NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Kwa Yanga yenu mnajitetea timu haina muunganiko ila kwa Simba hamulioni ilo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeniadvantaje eehn ngoja tar 25 mtajua hamjuiTatizo litakalo kuwa linawatafuna ni matarajio ya yale waliyo yafanya last season.
Yaani hilo pengo ni kubwa mno kuzibwa na hawa waliokuja.
Nilidhani kuwa ssimba inaboresha kikosi na haijengi kikosi.Kwa Yanga yenu mnajitetea timu haina muunganiko ila kwa Simba hamulioni ilo!
baba akifa na ukimwi ujue mama nae anafuataYanga imekuwaje tena mkuu kapigwa nyuma na mbele,,,namaanisha ugenini na nyumbani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Huna lolote we utopolo yani baada ya kupotea leo kwenye mashindano ya wanaume umeamua kutuletea uchambuzi uchwara ili tu ujipoze,, eti banda atakuwa injury kama dube,, sawa mtabiri na roho yako mbaya iliyochanganyika na wivuMbona haumtaji AUCHO na Makambo walau hata DJUMA? 😂 😂 😂
Au ndio unataka kutufariji mashabiki wa simba kuwa Banda kaziba pengo la Miqquisone? 😂 😂Huna lolote we utopolo yani baada ya kupotea leo kwenye mashindano ya wanaume umeamua kutuletea uchambuzi uchwara ili tu ujipoze,, eti banda atakuwa injury kama dube,, sawa mtabiri na roho yako mbaya iliyochanganyika na wivu
Nimekujibu kama ulivyoulizaKwani ukiwa kwenye siku yako ni lazima uwe na ghadhabu eti? 😂 😂
Mumekeketwa huko NigeriaLeo nilipata wasaa wa kushuhudia Tamasha la Vichekesho kutoka kwa watani zangu pale Taifa.
Maana ilikuwa sio Tamasha bali ni vibweko tosha, hata ilikuwa bado kidogo nisahau kuwa ninapaswa kutazama Mwanajangwani aliyepoteza uelekeo kule Port Harcout - Nigeria. Kiufupi kichekesho kimojawapo kilikuwa ni kuwaona Mascots 4 kiwanjani. Hahaha.
Anyways tuachane na hilo.
Matarajio ya walio wengi leo pale Taifa ni kuona kama Usajili Mpya umefanikiwa kuziba mapengo au lah. Mwisho wa mechi imefahamika kuwa licha ya kuwa TP Mazembe haiko kwenye ubora wake bado usajili mpya haukuweza kufaa vya kutosha hata kuleta ushindi kwenye siku ya tukio kubwa kama ile. (Kuna mtu alininong'oneza kuwa pengine ni ujio wa Mgeni rasmi ndio ulisababisha ushindi kwa TP Mazembe), lakini haikuwan kweli.
Usajili wa Simba ulifanywa kwa lengo la kubahatisha ili kuona kama inawezekana kuziba mapengo ya Chama & Miqquie.
1. Benard Morrison
Huyu dogo ameacha kucheza mpira uwanjani na sasa amekuwa anaucheza mpira mwingi sana nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja. Ila kwa umachachari wake bado atawaweka benchi wakina Migomba.
2. Kanoute
Kijana ana kiwango cha kawaida na wala sio cha kutisha. Hajamfikia Chama hata nusu. Uwezo wake unafanana na mdogo wangu wa Baraka Majogoro wa Polisi Tanzania. Hapa pengo la chama halijazibwa.
3. Kibu
Kijana alihitaji muda zaidi wa kufanya vyema kwingine. Ni aina ile ile ya washambuliaji wa kibongo (Kama Ditram Nchimbi) ambao wana nguuuvu nyingi ila akili hazijai kisoda mara walisogeleapo lango la mpinzani.
4. P.O Sakho
Ana uwezo mguuuni ila ata struggle sana kufikia uweko wa Miqqiesone kwa sababu mpira wake hauna tofauti na Benard Morrison/Konde boy aliyekuja Yanga kufanya majaribio. Huyu naye ni machachari na sio hatari.
5. Banda
Atasumbua kibongo bongo tu na sio kimataifa, na mara wakina nyoso wakianza kumtomasa tomasa miguuni ataanza kushinda muhimbili kama yule dogo wa Azam yaani Prince Dube. Huyu naye ni machachari na sio hatari.
6. Beki - Ibaka
Bonge moja la beki, hana makosa makosa ya kishamba kama wakina wana & onyango. Hata hivyo hatopata sana nafasi kutokana na chemistry iliyoko kati ya wawa & onyango.
Bado ninadiliki kusema kuwa mtani alikuwa na kikosi kizuri zaidi msimu uliopita kuliko msimu huu. Kama msimu uliopita na ubora wake wote aliambulia alama 1 just imagine this time around.
Ikumbukeni tarehe 25.
Nakubaliana nawe sanaLeo nilipata wasaa wa kushuhudia Tamasha la Vichekesho kutoka kwa watani zangu pale Taifa.
Maana ilikuwa sio Tamasha bali ni vibweko tosha, hata ilikuwa bado kidogo nisahau kuwa ninapaswa kutazama Mwanajangwani aliyepoteza uelekeo kule Port Harcout - Nigeria. Kiufupi kichekesho kimojawapo kilikuwa ni kuwaona Mascots 4 kiwanjani. Hahaha.
Anyways tuachane na hilo.
Matarajio ya walio wengi leo pale Taifa ni kuona kama Usajili Mpya umefanikiwa kuziba mapengo au lah. Mwisho wa mechi imefahamika kuwa licha ya kuwa TP Mazembe haiko kwenye ubora wake bado usajili mpya haukuweza kufaa vya kutosha hata kuleta ushindi kwenye siku ya tukio kubwa kama ile. (Kuna mtu alininong'oneza kuwa pengine ni ujio wa Mgeni rasmi ndio ulisababisha ushindi kwa TP Mazembe), lakini haikuwan kweli.
Usajili wa Simba ulifanywa kwa lengo la kubahatisha ili kuona kama inawezekana kuziba mapengo ya Chama & Miqquie.
1. Benard Morrison
Huyu dogo ameacha kucheza mpira uwanjani na sasa amekuwa anaucheza mpira mwingi sana nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja. Ila kwa umachachari wake bado atawaweka benchi wakina Migomba.
2. Kanoute
Kijana ana kiwango cha kawaida na wala sio cha kutisha. Hajamfikia Chama hata nusu. Uwezo wake unafanana na mdogo wangu wa Baraka Majogoro wa Polisi Tanzania. Hapa pengo la chama halijazibwa.
3. Kibu
Kijana alihitaji muda zaidi wa kufanya vyema kwingine. Ni aina ile ile ya washambuliaji wa kibongo (Kama Ditram Nchimbi) ambao wana nguuuvu nyingi ila akili hazijai kisoda mara walisogeleapo lango la mpinzani.
4. P.O Sakho
Ana uwezo mguuuni ila ata struggle sana kufikia uweko wa Miqqiesone kwa sababu mpira wake hauna tofauti na Benard Morrison/Konde boy aliyekuja Yanga kufanya majaribio. Huyu naye ni machachari na sio hatari.
5. Banda
Atasumbua kibongo bongo tu na sio kimataifa, na mara wakina nyoso wakianza kumtomasa tomasa miguuni ataanza kushinda muhimbili kama yule dogo wa Azam yaani Prince Dube. Huyu naye ni machachari na sio hatari.
6. Beki - Ibaka
Bonge moja la beki, hana makosa makosa ya kishamba kama wakina wana & onyango. Hata hivyo hatopata sana nafasi kutokana na chemistry iliyoko kati ya wawa & onyango.
Bado ninadiliki kusema kuwa mtani alikuwa na kikosi kizuri zaidi msimu uliopita kuliko msimu huu. Kama msimu uliopita na ubora wake wote aliambulia alama 1 just imagine this time around.
Ikumbukeni tarehe 25.
Return of champions tunaomba na tathmini yako ya nigeria..Leo nilipata wasaa wa kushuhudia Tamasha la Vichekesho kutoka kwa watani zangu pale Taifa.
Maana ilikuwa sio Tamasha bali ni vibweko tosha, hata ilikuwa bado kidogo nisahau kuwa ninapaswa kutazama Mwanajangwani aliyepoteza uelekeo kule Port Harcout - Nigeria. Kiufupi kichekesho kimojawapo kilikuwa ni kuwaona Mascots 4 kiwanjani. Hahaha.
Anyways tuachane na hilo.
Matarajio ya walio wengi leo pale Taifa ni kuona kama Usajili Mpya umefanikiwa kuziba mapengo au lah. Mwisho wa mechi imefahamika kuwa licha ya kuwa TP Mazembe haiko kwenye ubora wake bado usajili mpya haukuweza kufaa vya kutosha hata kuleta ushindi kwenye siku ya tukio kubwa kama ile. (Kuna mtu alininong'oneza kuwa pengine ni ujio wa Mgeni rasmi ndio ulisababisha ushindi kwa TP Mazembe), lakini haikuwan kweli.
Usajili wa Simba ulifanywa kwa lengo la kubahatisha ili kuona kama inawezekana kuziba mapengo ya Chama & Miqquie.
1. Benard Morrison
Huyu dogo ameacha kucheza mpira uwanjani na sasa amekuwa anaucheza mpira mwingi sana nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja. Ila kwa umachachari wake bado atawaweka benchi wakina Migomba.
2. Kanoute
Kijana ana kiwango cha kawaida na wala sio cha kutisha. Hajamfikia Chama hata nusu. Uwezo wake unafanana na mdogo wangu wa Baraka Majogoro wa Polisi Tanzania. Hapa pengo la chama halijazibwa.
3. Kibu
Kijana alihitaji muda zaidi wa kufanya vyema kwingine. Ni aina ile ile ya washambuliaji wa kibongo (Kama Ditram Nchimbi) ambao wana nguuuvu nyingi ila akili hazijai kisoda mara walisogeleapo lango la mpinzani.
4. P.O Sakho
Ana uwezo mguuuni ila ata struggle sana kufikia uweko wa Miqqiesone kwa sababu mpira wake hauna tofauti na Benard Morrison/Konde boy aliyekuja Yanga kufanya majaribio. Huyu naye ni machachari na sio hatari.
5. Banda
Atasumbua kibongo bongo tu na sio kimataifa, na mara wakina nyoso wakianza kumtomasa tomasa miguuni ataanza kushinda muhimbili kama yule dogo wa Azam yaani Prince Dube. Huyu naye ni machachari na sio hatari.
6. Beki - Ibaka
Bonge moja la beki, hana makosa makosa ya kishamba kama wakina wana & onyango. Hata hivyo hatopata sana nafasi kutokana na chemistry iliyoko kati ya wawa & onyango.
Bado ninadiliki kusema kuwa mtani alikuwa na kikosi kizuri zaidi msimu uliopita kuliko msimu huu. Kama msimu uliopita na ubora wake wote aliambulia alama 1 just imagine this time around.
Ikumbukeni tarehe 25.
HahahahhLeo nilipata wasaa wa kushuhudia Tamasha la Vichekesho kutoka kwa watani zangu pale Taifa.
Maana ilikuwa sio Tamasha bali ni vibweko tosha, hata ilikuwa bado kidogo nisahau kuwa ninapaswa kutazama Mwanajangwani aliyepoteza uelekeo kule Port Harcout - Nigeria. Kiufupi kichekesho kimojawapo kilikuwa ni kuwaona Mascots 4 kiwanjani. Hahaha.
Anyways tuachane na hilo.
Matarajio ya walio wengi leo pale Taifa ni kuona kama Usajili Mpya umefanikiwa kuziba mapengo au lah. Mwisho wa mechi imefahamika kuwa licha ya kuwa TP Mazembe haiko kwenye ubora wake bado usajili mpya haukuweza kufaa vya kutosha hata kuleta ushindi kwenye siku ya tukio kubwa kama ile. (Kuna mtu alininong'oneza kuwa pengine ni ujio wa Mgeni rasmi ndio ulisababisha ushindi kwa TP Mazembe), lakini haikuwan kweli.
Usajili wa Simba ulifanywa kwa lengo la kubahatisha ili kuona kama inawezekana kuziba mapengo ya Chama & Miqquie.
1. Benard Morrison
Huyu dogo ameacha kucheza mpira uwanjani na sasa amekuwa anaucheza mpira mwingi sana nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja. Ila kwa umachachari wake bado atawaweka benchi wakina Migomba.
2. Kanoute
Kijana ana kiwango cha kawaida na wala sio cha kutisha. Hajamfikia Chama hata nusu. Uwezo wake unafanana na mdogo wangu wa Baraka Majogoro wa Polisi Tanzania. Hapa pengo la chama halijazibwa.
3. Kibu
Kijana alihitaji muda zaidi wa kufanya vyema kwingine. Ni aina ile ile ya washambuliaji wa kibongo (Kama Ditram Nchimbi) ambao wana nguuuvu nyingi ila akili hazijai kisoda mara walisogeleapo lango la mpinzani.
4. P.O Sakho
Ana uwezo mguuuni ila ata struggle sana kufikia uweko wa Miqqiesone kwa sababu mpira wake hauna tofauti na Benard Morrison/Konde boy aliyekuja Yanga kufanya majaribio. Huyu naye ni machachari na sio hatari.
5. Banda
Atasumbua kibongo bongo tu na sio kimataifa, na mara wakina nyoso wakianza kumtomasa tomasa miguuni ataanza kushinda muhimbili kama yule dogo wa Azam yaani Prince Dube. Huyu naye ni machachari na sio hatari.
6. Beki - Ibaka
Bonge moja la beki, hana makosa makosa ya kishamba kama wakina wana & onyango. Hata hivyo hatopata sana nafasi kutokana na chemistry iliyoko kati ya wawa & onyango.
Bado ninadiliki kusema kuwa mtani alikuwa na kikosi kizuri zaidi msimu uliopita kuliko msimu huu. Kama msimu uliopita na ubora wake wote aliambulia alama 1 just imagine this time around.
Ikumbukeni tarehe 25.
Kwa hiyo pamoja na preseason mbili Morocco na Tz Arusha na mechi kadhaa za kujaribia bado hamjaunganika na nyie? Mimi nilifikiri hili tatizo liko upande mmoja kumbe kotekote?Kwa Yanga yenu mnajitetea timu haina muunganiko ila kwa Simba hamulioni ilo!
Kucheza vizuri ndio nini wakati overall possession ilienda kwa TP Mazembe?
Hawa tarehe 25 hatuwaachi kabisa