Kuna mwingine alikomalia nasikia unamiliki......IPO mkoa Fulani. Kila kitu nilikuwa napinga....mwenzie nilimwambia vitu nilivyonavyo mjue kulikuwa na mwanamke nyuma maana mm sinaga mambo ya kununua vitu....yule mdada hadi sasa nasikia yupo Njombe ni fundi wa kushona viwandani na hajaolewa. Wanapenda sana mtelemko...si watafute vyao
Mwngne kaniacha hoi mwaka Jana, akaniambia niuze vitu vyote nilivyonavyo ili tutumie vyake kwakuwa nayeye alikuwa na maisha...nikasafiri nikampigia simu kwamba nimeuza xyz, akaniambia nimrushie laki 3 ili nae ale kidogo...nikawaza sana kuwa yeye anawaza nini sana sana?...nimepiga kule sipendi jitu lijanja janja na lisanii!!!!...na wala hakijauzwa kitu....hahhaa