MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,967
- Thread starter
-
- #41
Hayati Magufuli, alikuaHeading yako na content uliyo weka havishabihiani. Ene wei tunaomba picha ya kaburi na sisi tuangalie hiyo vitu ulivyogundua
R.I.P JPM [emoji24]
Nakuja inboxOk, kumbe ndo maana siku ile wakati wa mazishi...kuna jamaa kama kadhaa hivi wakiwa wamevalia suti nyeusi ...walienda wakalizunguka Kaburi chapu kwà haraka kisha wakatokomea...
Kwenye tv walionyesha kwà sekunde kama 3 hivi....wakaweka vitu vingine ili tukio lile lisionekane public. Daah
R.I.P JPM [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
KaribuNakuja inbox
Read between the linesMbona hujasema ulichokigundua kwenye hilo kaburi?
Nakushauri ukajenge karibu na Hilo kabli hutapata shida kabisaNilienda pale naona baadhi ya shida zangu zimeisha
Hawa watu sijui wataacha lini kumuubudu marehemuKila binadamu unaye muona hapa duniani akiwemo mm na ww amezaliwa kwa kusudi maalumu hivyo ukiona amekufa jua kusudio lake lililo mleta duniani limekwisha na hana umuhimu wowote duniani.
Binadamu anapo kufa basi ndo mwisho wa kila kitu chake hapa duniani na ndio maana huyo magufuri kwa sasa hana maamuzi yeyote kwa chochote hapa ulimwenguni maana amesha kufa na yuko chini ya ardhi.
Huo uzuri na uchapa kazi wa magufuri Mungu aliona hauna umuhimu wowote kwa Tz ya sasa na ndio maana alimuondoa.
Mungu amesha fanya maamuzi yake hivyo hizo kelele zenu haziwezi kubadili chochote.
Naona Maneno YAKO ni kama yana mimba hivi, je unaweza kuyazalisha ili akuelewe vizuri?Nakushauri ukajenge karibu na Hilo kabli hutapata shida kabisa
JPM is still alive.Hawa watu sijui wataacha lini kumuubudu marehemu
"He Is Not Here, He is risen" and He is living among usIt's done! it's over!View attachment 2562082