Nilichokigundua Kutoka Simba Mpya - Simba 0 - 1 TP Mazembe

Nilichokigundua Kutoka Simba Mpya - Simba 0 - 1 TP Mazembe

Tatizo litakalo kuwa linawatafuna ni matarajio ya yale waliyo yafanya last season.

Yaani hilo pengo ni kubwa mno kuzibwa na hawa waliokuja.
Umeniadvantaje eehn ngoja tar 25 mtajua hamjui
 
Kwa Yanga yenu mnajitetea timu haina muunganiko ila kwa Simba hamulioni ilo!
Nilidhani kuwa ssimba inaboresha kikosi na haijengi kikosi.

maana ndivyo mlivyosema kuwa usajili wenu sio wa kujenga bali kuboresha. sasa tangu lini anayeboresha anangoja muunganiko.?
 
Mbona haumtaji AUCHO na Makambo walau hata DJUMA? 😂 😂 😂
Huna lolote we utopolo yani baada ya kupotea leo kwenye mashindano ya wanaume umeamua kutuletea uchambuzi uchwara ili tu ujipoze,, eti banda atakuwa injury kama dube,, sawa mtabiri na roho yako mbaya iliyochanganyika na wivu
 
Huna lolote we utopolo yani baada ya kupotea leo kwenye mashindano ya wanaume umeamua kutuletea uchambuzi uchwara ili tu ujipoze,, eti banda atakuwa injury kama dube,, sawa mtabiri na roho yako mbaya iliyochanganyika na wivu
Au ndio unataka kutufariji mashabiki wa simba kuwa Banda kaziba pengo la Miqquisone? 😂 😂
 
Kwani ukiwa kwenye siku yako ni lazima uwe na ghadhabu eti? 😂 😂
Nimekujibu kama ulivyouliza
Btw wale watoto wanaija wamekupiga nje ndani mbele ya msukule
 
Simba toka izaliwe haijawahi kuwafunga T.P Mazembe.

Tulicheza na T.P Mazembe katika tamasha la Simba Super Cup na hatukuwafunga tukiwa na Chama na Miquesson.

Kwa sasa Simba tunasumbuliwa na urafiki wa kocha Gomes na Mugalu.
Urafiki wa hawa watu wawili ni wa kutiliwa mashaka.
 
Leo nilipata wasaa wa kushuhudia Tamasha la Vichekesho kutoka kwa watani zangu pale Taifa.

Maana ilikuwa sio Tamasha bali ni vibweko tosha, hata ilikuwa bado kidogo nisahau kuwa ninapaswa kutazama Mwanajangwani aliyepoteza uelekeo kule Port Harcout - Nigeria. Kiufupi kichekesho kimojawapo kilikuwa ni kuwaona Mascots 4 kiwanjani. Hahaha.

Anyways tuachane na hilo.

Matarajio ya walio wengi leo pale Taifa ni kuona kama Usajili Mpya umefanikiwa kuziba mapengo au lah. Mwisho wa mechi imefahamika kuwa licha ya kuwa TP Mazembe haiko kwenye ubora wake bado usajili mpya haukuweza kufaa vya kutosha hata kuleta ushindi kwenye siku ya tukio kubwa kama ile. (Kuna mtu alininong'oneza kuwa pengine ni ujio wa Mgeni rasmi ndio ulisababisha ushindi kwa TP Mazembe), lakini haikuwan kweli.

Usajili wa Simba ulifanywa kwa lengo la kubahatisha ili kuona kama inawezekana kuziba mapengo ya Chama & Miqquie.

1. Benard Morrison

Huyu dogo ameacha kucheza mpira uwanjani na sasa amekuwa anaucheza mpira mwingi sana nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja. Ila kwa umachachari wake bado atawaweka benchi wakina Migomba.

2. Kanoute
Kijana ana kiwango cha kawaida na wala sio cha kutisha. Hajamfikia Chama hata nusu. Uwezo wake unafanana na mdogo wangu wa Baraka Majogoro wa Polisi Tanzania. Hapa pengo la chama halijazibwa.

3. Kibu
Kijana alihitaji muda zaidi wa kufanya vyema kwingine. Ni aina ile ile ya washambuliaji wa kibongo (Kama Ditram Nchimbi) ambao wana nguuuvu nyingi ila akili hazijai kisoda mara walisogeleapo lango la mpinzani.

4. P.O Sakho
Ana uwezo mguuuni ila ata struggle sana kufikia uweko wa Miqqiesone kwa sababu mpira wake hauna tofauti na Benard Morrison/Konde boy aliyekuja Yanga kufanya majaribio. Huyu naye ni machachari na sio hatari.

5. Banda
Atasumbua kibongo bongo tu na sio kimataifa, na mara wakina nyoso wakianza kumtomasa tomasa miguuni ataanza kushinda muhimbili kama yule dogo wa Azam yaani Prince Dube. Huyu naye ni machachari na sio hatari.

6. Beki - Ibaka
Bonge moja la beki, hana makosa makosa ya kishamba kama wakina wana & onyango. Hata hivyo hatopata sana nafasi kutokana na chemistry iliyoko kati ya wawa & onyango.

Bado ninadiliki kusema kuwa mtani alikuwa na kikosi kizuri zaidi msimu uliopita kuliko msimu huu. Kama msimu uliopita na ubora wake wote aliambulia alama 1 just imagine this time around.

Ikumbukeni tarehe 25.
Mumekeketwa huko Nigeria
 
Leo nilipata wasaa wa kushuhudia Tamasha la Vichekesho kutoka kwa watani zangu pale Taifa.

Maana ilikuwa sio Tamasha bali ni vibweko tosha, hata ilikuwa bado kidogo nisahau kuwa ninapaswa kutazama Mwanajangwani aliyepoteza uelekeo kule Port Harcout - Nigeria. Kiufupi kichekesho kimojawapo kilikuwa ni kuwaona Mascots 4 kiwanjani. Hahaha.

Anyways tuachane na hilo.

Matarajio ya walio wengi leo pale Taifa ni kuona kama Usajili Mpya umefanikiwa kuziba mapengo au lah. Mwisho wa mechi imefahamika kuwa licha ya kuwa TP Mazembe haiko kwenye ubora wake bado usajili mpya haukuweza kufaa vya kutosha hata kuleta ushindi kwenye siku ya tukio kubwa kama ile. (Kuna mtu alininong'oneza kuwa pengine ni ujio wa Mgeni rasmi ndio ulisababisha ushindi kwa TP Mazembe), lakini haikuwan kweli.

Usajili wa Simba ulifanywa kwa lengo la kubahatisha ili kuona kama inawezekana kuziba mapengo ya Chama & Miqquie.

1. Benard Morrison

Huyu dogo ameacha kucheza mpira uwanjani na sasa amekuwa anaucheza mpira mwingi sana nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja. Ila kwa umachachari wake bado atawaweka benchi wakina Migomba.

2. Kanoute
Kijana ana kiwango cha kawaida na wala sio cha kutisha. Hajamfikia Chama hata nusu. Uwezo wake unafanana na mdogo wangu wa Baraka Majogoro wa Polisi Tanzania. Hapa pengo la chama halijazibwa.

3. Kibu
Kijana alihitaji muda zaidi wa kufanya vyema kwingine. Ni aina ile ile ya washambuliaji wa kibongo (Kama Ditram Nchimbi) ambao wana nguuuvu nyingi ila akili hazijai kisoda mara walisogeleapo lango la mpinzani.

4. P.O Sakho
Ana uwezo mguuuni ila ata struggle sana kufikia uweko wa Miqqiesone kwa sababu mpira wake hauna tofauti na Benard Morrison/Konde boy aliyekuja Yanga kufanya majaribio. Huyu naye ni machachari na sio hatari.

5. Banda
Atasumbua kibongo bongo tu na sio kimataifa, na mara wakina nyoso wakianza kumtomasa tomasa miguuni ataanza kushinda muhimbili kama yule dogo wa Azam yaani Prince Dube. Huyu naye ni machachari na sio hatari.

6. Beki - Ibaka
Bonge moja la beki, hana makosa makosa ya kishamba kama wakina wana & onyango. Hata hivyo hatopata sana nafasi kutokana na chemistry iliyoko kati ya wawa & onyango.

Bado ninadiliki kusema kuwa mtani alikuwa na kikosi kizuri zaidi msimu uliopita kuliko msimu huu. Kama msimu uliopita na ubora wake wote aliambulia alama 1 just imagine this time around.

Ikumbukeni tarehe 25.
Nakubaliana nawe sana

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Leo nilipata wasaa wa kushuhudia Tamasha la Vichekesho kutoka kwa watani zangu pale Taifa.

Maana ilikuwa sio Tamasha bali ni vibweko tosha, hata ilikuwa bado kidogo nisahau kuwa ninapaswa kutazama Mwanajangwani aliyepoteza uelekeo kule Port Harcout - Nigeria. Kiufupi kichekesho kimojawapo kilikuwa ni kuwaona Mascots 4 kiwanjani. Hahaha.

Anyways tuachane na hilo.

Matarajio ya walio wengi leo pale Taifa ni kuona kama Usajili Mpya umefanikiwa kuziba mapengo au lah. Mwisho wa mechi imefahamika kuwa licha ya kuwa TP Mazembe haiko kwenye ubora wake bado usajili mpya haukuweza kufaa vya kutosha hata kuleta ushindi kwenye siku ya tukio kubwa kama ile. (Kuna mtu alininong'oneza kuwa pengine ni ujio wa Mgeni rasmi ndio ulisababisha ushindi kwa TP Mazembe), lakini haikuwan kweli.

Usajili wa Simba ulifanywa kwa lengo la kubahatisha ili kuona kama inawezekana kuziba mapengo ya Chama & Miqquie.

1. Benard Morrison

Huyu dogo ameacha kucheza mpira uwanjani na sasa amekuwa anaucheza mpira mwingi sana nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja. Ila kwa umachachari wake bado atawaweka benchi wakina Migomba.

2. Kanoute
Kijana ana kiwango cha kawaida na wala sio cha kutisha. Hajamfikia Chama hata nusu. Uwezo wake unafanana na mdogo wangu wa Baraka Majogoro wa Polisi Tanzania. Hapa pengo la chama halijazibwa.

3. Kibu
Kijana alihitaji muda zaidi wa kufanya vyema kwingine. Ni aina ile ile ya washambuliaji wa kibongo (Kama Ditram Nchimbi) ambao wana nguuuvu nyingi ila akili hazijai kisoda mara walisogeleapo lango la mpinzani.

4. P.O Sakho
Ana uwezo mguuuni ila ata struggle sana kufikia uweko wa Miqqiesone kwa sababu mpira wake hauna tofauti na Benard Morrison/Konde boy aliyekuja Yanga kufanya majaribio. Huyu naye ni machachari na sio hatari.

5. Banda
Atasumbua kibongo bongo tu na sio kimataifa, na mara wakina nyoso wakianza kumtomasa tomasa miguuni ataanza kushinda muhimbili kama yule dogo wa Azam yaani Prince Dube. Huyu naye ni machachari na sio hatari.

6. Beki - Ibaka
Bonge moja la beki, hana makosa makosa ya kishamba kama wakina wana & onyango. Hata hivyo hatopata sana nafasi kutokana na chemistry iliyoko kati ya wawa & onyango.

Bado ninadiliki kusema kuwa mtani alikuwa na kikosi kizuri zaidi msimu uliopita kuliko msimu huu. Kama msimu uliopita na ubora wake wote aliambulia alama 1 just imagine this time around.

Ikumbukeni tarehe 25.
Return of champions tunaomba na tathmini yako ya nigeria..
Utani pembeni.
Kwa mtu anayejua mpira kijana kanoute kwa mechi yake ya kwanza ya upinzani simba kaonyesha utulivu wa hali ya juu, hana papara, pasi za uhakika na ni pasi za mbele, mlinganishe na chama mechibyake ya kwanza kubwa akiwa simba pia jamaa ni box to box sio namba 10 kama chama...
 
Leo nilipata wasaa wa kushuhudia Tamasha la Vichekesho kutoka kwa watani zangu pale Taifa.

Maana ilikuwa sio Tamasha bali ni vibweko tosha, hata ilikuwa bado kidogo nisahau kuwa ninapaswa kutazama Mwanajangwani aliyepoteza uelekeo kule Port Harcout - Nigeria. Kiufupi kichekesho kimojawapo kilikuwa ni kuwaona Mascots 4 kiwanjani. Hahaha.

Anyways tuachane na hilo.

Matarajio ya walio wengi leo pale Taifa ni kuona kama Usajili Mpya umefanikiwa kuziba mapengo au lah. Mwisho wa mechi imefahamika kuwa licha ya kuwa TP Mazembe haiko kwenye ubora wake bado usajili mpya haukuweza kufaa vya kutosha hata kuleta ushindi kwenye siku ya tukio kubwa kama ile. (Kuna mtu alininong'oneza kuwa pengine ni ujio wa Mgeni rasmi ndio ulisababisha ushindi kwa TP Mazembe), lakini haikuwan kweli.

Usajili wa Simba ulifanywa kwa lengo la kubahatisha ili kuona kama inawezekana kuziba mapengo ya Chama & Miqquie.

1. Benard Morrison

Huyu dogo ameacha kucheza mpira uwanjani na sasa amekuwa anaucheza mpira mwingi sana nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja. Ila kwa umachachari wake bado atawaweka benchi wakina Migomba.

2. Kanoute
Kijana ana kiwango cha kawaida na wala sio cha kutisha. Hajamfikia Chama hata nusu. Uwezo wake unafanana na mdogo wangu wa Baraka Majogoro wa Polisi Tanzania. Hapa pengo la chama halijazibwa.

3. Kibu
Kijana alihitaji muda zaidi wa kufanya vyema kwingine. Ni aina ile ile ya washambuliaji wa kibongo (Kama Ditram Nchimbi) ambao wana nguuuvu nyingi ila akili hazijai kisoda mara walisogeleapo lango la mpinzani.

4. P.O Sakho
Ana uwezo mguuuni ila ata struggle sana kufikia uweko wa Miqqiesone kwa sababu mpira wake hauna tofauti na Benard Morrison/Konde boy aliyekuja Yanga kufanya majaribio. Huyu naye ni machachari na sio hatari.

5. Banda
Atasumbua kibongo bongo tu na sio kimataifa, na mara wakina nyoso wakianza kumtomasa tomasa miguuni ataanza kushinda muhimbili kama yule dogo wa Azam yaani Prince Dube. Huyu naye ni machachari na sio hatari.

6. Beki - Ibaka
Bonge moja la beki, hana makosa makosa ya kishamba kama wakina wana & onyango. Hata hivyo hatopata sana nafasi kutokana na chemistry iliyoko kati ya wawa & onyango.

Bado ninadiliki kusema kuwa mtani alikuwa na kikosi kizuri zaidi msimu uliopita kuliko msimu huu. Kama msimu uliopita na ubora wake wote aliambulia alama 1 just imagine this time around.

Ikumbukeni tarehe 25.
Hahahahh
 
Kwa Yanga yenu mnajitetea timu haina muunganiko ila kwa Simba hamulioni ilo!
Kwa hiyo pamoja na preseason mbili Morocco na Tz Arusha na mechi kadhaa za kujaribia bado hamjaunganika na nyie? Mimi nilifikiri hili tatizo liko upande mmoja kumbe kotekote?
 
Yaani huyu jamaa hizo comparisons zake zipo ant-clockwise kabisa nikadhani atamfananisha Kanoute na Mzamiru maana kwa game ya jana alikua na majukumu ya Mzamiru. Bora hata ungesema Bwalya hawezi kua replacement ya Chama sababu jana alikua na majukumu ya kama ya Chama.
 
Kucheza vizuri ndio nini wakati overall possession ilienda kwa TP Mazembe?
Hawa tarehe 25 hatuwaachi kabisa

Ninachoona hapa ni kwamba umeshajengeka mtazamo kuwa Simba anatakiwa afanye vizuri, akifanya vibaya kuna jambo la kuchunguzwa, lakini Yanga huwa hakuna kipya, maana tayari huwa anatazamiwa kufanya vibaya
 
Back
Top Bottom