Nilichokikuta kwa Hamisa Instagram

Mmmh nilikuw naona tu kile kipindi kuna maneno ya kutoka na diamond alivokw akijishebedua
 
Mmmh nilikuw naona tu kile kipindi kuna maneno ya kutoka na diamond alivokw akijishebedua
hamna hivi lulu anavyomtambia mwenzie jamani hamuoni
loohh!!yaani hamisa hata kuomhea haongei!
 
Mwenye shati la kitenge lenye mabaka ya kenge mziki mzito kwa mabronzooooo machiziii walimu na wanafunzi ni kazeze ni kazeze.
 
Naona kama ajifanya mjuvi wa kila kitu hali ya kuwa hajimudu kiivyo!!?
 
Iyo picha n dongo! Jamaa kainama kazomewa kainuka kachekewa kinafki! inamaana lulu ana m ng'ong'a msela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…