Nilichojifunza kwenye msiba wa kaka

Nilichojifunza kwenye msiba wa kaka

Inatosha kuwa kifo kuwa ni mawaidha kwa waliobaki.

Kama mtu hastuki kwa kifo Cha mwenzake huyo sio mtu tena mana moyo wake ulishajifia.siku nyingi

Mtu asijipe umuhimu katika maisha ya wengine kiasi Cha kudhani kwamba bila yeye maisha ya watu wengine hayatakwenda.

Watu wanaweza kuishi bila ww na maisha yakasonga vizuri tu.

Kifo kipo ndugu zangu na hakikwepeki kwa namna yeyote Ile.
 
Kaka yangu amefariki last two weeks.
Alikua mtumishi wa umma wa cheo kikubwa tu wizara flani.
Ofcoz,siwezi kudanganya serikali iliuchukua huu msiba serious, sijajua ni kwa sababu ya miongozo yao au ni kwa sababu ya ukaribu kati ya bro na boss wake.
Anyway bro alifaraiki ghafla sababu tuliyoambiwa na Madaktari ni heart attack.
Msiba wa kaka umehudhuriwa na wananchi wa kawaida sana kuanzia wachimba kaburi mpaka waombolezaji.
Kipindi cha uhai wa kaka ,kuna kipindi niliwahi kumsikia kwa maskio yangu akiongea na mpaka Raisi wa nchi kuhusu masuala flani.kaka leo kafariki kwenye mazishi yake nimesikia tu salamu za waziri wake.
Nilichojifunza,hivi vyeo vya duniani ni nonsense mbele ya Mungu.leo kaka kafariki wanaomuogesha ni wananchi wa kawaida tu tena wa kule kijijini kwetu na wanafamilia.
Tutende mema tukiwa hai,nilichokishuhudia kule mortuary na nafasi aliyokua nayo kaka ni vitu viwili tofauti kabisa.
Ulichelewa sana kulijua hili mdogo wangu! Nawahurumiaga sana wanaopandisha mabega wanapokuwa na madaraka! Sisi siyo kitu! Tumtangulize Mungu mbele huku tukijitahidi sana kuheshimu watu bila kuwabagua!
 
Kaka yangu amefariki last two weeks.
Alikua mtumishi wa umma wa cheo kikubwa tu wizara flani.
Ofcoz,siwezi kudanganya serikali iliuchukua huu msiba serious, sijajua ni kwa sababu ya miongozo yao au ni kwa sababu ya ukaribu kati ya bro na boss wake.
Anyway bro alifaraiki ghafla sababu tuliyoambiwa na Madaktari ni heart attack.
Msiba wa kaka umehudhuriwa na wananchi wa kawaida sana kuanzia wachimba kaburi mpaka waombolezaji.
Kipindi cha uhai wa kaka ,kuna kipindi niliwahi kumsikia kwa maskio yangu akiongea na mpaka Raisi wa nchi kuhusu masuala flani.kaka leo kafariki kwenye mazishi yake nimesikia tu salamu za waziri wake.
Nilichojifunza,hivi vyeo vya duniani ni nonsense mbele ya Mungu.leo kaka kafariki wanaomuogesha ni wananchi wa kawaida tu tena wa kule kijijini kwetu na wanafamilia.
Tutende mema tukiwa hai,nilichokishuhudia kule mortuary na nafasi aliyokua nayo kaka ni vitu viwili tofauti kabisa.

Poleni Sana Ndugu , Jamaa na Marafiki...M.A.P Brother

Huwa nawashangaa sana watu wanaojiona miungu watu.

Mtu akiwa na nyumba kali ,gari ,demu mzuri na fedha za kwenda kununua bidhaa super market anatanua makwapa utafikiri amepigwa ngumi ya mgongo.

Inatupaswa kuishi low key/Low profile hata kama BANKWA una vibunda.
 
Hivi aliyeishi vibaya au vizuri na watu akifa kuna tofauti gani baina ya hao watu wawili?
Hakuna tofauti! Tofauti huzizua sisi waadaamu. MAHOHEHAHE wa mungu tusiojua hata kesho zetu.

Wote watazikwa tu na maisha yataendelea.
 
Kaka yangu amefariki last two weeks.

Alikua Mtumishi wa Umma wa cheo kikubwa tu wizara fulani.

Ofcoz, siwezi kudanganya serikali iliuchukua huu msiba serious, sijajua ni kwa sababu ya miongozo yao au ni kwa sababu ya ukaribu kati ya bro na boss wake.

Anyway bro alifaraiki ghafla sababu tuliyoambiwa na Madaktari ni heart attack.

Msiba wa kaka umehudhuriwa na wananchi wa kawaida sana kuanzia wachimba kaburi mpaka waombolezaji.
Kipindi cha uhai wa kaka, kuna kipindi niliwahi kumsikia kwa maskio yangu akiongea na mpaka Raisi wa nchi kuhusu masuala fulani kaka leo kafariki kwenye mazishi yake nimesikia tu salamu za waziri wake.

Nilichojifunza, hivi vyeo vya duniani ni nonsense mbele ya Mungu. Leo kaka kafariki wanaomuogesha ni wananchi wa kawaida tu tena wa kule kijijini kwetu na wanafamilia.

Tutende mema tukiwa hai,nilichokishuhudia kule mortuary na nafasi aliyokua nayo kaka ni vitu viwili tofauti kabisa.
Life is illusion 😭😭😭
 
Usiwatumainie binadamu Kamwe.Wengi mpo karibu sababu ya maslahi/kazi na watakuwa benet na wewe ukidhani ni ndugu kumbe sio.Ndio maana utakapokufa wengine hawatafika na wengine baada ya hapo ndio imekwisha.Familia yako itabaki kukukumbuka daima.Somo usiwategemee au kuwatumainia binadamu bali Mwenyezi Mungu pekee.
 
Kaka yangu amefariki last two weeks.

Alikua Mtumishi wa Umma wa cheo kikubwa tu wizara fulani.

Ofcoz, siwezi kudanganya serikali iliuchukua huu msiba serious, sijajua ni kwa sababu ya miongozo yao au ni kwa sababu ya ukaribu kati ya bro na boss wake.

Anyway bro alifaraiki ghafla sababu tuliyoambiwa na Madaktari ni heart attack.

Msiba wa kaka umehudhuriwa na wananchi wa kawaida sana kuanzia wachimba kaburi mpaka waombolezaji.
Kipindi cha uhai wa kaka, kuna kipindi niliwahi kumsikia kwa maskio yangu akiongea na mpaka Raisi wa nchi kuhusu masuala fulani kaka leo kafariki kwenye mazishi yake nimesikia tu salamu za waziri wake.

Nilichojifunza, hivi vyeo vya duniani ni nonsense mbele ya Mungu. Leo kaka kafariki wanaomuogesha ni wananchi wa kawaida tu tena wa kule kijijini kwetu na wanafamilia.

Tutende mema tukiwa hai,nilichokishuhudia kule mortuary na nafasi aliyokua nayo kaka ni vitu viwili tofauti kabisa.
Very true
 
Back
Top Bottom