Nilichojifunza kwa wadada wa JF

Nilichojifunza kwa wadada wa JF

Ukitaka kuishi JF kwa amani sema
1.Unakaa kwa mtogole
2.Huna kazi au mfanya usafi mshahara 45,000
3.Umesoma Amazon college kozi ya kushona au umeishia la saba
4.Ndoa yako inakusumbua sana

Utaishi kwa amani na utakuwa na marafiki wengi sana.
Asalalalee watu wajaribu kukeep low profile kuna watu humu wana mapesa wako kimya tu ,hutowaona wakijisemesha semesha ,kuwa na gari kitu cha kawaida tu
Wengine sasa sijui ushamba na misifa ya kihaya
 
ea68d47af2eadd280bf7e77182b4ae9c.jpg

Tuendeleeni tu kufake maisha
 
Wanawasema wanawake wa humu wanaume je,wale mabazazi wengine mpaka wanafungukiwa uzi wanashika namba moja jf unadhan uongo?
Mwanaume wa jf anakuambia yupo single kumbe upo 1000 kule ,wanafake kweli humu na kujifanya wajuaji kumbe hovyo tu kiuhalisia hawapo hivyo kabisa hawana mvuto,nguo wanazovaa utacheka ,wapo baadhi wachache sana wanaojielewa humu kwa kila kitu
Acha tu

Ila mie sijawahi kukutana na wa hivyo
Japokuwa wengi ni mabazazi.
Wengine wana mpaka ID mbili leo anakuja na hii kesho anakuja na nyingine
 
ukitaka kujua tabia yako halisi angalia mambo unayoyafanya ukiwa mwenywe either bafuni..chumbani au wakti uko mwwnywe kabisa...Mtu anaeza sema hajui kucheza mziki lakni akiwa mwenywe chumbani anacheza hata kuliko dancers wa koffie au kuliko moze iyobo...[HASHTAG]#dance[/HASHTAG] like nobody is watchn zileee hahahahahah
 
Back
Top Bottom