Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Ninajua machache juu ya Rais Mteule Ruto juu ya Imani yake kwa Mungu lakini kwa uchache huo yatosha kusema Ruto NI muumini wa Mungu wa kweli Kama alivyokuwa Hayati Magufuli.
Nakumbuka Hayati Magufuli aliwahi kukiri ni Mkapa ndie aliyemshawishi kugombea Urais na Magufuli alipoonesha kutaka kusita Mkapa akamwambia nenda Mungu atakutangulia.
Hofu aliyokuwa nayo Rais Magufuli kabla ya kuchukua fomu ni hofu sawasawa na ile aliyokuwa nayo Rais Mteule Ruto alipoona kiongozi wake na mshirika wake wa karibu akimuunga mkono mpinzani wake Mkuu lakini wote wawili waliweza kushinda hofu hiyo kwa Imani waliyonayo kwa Mungu.
Hakika ukianza na Mungu naye Mungu atamaliza nawe na tukiishuhudia imani Mungu atatusamia. Na hapo ndipo Odinga alipokosea na makosa yake hayasameheki mbinguni wala dunia. Kosa la kumteua mgombea asiyeamini Mungu limemgharimu.
Kabla ya mgombea Odinga kumpendekeza niliamini angeshinda na nikawa namuombea Sana lakini siku alipompendeza mtu asiyeamini Mungu kuwa mgombea mwenza ndio siku nikibadili gia angani na nikasema KAMA BWANA UISHIVYO ODINGA HATOKUWA RAIS baada ya kusema hayo moyoni nikasema ikulu ya nchi inaenda kukaliwa na mpagani siku moja.
Odinga alisahau neno la Mungu linalosema kwamba mamlaka zote zinatoka kwa Bwana na Bwana asingeruhusu mpagani kuwa Rais.
Baada ya kusema hayo nikiri kusema ni Imani tu ndo inatulinda na kutusimamia na Rais Mteule wa Kenya Ruto na Hayati Rais Magufuli wamepigana Vita kwa Imani ni kufanikiwa kushinda maadui zao.
Nakumbuka Hayati Magufuli aliwahi kukiri ni Mkapa ndie aliyemshawishi kugombea Urais na Magufuli alipoonesha kutaka kusita Mkapa akamwambia nenda Mungu atakutangulia.
Hofu aliyokuwa nayo Rais Magufuli kabla ya kuchukua fomu ni hofu sawasawa na ile aliyokuwa nayo Rais Mteule Ruto alipoona kiongozi wake na mshirika wake wa karibu akimuunga mkono mpinzani wake Mkuu lakini wote wawili waliweza kushinda hofu hiyo kwa Imani waliyonayo kwa Mungu.
Hakika ukianza na Mungu naye Mungu atamaliza nawe na tukiishuhudia imani Mungu atatusamia. Na hapo ndipo Odinga alipokosea na makosa yake hayasameheki mbinguni wala dunia. Kosa la kumteua mgombea asiyeamini Mungu limemgharimu.
Kabla ya mgombea Odinga kumpendekeza niliamini angeshinda na nikawa namuombea Sana lakini siku alipompendeza mtu asiyeamini Mungu kuwa mgombea mwenza ndio siku nikibadili gia angani na nikasema KAMA BWANA UISHIVYO ODINGA HATOKUWA RAIS baada ya kusema hayo moyoni nikasema ikulu ya nchi inaenda kukaliwa na mpagani siku moja.
Odinga alisahau neno la Mungu linalosema kwamba mamlaka zote zinatoka kwa Bwana na Bwana asingeruhusu mpagani kuwa Rais.
Baada ya kusema hayo nikiri kusema ni Imani tu ndo inatulinda na kutusimamia na Rais Mteule wa Kenya Ruto na Hayati Rais Magufuli wamepigana Vita kwa Imani ni kufanikiwa kushinda maadui zao.