Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Kutwa kwa waganga na wapiga BAO halafu wapumbavu mnasema alikuwa mcha Mungu.JPM alikuwa Mcha Mungu kweli kweli.
Tatizo kubwa linalowakabili baadhi ya Watanzania ni ufinyu wa uelewa.
Wengine wanadhani ukiwa Mcha Mungu hata kama utakuta kuna watenda maovu unatakiwa kukaa kimya tu, kitu ambacho si kweli.
Wengi kwenye hilo ni wabovu sana kuelewa.
jiwe alikuwa mtumishi wa mungu....na siyo MUNGU..Ninajua machache juu ya Rais Mteule Ruto juu ya Imani yake kwa Mungu lakini kwa uchache huo yatosha kusema Ruto NI muumini wa Mungu wa kweli Kama alivyokuwa Hayati Magufuli.
Nakumbuka Hayati Magufuli aliwahi kukiri ni Mkapa ndie aliyemshawishi kugombea Urais na Magufuli alipoonesha kutaka kusita Mkapa akamwambia nenda Mungu atakutangulia.
Hofu aliyokuwa nayo Rais Magufuli kabla ya kuchukua fomu ni hofu sawasawa na ile aliyokuwa nayo Rais Mteule Ruto alipoona kiongozi wake na mshirika wake wa karibu akimuunga mkono mpinzani wake Mkuu lakini wote wawili waliweza kushinda hofu hiyo kwa Imani waliyonayo kwa Mungu.
Hakika ukianza na Mungu naye Mungu atamaliza nawe na tukiishuhudia imani Mungu atatusamia. Na hapo ndipo Odinga alipokosea na makosa yake hayasameheki mbinguni wala dunia. Kosa la kumteua mgombea asiyeamini Mungu limemgharimu.
Kabla ya mgombea Odinga kumpendekeza niliamini angeshinda na nikawa namuombea Sana lakini siku alipompendeza mtu asiyeamini Mungu kuwa mgombea mwenza ndio siku nikibadili gia angani na nikasema KAMA BWANA UISHIVYO ODINGA HATOKUWA RAIS baada ya kusema hayo moyoni nikasema ikulu ya nchi inaenda kukaliwa na mpagani siku moja.
Odinga alisahau neno la Mungu linalosema kwamba mamlaka zote zinatoka kwa Bwana na Bwana asingeruhusu mpagani kuwa Rais.
Baada ya kusema hayo nikiri kusema ni Imani tu ndo inatulinda na kutusimamia na Rais Mteule wa Kenya Ruto na Hayati Rais Magufuli wamepigana Vita kwa Imani ni kufanikiwa kushinda maadui zao.
jiwe alikuwa mtumishi wa mungu....na siyo MUNGU..Ninajua machache juu ya Rais Mteule Ruto juu ya Imani yake kwa Mungu lakini kwa uchache huo yatosha kusema Ruto NI muumini wa Mungu wa kweli Kama alivyokuwa Hayati Magufuli.
Nakumbuka Hayati Magufuli aliwahi kukiri ni Mkapa ndie aliyemshawishi kugombea Urais na Magufuli alipoonesha kutaka kusita Mkapa akamwambia nenda Mungu atakutangulia.
Hofu aliyokuwa nayo Rais Magufuli kabla ya kuchukua fomu ni hofu sawasawa na ile aliyokuwa nayo Rais Mteule Ruto alipoona kiongozi wake na mshirika wake wa karibu akimuunga mkono mpinzani wake Mkuu lakini wote wawili waliweza kushinda hofu hiyo kwa Imani waliyonayo kwa Mungu.
Hakika ukianza na Mungu naye Mungu atamaliza nawe na tukiishuhudia imani Mungu atatusamia. Na hapo ndipo Odinga alipokosea na makosa yake hayasameheki mbinguni wala dunia. Kosa la kumteua mgombea asiyeamini Mungu limemgharimu.
Kabla ya mgombea Odinga kumpendekeza niliamini angeshinda na nikawa namuombea Sana lakini siku alipompendeza mtu asiyeamini Mungu kuwa mgombea mwenza ndio siku nikibadili gia angani na nikasema KAMA BWANA UISHIVYO ODINGA HATOKUWA RAIS baada ya kusema hayo moyoni nikasema ikulu ya nchi inaenda kukaliwa na mpagani siku moja.
Odinga alisahau neno la Mungu linalosema kwamba mamlaka zote zinatoka kwa Bwana na Bwana asingeruhusu mpagani kuwa Rais.
Baada ya kusema hayo nikiri kusema ni Imani tu ndo inatulinda na kutusimamia na Rais Mteule wa Kenya Ruto na Hayati Rais Magufuli wamepigana Vita kwa Imani ni kufanikiwa kushinda maadui zao.
Umemaliza mkuu,[emoji120][emoji120]Umekosea kumfananisha William Rutto na Magufuli. Magufuli hakuwa mcha Mungu bali alilitumia Kanisa Katoliki kuwapumbaza wananchi wajinga wa Tanzania.
Mcha Mungu hawezi kuua Watanzania wenzie kwa sababu za mtazamo tu kama aluvyowaua akina Ben Saanane, Azory Gwanda, wale wa kwenye viroba aliowatupa baharini na alivyorisha Tundu Lissu ashambuliwe.
Mcha Mungu hawezi kubagua maeneo ya wapinzania kwa ajili ya maendeleo wakati wote wanalipa Kodi.
Kamwe usirudie tena kumfananisha Rais Mteule William Rutto na vitu vya HOVYO
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hatari sana ngoja tuone cheche za RUTTOKumbuka hii ni namba 5 kama ya jiwe..ukiijua sili ya namba hiyo kinachotoka vinywani mwao ni tofauti na matendo yao.
Namba 5 sio namba ya kawaida.
Jiwe kaja na slogan ya hapa kazi tu.
Ruto kaja na kazi kazi kakazia na kenya kwanza.
Jiwe kaja na mpango wa rais wa wanyonge.
Ruto kaja na mpango wa bottom up.
Hivyo hii slogan ya kenya kwanza ..ujue huyu ni wa mlengo wa kulia.hivyo atakar cheza na kenye ajiandae kuhama nchi.
Kwa kivuri cha kuombewa na mistari ya niblia ndio itakua kibwagizo chake.
Mungu ampitishe Fisadi Ruto kuwa Rais? Hivi unajua mgombea mwenza wa Ruto mwezi uliopita tu amekutwa na hatia ya kuiba mabilion Nairobi county kwa tenda hewa!!Ninajua machache juu ya Rais Mteule Ruto juu ya Imani yake kwa Mungu lakini kwa uchache huo yatosha kusema Ruto NI muumini wa Mungu wa kweli Kama alivyokuwa Hayati Magufuli.
Nakumbuka Hayati Magufuli aliwahi kukiri ni Mkapa ndie aliyemshawishi kugombea Urais na Magufuli alipoonesha kutaka kusita Mkapa akamwambia nenda Mungu atakutangulia.
Hofu aliyokuwa nayo Rais Magufuli kabla ya kuchukua fomu ni hofu sawasawa na ile aliyokuwa nayo Rais Mteule Ruto alipoona kiongozi wake na mshirika wake wa karibu akimuunga mkono mpinzani wake Mkuu lakini wote wawili waliweza kushinda hofu hiyo kwa Imani waliyonayo kwa Mungu.
Hakika ukianza na Mungu naye Mungu atamaliza nawe na tukiishuhudia imani Mungu atatusamia. Na hapo ndipo Odinga alipokosea na makosa yake hayasameheki mbinguni wala dunia. Kosa la kumteua mgombea asiyeamini Mungu limemgharimu.
Kabla ya mgombea Odinga kumpendekeza niliamini angeshinda na nikawa namuombea Sana lakini siku alipompendeza mtu asiyeamini Mungu kuwa mgombea mwenza ndio siku nikibadili gia angani na nikasema KAMA BWANA UISHIVYO ODINGA HATOKUWA RAIS baada ya kusema hayo moyoni nikasema ikulu ya nchi inaenda kukaliwa na mpagani siku moja.
Odinga alisahau neno la Mungu linalosema kwamba mamlaka zote zinatoka kwa Bwana na Bwana asingeruhusu mpagani kuwa Rais.
Baada ya kusema hayo nikiri kusema ni Imani tu ndo inatulinda na kutusimamia na Rais Mteule wa Kenya Ruto na Hayati Rais Magufuli wamepigana Vita kwa Imani ni kufanikiwa kushinda maadui zao.
Ruto apinge ufisadi? Hivi mnamjua Ruto nyie au ndio fuata upepo? Tuache mihemko Ruto Hana jipya, miaka 10 kma Makamu amefanya nini la maana zaidi ya kampeni na kuhonga makanisani!!Kumbuka hii ni namba 5 kama ya jiwe..ukiijua sili ya namba hiyo kinachotoka vinywani mwao ni tofauti na matendo yao.
Namba 5 sio namba ya kawaida.
Jiwe kaja na slogan ya hapa kazi tu.
Ruto kaja na kazi kazi kakazia na kenya kwanza.
Jiwe kaja na mpango wa rais wa wanyonge.
Ruto kaja na mpango wa bottom up.
Hivyo hii slogan ya kenya kwanza ..ujue huyu ni wa mlengo wa kulia.hivyo atakar cheza na kenye ajiandae kuhama nchi.
Kwa kivuri cha kuombewa na mistari ya niblia ndio itakua kibwagizo chake.
Mcha Mungu hawezi kuzuia Maalim Seif asipewe matibabu eti kisa mpinzani!! Mcha Mungu hawezi kummiminia risasi mpinzani wake afu anamnyima matibabu!! Mungu hadhihakiwi, ndio maana Lissu Yuko hai alafu huyo ibilisi yupo kuzimu!! Mcha Mungu ni kama Mabeyo mpaka kaandika vitabu vya maombi sio huyo ibilisi wenuJPM alikuwa Mcha Mungu kweli kweli.
Tatizo kubwa linalowakabili baadhi ya Watanzania ni ufinyu wa uelewa.
Wengine wanadhani ukiwa Mcha Mungu hata kama utakuta kuna watenda maovu unatakiwa kukaa kimya tu, kitu ambacho si kweli.
Wengi kwenye hilo ni wabovu sana kuelewa.
JPM alikuwa Mcha Mungu kweli kweli.
Tatizo kubwa linalowakabili baadhi ya Watanzania ni ufinyu wa uelewa.
Wengine wanadhani ukiwa Mcha Mungu hata kama utakuta kuna watenda maovu unatakiwa kukaa kimya tu, kitu ambacho si kweli.
Wengi kwenye hilo ni wabovu sana kuelewa.
Ruto apinge ufisadi? Hivi mnamjua Ruto nyie au ndio fuata upepo? Tuache mihemko Ruto Hana jipya, miaka 10 kma Makamu amefanya nini la maana zaidi ya kampeni na kuhonga makanisani!!
unakazwa wewe.Ruto inawezekana kweli ni mcha Mungu lakini siyo jitu katili
Mzazi akounakazwa wewe.
Pumbavu mkubwa wewe!! Mnaleta matusi huyo Shetani wenu akiguswaunakazwa wewe.
Hawa wana siasa sio waku wa aminNinajua machache juu ya Rais Mteule Ruto juu ya Imani yake kwa Mungu lakini kwa uchache huo yatosha kusema Ruto NI muumini wa Mungu wa kweli Kama alivyokuwa Hayati Magufuli.
Nakumbuka Hayati Magufuli aliwahi kukiri ni Mkapa ndie aliyemshawishi kugombea Urais na Magufuli alipoonesha kutaka kusita Mkapa akamwambia nenda Mungu atakutangulia.
Hofu aliyokuwa nayo Rais Magufuli kabla ya kuchukua fomu ni hofu sawasawa na ile aliyokuwa nayo Rais Mteule Ruto alipoona kiongozi wake na mshirika wake wa karibu akimuunga mkono mpinzani wake Mkuu lakini wote wawili waliweza kushinda hofu hiyo kwa Imani waliyonayo kwa Mungu.
Hakika ukianza na Mungu naye Mungu atamaliza nawe na tukiishuhudia imani Mungu atatusamia. Na hapo ndipo Odinga alipokosea na makosa yake hayasameheki mbinguni wala dunia. Kosa la kumteua mgombea asiyeamini Mungu limemgharimu.
Kabla ya mgombea Odinga kumpendekeza niliamini angeshinda na nikawa namuombea Sana lakini siku alipompendeza mtu asiyeamini Mungu kuwa mgombea mwenza ndio siku nikibadili gia angani na nikasema KAMA BWANA UISHIVYO ODINGA HATOKUWA RAIS baada ya kusema hayo moyoni nikasema ikulu ya nchi inaenda kukaliwa na mpagani siku moja.
Odinga alisahau neno la Mungu linalosema kwamba mamlaka zote zinatoka kwa Bwana na Bwana asingeruhusu mpagani kuwa Rais.
Baada ya kusema hayo nikiri kusema ni Imani tu ndo inatulinda na kutusimamia na Rais Mteule wa Kenya Ruto na Hayati Rais Magufuli wamepigana Vita kwa Imani ni kufanikiwa kushinda maadui zao.