Nilichojifunza kwa wadada wa JF

Nilichojifunza kwa wadada wa JF

Kwa kipindi ambacho nimekuwa mtiifu mzuri na mfuatiliaji wa michango mbali mbali ianzshwayo na baadhi wa Memba wa Kike humu kwenye Jamvii la Mahusiaono na hasa wale wanaojiita Majina ya Kuvutia na Kuweka Avatar Tamanishi, Kiuhalisia hao mamember hawafananani Kabisa na wanayoyasema humu ndani..

Nipo Tayari kuasahihishwa ila ukweli ningeshauri wadada ambao ni baadhi siyo wengi Jaribuni kuishi Maisha halisi na siyo fabricated life..

Wenye
Kwa uzi huu Badilikeni tu wadada mnao "fabricate" maisha JF.. .waacheni ME Waoneshe maisha ya kumiliki gari Jf, kuwa na degree Jf, kuwa na kazi nzuriJf, kuwa na nyumba nzuri Jf etc etc
 
absolutely true mkuu!!.[emoji106]

JF kila MTU anamiliki mjumbaaa au amepanga nyumban nzima[emoji23][emoji23] lkn in reality weeee siunajua weng ndio hawa hawa wafanyakazi wa serikal ya awamu yatano.

Nilianza kushituka.,,Kwenye ule Uzi wa kuongeza mishahara na kupandisha madaraja vilio vilikua vingi mno nikajua aaaaaahhh kumbe[emoji23]
Mkuu humu ni mupana sanaa wote wapo humu wala usishangae
 
Siweki kucha bandia mkuu. Ila sina kucha mbaya Kihivyo
363bcf99bb56f04200c6ee23414eb4f1.jpg
Ila mguu hapo..!! Nahisi nitapofuka!
 
Mkuu nimeshakutana na Member wengi humu Mkuu kuna Mwingine alikuja na Bajaji hata Kabla hajashuka nilivyomuona sikuamini ikabidi nianzishe safari ya dharura ili tu asiagiza hata kinywaji chochote
Wakike au Wakiume akipita hapa anajisikiaje kwa mfano Ngoja nimsaidie kulia
 
Back
Top Bottom