Nenda kwenye jukwaa la siasa kajadili na wenzio ayo ya tanzania ya viwanda sisi wajinga tuache tujadili vya ujinga mnakera sana kwan mnalazimishwa kuingia umuHili jukwaa ni jukwaa lipi maana nahisi nimepotea njia...acheni kujadili ujinga anzeni kuwaza Tanzania ya viwanda inafanikiwaje....
[emoji28][emoji28]Yuko Ndanda kwa sasa
Hahahahaaaaaaaaaaaa yaelekea umepotea njia mkuuu.Hili jukwaa ni jukwaa lipi maana nahisi nimepotea njia...acheni kujadili ujinga anzeni kuwaza Tanzania ya viwanda inafanikiwaje....
una matatizo.... humu kuna majukwaa kibao hili ni special kwaajili ya hizi mambo hivyo viwanda vyako nenda jukwaa la siasaHili jukwaa ni jukwaa lipi maana nahisi nimepotea njia...acheni kujadili ujinga anzeni kuwaza Tanzania ya viwanda inafanikiwaje....
Ni kweli hamshindi luluhamshindi lulu jamani!
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] safi mine!una matatizo.... humu kuna majukwaa kibao hili ni special kwaajili ya hizi mambo hivyo viwanda vyako nenda jukwaa la siasa
Lulu kama Mange na Faiza AllyNi kweli hamshindi lulu
[emoji28][emoji28]una matatizo.... humu kuna majukwaa kibao hili ni special kwaajili ya hizi mambo hivyo viwanda vyako nenda jukwaa la siasa
Umemsahau na wolperLulu kama Mange na Faiza Ally
wolper nae yumo ndogo ndogo!Umemsahau na wolper
Pumbafff..Hamisa n maarufu na lulu pia ndo mana yakaletwa apa ungepita tu mkuu sio lazma kuchangia au nenda jukwaa la siasa
Mwenywe mxxiuuePumbafff..
Siasa na viwanda wapi na wapi...hili jukwaa sio la kudiskas bali ni kuongelea vitu vya maendeleo kwa hao watu maarufu...mkiendelea hvyo basi sitoshangaa siku mkianza kudiskas bikini atakayovaa hamisa eti kavaa ya bei chee..inawasaidia nini?..angalau mngesema ''NJIA ANAZOTUMIA HAMISA KUJIPATIA MAENDELEO ZINZ FAA KUIGWA AMA HAZIFAI?''.....una matatizo.... humu kuna majukwaa kibao hili ni special kwaajili ya hizi mambo hivyo viwanda vyako nenda jukwaa la siasa
Huu m chezo hauhitaji hasira ww...Nenda kwenye jukwaa la siasa kajadili na wenzio ayo ya tanzania ya viwanda sisi wajinga tuache tujadili vya ujinga mnakera sana kwan mnalazimishwa kuingia umu
Kaandika tu kutafuta kikiShosti acha tu yaani!ana moyo jamani loooh!
Ile moyo mashine...!!
Sijui ningeweza mie hivi!
ndo habari ya mjini hiyoo kikiKaandika tu kutafuta kiki