Nilichokigundua kutoka kwenye Kaburi la Hayati Rais Magufuli

"waliuwa mwili tu[emoji79]lakini roho yako inaishi ndani ya roho zetu[emoji92][emoji268][emoji3257]" R.I.P JPM [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kakudanganya Nan binadamu lazima afe?

Kuna binadamu hawataonja mauti na wapo ambao hawajaonja mauti mfano Eliya,Henock
 
Inategemea umelitizama kwa upande upi..... Kwa Imani za kihebrania, kiafrika......
 
Ukikutana na Lazaro aliyekufa kisha akafufuliwa na Kristo Yesu, umuulize umuhimu wake ulikuwa nini hata afufuliwe!

Biblia inapokataza usiue, Mungu anajua kuna wapuuzi watajaribu kukatisha maisha ya wengine!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…