Nilichojifunza kwa Rais Mteule Ruto na Hayati Rais Magufuli, kwa Mungu kila kitu kinawezekana

Nilichojifunza kwa Rais Mteule Ruto na Hayati Rais Magufuli, kwa Mungu kila kitu kinawezekana

Inawezekana ni Game lilipangwa Ruto na Kenyatta...... System inaweza tengeneza jambo....

Watanzania wenzangu Tujiandae kuhesabiwa...sensa ya watu na makazi 23august 2022
 
JPM alikuwa Mcha Mungu kweli kweli.
Tatizo kubwa linalowakabili baadhi ya Watanzania ni ufinyu wa uelewa.

Wengine wanadhani ukiwa Mcha Mungu hata kama utakuta kuna watenda maovu unatakiwa kukaa kimya tu, kitu ambacho si kweli.
Wengi kwenye hilo ni wabovu sana kuelewa.
Kutwa kwa waganga na wapiga BAO halafu wapumbavu mnasema alikuwa mcha Mungu.

Angekuwa mcha Mungu asingeiba uchaguzi wa 2020
 
Ninajua machache juu ya Rais Mteule Ruto juu ya Imani yake kwa Mungu lakini kwa uchache huo yatosha kusema Ruto NI muumini wa Mungu wa kweli Kama alivyokuwa Hayati Magufuli.

Nakumbuka Hayati Magufuli aliwahi kukiri ni Mkapa ndie aliyemshawishi kugombea Urais na Magufuli alipoonesha kutaka kusita Mkapa akamwambia nenda Mungu atakutangulia.

Hofu aliyokuwa nayo Rais Magufuli kabla ya kuchukua fomu ni hofu sawasawa na ile aliyokuwa nayo Rais Mteule Ruto alipoona kiongozi wake na mshirika wake wa karibu akimuunga mkono mpinzani wake Mkuu lakini wote wawili waliweza kushinda hofu hiyo kwa Imani waliyonayo kwa Mungu.

Hakika ukianza na Mungu naye Mungu atamaliza nawe na tukiishuhudia imani Mungu atatusamia. Na hapo ndipo Odinga alipokosea na makosa yake hayasameheki mbinguni wala dunia. Kosa la kumteua mgombea asiyeamini Mungu limemgharimu.

Kabla ya mgombea Odinga kumpendekeza niliamini angeshinda na nikawa namuombea Sana lakini siku alipompendeza mtu asiyeamini Mungu kuwa mgombea mwenza ndio siku nikibadili gia angani na nikasema KAMA BWANA UISHIVYO ODINGA HATOKUWA RAIS baada ya kusema hayo moyoni nikasema ikulu ya nchi inaenda kukaliwa na mpagani siku moja.

Odinga alisahau neno la Mungu linalosema kwamba mamlaka zote zinatoka kwa Bwana na Bwana asingeruhusu mpagani kuwa Rais.

Baada ya kusema hayo nikiri kusema ni Imani tu ndo inatulinda na kutusimamia na Rais Mteule wa Kenya Ruto na Hayati Rais Magufuli wamepigana Vita kwa Imani ni kufanikiwa kushinda maadui zao.
jiwe alikuwa mtumishi wa mungu....na siyo MUNGU..
 
Ninajua machache juu ya Rais Mteule Ruto juu ya Imani yake kwa Mungu lakini kwa uchache huo yatosha kusema Ruto NI muumini wa Mungu wa kweli Kama alivyokuwa Hayati Magufuli.

Nakumbuka Hayati Magufuli aliwahi kukiri ni Mkapa ndie aliyemshawishi kugombea Urais na Magufuli alipoonesha kutaka kusita Mkapa akamwambia nenda Mungu atakutangulia.

Hofu aliyokuwa nayo Rais Magufuli kabla ya kuchukua fomu ni hofu sawasawa na ile aliyokuwa nayo Rais Mteule Ruto alipoona kiongozi wake na mshirika wake wa karibu akimuunga mkono mpinzani wake Mkuu lakini wote wawili waliweza kushinda hofu hiyo kwa Imani waliyonayo kwa Mungu.

Hakika ukianza na Mungu naye Mungu atamaliza nawe na tukiishuhudia imani Mungu atatusamia. Na hapo ndipo Odinga alipokosea na makosa yake hayasameheki mbinguni wala dunia. Kosa la kumteua mgombea asiyeamini Mungu limemgharimu.

Kabla ya mgombea Odinga kumpendekeza niliamini angeshinda na nikawa namuombea Sana lakini siku alipompendeza mtu asiyeamini Mungu kuwa mgombea mwenza ndio siku nikibadili gia angani na nikasema KAMA BWANA UISHIVYO ODINGA HATOKUWA RAIS baada ya kusema hayo moyoni nikasema ikulu ya nchi inaenda kukaliwa na mpagani siku moja.

Odinga alisahau neno la Mungu linalosema kwamba mamlaka zote zinatoka kwa Bwana na Bwana asingeruhusu mpagani kuwa Rais.

Baada ya kusema hayo nikiri kusema ni Imani tu ndo inatulinda na kutusimamia na Rais Mteule wa Kenya Ruto na Hayati Rais Magufuli wamepigana Vita kwa Imani ni kufanikiwa kushinda maadui zao.
jiwe alikuwa mtumishi wa mungu....na siyo MUNGU..
 
Umekosea kumfananisha William Rutto na Magufuli. Magufuli hakuwa mcha Mungu bali alilitumia Kanisa Katoliki kuwapumbaza wananchi wajinga wa Tanzania.

Mcha Mungu hawezi kuua Watanzania wenzie kwa sababu za mtazamo tu kama aluvyowaua akina Ben Saanane, Azory Gwanda, wale wa kwenye viroba aliowatupa baharini na alivyorisha Tundu Lissu ashambuliwe.

Mcha Mungu hawezi kubagua maeneo ya wapinzania kwa ajili ya maendeleo wakati wote wanalipa Kodi.
Kamwe usirudie tena kumfananisha Rais Mteule William Rutto na vitu vya HOVYO
Umemaliza mkuu,[emoji120][emoji120]
 
Kumbuka hii ni namba 5 kama ya jiwe..ukiijua sili ya namba hiyo kinachotoka vinywani mwao ni tofauti na matendo yao.
Namba 5 sio namba ya kawaida.
Jiwe kaja na slogan ya hapa kazi tu.
Ruto kaja na kazi kazi kakazia na kenya kwanza.

Jiwe kaja na mpango wa rais wa wanyonge.
Ruto kaja na mpango wa bottom up.

Hivyo hii slogan ya kenya kwanza ..ujue huyu ni wa mlengo wa kulia.hivyo atakar cheza na kenye ajiandae kuhama nchi.
Kwa kivuri cha kuombewa na mistari ya niblia ndio itakua kibwagizo chake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hatari sana ngoja tuone cheche za RUTTO
 
Ninajua machache juu ya Rais Mteule Ruto juu ya Imani yake kwa Mungu lakini kwa uchache huo yatosha kusema Ruto NI muumini wa Mungu wa kweli Kama alivyokuwa Hayati Magufuli.

Nakumbuka Hayati Magufuli aliwahi kukiri ni Mkapa ndie aliyemshawishi kugombea Urais na Magufuli alipoonesha kutaka kusita Mkapa akamwambia nenda Mungu atakutangulia.

Hofu aliyokuwa nayo Rais Magufuli kabla ya kuchukua fomu ni hofu sawasawa na ile aliyokuwa nayo Rais Mteule Ruto alipoona kiongozi wake na mshirika wake wa karibu akimuunga mkono mpinzani wake Mkuu lakini wote wawili waliweza kushinda hofu hiyo kwa Imani waliyonayo kwa Mungu.

Hakika ukianza na Mungu naye Mungu atamaliza nawe na tukiishuhudia imani Mungu atatusamia. Na hapo ndipo Odinga alipokosea na makosa yake hayasameheki mbinguni wala dunia. Kosa la kumteua mgombea asiyeamini Mungu limemgharimu.

Kabla ya mgombea Odinga kumpendekeza niliamini angeshinda na nikawa namuombea Sana lakini siku alipompendeza mtu asiyeamini Mungu kuwa mgombea mwenza ndio siku nikibadili gia angani na nikasema KAMA BWANA UISHIVYO ODINGA HATOKUWA RAIS baada ya kusema hayo moyoni nikasema ikulu ya nchi inaenda kukaliwa na mpagani siku moja.

Odinga alisahau neno la Mungu linalosema kwamba mamlaka zote zinatoka kwa Bwana na Bwana asingeruhusu mpagani kuwa Rais.

Baada ya kusema hayo nikiri kusema ni Imani tu ndo inatulinda na kutusimamia na Rais Mteule wa Kenya Ruto na Hayati Rais Magufuli wamepigana Vita kwa Imani ni kufanikiwa kushinda maadui zao.
Mungu ampitishe Fisadi Ruto kuwa Rais? Hivi unajua mgombea mwenza wa Ruto mwezi uliopita tu amekutwa na hatia ya kuiba mabilion Nairobi county kwa tenda hewa!!

Tuache kumuingiza Mungu kwenye siasa, JPM hakua mcha Mungu same to Ruto ni fisadi na subirini mwaka uishe mtakuja kukana haya maneno yenu
 
Kumbuka hii ni namba 5 kama ya jiwe..ukiijua sili ya namba hiyo kinachotoka vinywani mwao ni tofauti na matendo yao.
Namba 5 sio namba ya kawaida.
Jiwe kaja na slogan ya hapa kazi tu.
Ruto kaja na kazi kazi kakazia na kenya kwanza.

Jiwe kaja na mpango wa rais wa wanyonge.
Ruto kaja na mpango wa bottom up.

Hivyo hii slogan ya kenya kwanza ..ujue huyu ni wa mlengo wa kulia.hivyo atakar cheza na kenye ajiandae kuhama nchi.
Kwa kivuri cha kuombewa na mistari ya niblia ndio itakua kibwagizo chake.
Ruto apinge ufisadi? Hivi mnamjua Ruto nyie au ndio fuata upepo? Tuache mihemko Ruto Hana jipya, miaka 10 kma Makamu amefanya nini la maana zaidi ya kampeni na kuhonga makanisani!!
 
JPM alikuwa Mcha Mungu kweli kweli.
Tatizo kubwa linalowakabili baadhi ya Watanzania ni ufinyu wa uelewa.

Wengine wanadhani ukiwa Mcha Mungu hata kama utakuta kuna watenda maovu unatakiwa kukaa kimya tu, kitu ambacho si kweli.
Wengi kwenye hilo ni wabovu sana kuelewa.
Mcha Mungu hawezi kuzuia Maalim Seif asipewe matibabu eti kisa mpinzani!! Mcha Mungu hawezi kummiminia risasi mpinzani wake afu anamnyima matibabu!! Mungu hadhihakiwi, ndio maana Lissu Yuko hai alafu huyo ibilisi yupo kuzimu!! Mcha Mungu ni kama Mabeyo mpaka kaandika vitabu vya maombi sio huyo ibilisi wenu
 
JPM alikuwa Mcha Mungu kweli kweli.
Tatizo kubwa linalowakabili baadhi ya Watanzania ni ufinyu wa uelewa.

Wengine wanadhani ukiwa Mcha Mungu hata kama utakuta kuna watenda maovu unatakiwa kukaa kimya tu, kitu ambacho si kweli.
Wengi kwenye hilo ni wabovu sana kuelewa.

Nimecheka vibaya, kwahiyo kuhudhuria kwenye nyumba ya ibada ndio ucha Mungu? Nijuavyo mimi kumcha Mungu ni matendo kuliko kuhudhuria kwenye nyumba ya ibada.
 
Ruto apinge ufisadi? Hivi mnamjua Ruto nyie au ndio fuata upepo? Tuache mihemko Ruto Hana jipya, miaka 10 kma Makamu amefanya nini la maana zaidi ya kampeni na kuhonga makanisani!!

Uko sahihi kabisa, huyo Ruto namfananisha na watu kama Lowassa, Mwigulu nk.
 
Mungu asihusishwe na hizi pumba.. mwacheni keshakuwa mzee sasa.. fikiria tokea amalize kuumba mbingu na dunia, anahitaji mapumziko. Hao unaowaita wacha Mungu ni masheitwan wakubwa sana.. Jiwe aliiba uchaguzi wa 2020.. tunashukuru Mungu alisikia kilio chetu wanyonge, akaamulia ugomvi ule.. na wote tuitikie Aaameeen!
 
Tatizo kubwa la uchaguzi wa kenya alikuwa ni odinga ...five time anagombea bila mafanikio....na mahakamani juuu..'


.uhuru kamtia changa la macho kajaa ...ndo basi tena baba care ...akapumeike
 
Ninajua machache juu ya Rais Mteule Ruto juu ya Imani yake kwa Mungu lakini kwa uchache huo yatosha kusema Ruto NI muumini wa Mungu wa kweli Kama alivyokuwa Hayati Magufuli.

Nakumbuka Hayati Magufuli aliwahi kukiri ni Mkapa ndie aliyemshawishi kugombea Urais na Magufuli alipoonesha kutaka kusita Mkapa akamwambia nenda Mungu atakutangulia.

Hofu aliyokuwa nayo Rais Magufuli kabla ya kuchukua fomu ni hofu sawasawa na ile aliyokuwa nayo Rais Mteule Ruto alipoona kiongozi wake na mshirika wake wa karibu akimuunga mkono mpinzani wake Mkuu lakini wote wawili waliweza kushinda hofu hiyo kwa Imani waliyonayo kwa Mungu.

Hakika ukianza na Mungu naye Mungu atamaliza nawe na tukiishuhudia imani Mungu atatusamia. Na hapo ndipo Odinga alipokosea na makosa yake hayasameheki mbinguni wala dunia. Kosa la kumteua mgombea asiyeamini Mungu limemgharimu.

Kabla ya mgombea Odinga kumpendekeza niliamini angeshinda na nikawa namuombea Sana lakini siku alipompendeza mtu asiyeamini Mungu kuwa mgombea mwenza ndio siku nikibadili gia angani na nikasema KAMA BWANA UISHIVYO ODINGA HATOKUWA RAIS baada ya kusema hayo moyoni nikasema ikulu ya nchi inaenda kukaliwa na mpagani siku moja.

Odinga alisahau neno la Mungu linalosema kwamba mamlaka zote zinatoka kwa Bwana na Bwana asingeruhusu mpagani kuwa Rais.

Baada ya kusema hayo nikiri kusema ni Imani tu ndo inatulinda na kutusimamia na Rais Mteule wa Kenya Ruto na Hayati Rais Magufuli wamepigana Vita kwa Imani ni kufanikiwa kushinda maadui zao.
Hawa wana siasa sio waku wa amin

Na mm nimeshangaa yale mafuriko ya Odinga siku ana kwenda kutangaza Nia ya kuchukua fomu , kulifanyika mkutano mkubwa sana ktk kiwanja karasani ,sijui nyayo

Na mpaka mtoto wa Odinga anaitwa Winnie huyo akasema ataolewa siku baba yake akiwa prezident sasa naona ndoto ya binti yule imeyeyuka
 
Wakenya waliogopa ya TANZANIA kama Odinga angefia madarakani. Pili UHURU na Ruto lao moja wamemchezea mchezo Odinga kama walivyocheza Kabila na Tsesekedi.
 
Kwenye Mungu huwa wanajifichia tu utawala wa Ruto hautokuwa tofauti na utawala wa Moi. Moi ndie menta wa Ruto, wajiandae tu kulia.
 
Back
Top Bottom