika mamao afu na nilishayaambia yasiseme!!sasa hivi adabu tena leo kanitumia msg honey leo ukichelewa nitakuwa macho kukufungulia geti
 
comment za wanawake ndio zina uzito kwenye nyuzi kama hizi zinazowahusu.comment za wanaume ni kama story za kwenye vijiwe vya bodaboda na kahawa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…