je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Inatosha kuwa kifo kuwa ni mawaidha kwa waliobaki.
Kama mtu hastuki kwa kifo Cha mwenzake huyo sio mtu tena mana moyo wake ulishajifia.siku nyingi
Mtu asijipe umuhimu katika maisha ya wengine kiasi Cha kudhani kwamba bila yeye maisha ya watu wengine hayatakwenda.
Watu wanaweza kuishi bila ww na maisha yakasonga vizuri tu.
Kifo kipo ndugu zangu na hakikwepeki kwa namna yeyote Ile.
Kama mtu hastuki kwa kifo Cha mwenzake huyo sio mtu tena mana moyo wake ulishajifia.siku nyingi
Mtu asijipe umuhimu katika maisha ya wengine kiasi Cha kudhani kwamba bila yeye maisha ya watu wengine hayatakwenda.
Watu wanaweza kuishi bila ww na maisha yakasonga vizuri tu.
Kifo kipo ndugu zangu na hakikwepeki kwa namna yeyote Ile.