Nilichojifunza kwa wadada wa JF

Huu uzi hauna uhalisia.
Ukiachana na avatar ambazo zinafahamika kabisa kwamba sio sura halisi za watu,Sijawahi narudia tena Sijawahi kuona mwanamke anajisifu humu kuhusu GARI,NYUMBA AU KAZI!
INGAWA KUNA WANAWAKE HUMU WANA KAZI NZURI,ELIMU NZURI,MAKAZI MAZURI ,NYUMBA ZAO NZURI AU ZA KUPANGA NZURI KABISAAAA.
Mwanamke anakanmizwa kila mahali hamna jipya.
mnataka tuwe wazuri nyie wazuri?
 
Mkuu usisahau hii ni jf, haina tofauti na kijiwe cha kahawa hasa jukwaa kama hili pendwa..
relax
 
Eti wao wazuriii Ahhahahaaahah, hawajioni kabisa
 
Umemaliza kila kitu mkuu.......ila jipange kwa mapovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…