Kweli kabisa! Wakipata wasichana wife material wanatafuta dosari za kijinga... Ooh sijui mweusi sana au ni mfupi sana, mala meno yameoza!!! Wanawakimbilia waonjaji tuMkomage! Mkipata wasichana wakweli mnawakataa kwasababu hawana mvuto mnaohitaji.
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji86] [emoji87] [emoji87]Ha ha ha, umeona mbinu ya umaskini haibambi umeamua uje na toleo lingine!!!
Hahahaaaa....nimeipenda hiyoo...kola chakavuuu uchumi ovyo? Mkuu we mkali.Mwanaume ukikutana nae tu... Kuanzia kola ya shati hadi viatu, utajua tu yukoje kiuchumi.
[emoji16][emoji16][emoji16]kweli ulimkomeshaa..Kuna mwingine alikomalia nasikia unamiliki......IPO mkoa Fulani. Kila kitu nilikuwa napinga....mwenzie nilimwambia vitu nilivyonavyo mjue kulikuwa na mwanamke nyuma maana mm sinaga mambo ya kununua vitu....yule mdada hadi sasa nasikia yupo Njombe ni fundi wa kushona viwandani na hajaolewa. Wanapenda sana mtelemko...si watafute vyao
Mwngne kaniacha hoi mwaka Jana, akaniambia niuze vitu vyote nilivyonavyo ili tutumie vyake kwakuwa nayeye alikuwa na maisha...nikasafiri nikampigia simu kwamba nimeuza xyz, akaniambia nimrushie laki 3 ili nae ale kidogo...nikawaza sana kuwa yeye anawaza nini sana sana?...nimepiga kule sipendi jitu lijanja janja na lisanii!!!!...na wala hakijauzwa kitu....hahhaa
Si kwa kutusema uko meno yaliyooza umenigusaa...Kweli kabisa! Wakipata wasichana wife material wanatafuta dosari za kijinga... Ooh sijui mweusi sana au ni mfupi sana, mala meno yameoza!!! Wanawakimbilia waonjaji tu
Si kwa kutusema uko meno yaliyooza umenigusaa...
Mbona nawe upo anga hizi kipi watafuta kama sio yale yalehiv mtaani kwako umekosa mwenye tabia njema hadi utafute mtandaoni