Nilichojifunza kwa wadada wa JF

Nilichojifunza kwa wadada wa JF

Mkuu nimeshakutana na Member wengi humu Mkuu kuna Mwingine alikuja na Bajaji hata Kabla hajashuka nilivyomuona sikuamini ikabidi nianzishe safari ya dharura ili tu asiagiza hata kinywaji chochote
Ha ha ha pole sana mkuu..
 
Usiwaseme wadada au wanawake wa jf sema na wanaume wa jf,kuna wanaume wana tabia mbaya sana jf lakin kwa vile ni wanaume wamenyamaziwa ingekuwa wanawake tunafanya mshaongea kama nin,hebu mjitathimini mjue thamani ya wanawake,wazoeeni wanawake walivyo,tukianza chambuana humu mtabaki midomo wazi
Kuna watu humu wana stress wanakuja zitolea humu,kuna watu full majigambo wakati kiuhalisia hakuna kitu kabisa ,kuna wanaume waongo humu jf walifaa waishi sayari yao wanadanganya mpala wanajisahau

Ngoja nikae vyema kwanza
Ukishakaa vema urudi kuwapa vidonge vyao teh
 
Ukishakaa vema urudi kuwapa vidonge vyao teh
Kwanza mtoa mada anafanana na hao anaowasema sasa sijui hajioni ama
Umalaya wao humu kuwabadili wanawake kama nguo hawasemi na hawana haya ,,na sisi tulivyo wajinga tunakubali kupangwa dah[emoji22][emoji22][emoji22]
 
Siweki kucha bandia mkuu. Ila sina kucha mbaya Kihivyo
363bcf99bb56f04200c6ee23414eb4f1.jpg
Afu unaonekana kibonge kwa mbali mkuu [emoji4][emoji4]
e99f4470bf95e5c81907fe6e4f437fcb.jpg
 
Kwanza mtoa mada anafanana na hao anaowasema sasa sijui hajioni ama
Umalaya wao humu kuwabadili wanawake kama nguo hawasemi na hawana haya ,,na sisi tulivyo wajinga tunakubali kupangwa dah[emoji22][emoji22][emoji22]
Sabina mama, mbona unaongea kwa hisia sana..!!
Salama kweli?
 
Now I'm forty and a little change/
Ride around, sport a new Benz, a little Range/
Having fun, my little girl gettin' big/
Me and my daughter down, when we talk it's real/
Nothing is watered down, young boy swag/
I'm here today as well as the 2016/
But the past life, my ass is behind me/

Dadadadadada
Dadadadadada
The season
Dadadadadadada
Dadadadadadada
This is the season.
 
Back
Top Bottom