Nilichojifunza kwa wadada wa JF

Mkuu nimeshakutana na Member wengi humu Mkuu kuna Mwingine alikuja na Bajaji hata Kabla hajashuka nilivyomuona sikuamini ikabidi nianzishe safari ya dharura ili tu asiagiza hata kinywaji chochote
Ha ha ha pole sana mkuu..
 
Ukishakaa vema urudi kuwapa vidonge vyao teh
 
Ukishakaa vema urudi kuwapa vidonge vyao teh
Kwanza mtoa mada anafanana na hao anaowasema sasa sijui hajioni ama
Umalaya wao humu kuwabadili wanawake kama nguo hawasemi na hawana haya ,,na sisi tulivyo wajinga tunakubali kupangwa dah[emoji22][emoji22][emoji22]
 
Kwanza mtoa mada anafanana na hao anaowasema sasa sijui hajioni ama
Umalaya wao humu kuwabadili wanawake kama nguo hawasemi na hawana haya ,,na sisi tulivyo wajinga tunakubali kupangwa dah[emoji22][emoji22][emoji22]
Sabina mama, mbona unaongea kwa hisia sana..!!
Salama kweli?
 
Mkuu nimeshakutana na Member wengi humu Mkuu kuna Mwingine alikuja na Bajaji hata Kabla hajashuka nilivyomuona sikuamini ikabidi nianzishe safari ya dharura ili tu asiagiza hata kinywaji chochote
Kwahiyo unaona sifa
 
Now I'm forty and a little change/
Ride around, sport a new Benz, a little Range/
Having fun, my little girl gettin' big/
Me and my daughter down, when we talk it's real/
Nothing is watered down, young boy swag/
I'm here today as well as the 2016/
But the past life, my ass is behind me/

Dadadadadada
Dadadadadada
The season
Dadadadadadada
Dadadadadadada
This is the season.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…