Nilichokigundua kutoka kwenye Kaburi la Hayati Rais Magufuli

Heading yako na content uliyo weka havishabihiani. Ene wei tunaomba picha ya kaburi na sisi tuangalie hiyo vitu ulivyogundua
Hayati Magufuli, alikua

1. AFISA USALAMA WA TAIFA
2. KIONGOZI WA TAIFA


NOTE. Maafisa Usalama na Viongozi wa Taifa huwa hawafi. Huwa ni kama ma sterring kwenye movie
 

Attachments

  • z.JPG
    37.1 KB · Views: 4
Ok, kumbe ndo maana siku ile wakati wa mazishi...kuna jamaa kama kadhaa hivi wakiwa wamevalia suti nyeusi ...walienda wakalizunguka Kaburi chapu kwà haraka kisha wakatokomea...

Kwenye tv walionyesha kwà sekunde kama 3 hivi....wakaweka vitu vingine ili tukio lile lisionekane public. Daah

R.I.P JPM [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Lala salama JPM [emoji24][emoji24][emoji24]
Pumzika kwa Amani JPM [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Maono YAKO na Mipango YAKO, endapo Mungu akinipa ridhaa....nipo tayari kuiendeleza , kuisimamia na kuitekeleza.


" Here I am , send Me " I AM AVAILABLE AND READY AT ANYTIME!!!!
 
Maono sahihi
Mipango kabambe

R.I.P JPM [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Nakuja inbox
 
Hawa watu sijui wataacha lini kumuubudu marehemu
 
Nakushauri ukajenge karibu na Hilo kabli hutapata shida kabisa
Naona Maneno YAKO ni kama yana mimba hivi, je unaweza kuyazalisha ili akuelewe vizuri?

#Intimacy #Connection #Chemistry #Bond (Invisible Image VS visible Image)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…