Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,158
- 2,847
Hii kima imekunywa nini leo.Acha kufoka sana na kuwashauri watu vitu unavyovipenda huoo ni ushambaa
Mi nachangamkiaga chini hapa nna kibunda cha kusaza nipe namba ya bibi yetu nimchangamkie atanunua hiyo pro max na chenji itabakiHuna uwezo wakunisaidia nimekujibu ulivyokuwa unadhani sina kila mtu kama wewe nizi brand kubwa zinatumika tuu changamkaa
Hii kima imekunywa nini leo.
Nimewashauri kupenda mahitaji ya matumizi yao ambayo hata siyajui, na sio kushobokea brand kama wewe hiyo 15 pro max ukiachana na kuangalia hizo porno zako nitajie jambo la maana unalolifanya hapo,
kweli hata vijana wapumbavu wanazeekaga asee
Afu na hizo emoji za kujichekesha hivi kweli we ni mzee au ujanani walishakuharibu.
Nitolee USHAMBA hapa
Mi nachangamkiaga chini hapa nna kibunda cha kusaza nipe namba ya bibi yetu nimchangamkie atanunua hiyo pro max na chenji itabaki
Eti kuna watu wanapenda iphone kama watoto wa shule na sisi tumuulize hilo huwezi kuta mzee wa miaka 50 anataka iphone aseme hao wazee wanahitaji utoto?Kwamba wamiliki iphone hawapendi utoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Kuna watu wana utoto kama watu wa iphones??
Mfano hapa badala ya kumuelekeza number raws inakaa wapi ktk keyboard umeishia kujishebedua tu!!!!
Lingekuwa tatizo ni la android kungekuwa na watu kibao wameshamuelekeza.
Eti kuna watu wanapenda iphone kama watoto wa shule na sisi tumuulize hilo huwezi kuta mzee wa miaka 50 anataka iphone aseme hao wazee wanahitaji utoto?
The issue ni kwamba mdau amecomplain iphone ni complicated muelekezeni how it is easy ajue kuwa alikuwa hajui
Ninunulie bana jirani au unamuogopa wifi? π€£π€£π€£Jiraaaani π
Wantafutia lawama
Wifi yupi huyo tena jirani mbona simjui πNinunulie bana jirani au unamuogopa wifi? π€£π€£π€£
Wifi yupi huyo tena jirani mbona simjui π
Inawezekana mkuu ni vile huku fake id n haki yake πAfu ukute huyu ni mkeo basi tu ID za jF changamoto kujua huyu nani π
Mfyuuuu!! Si yule chapombe andunje π€£π€£π€£Wifi yupi huyo tena jirani mbona simjui π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sure niliiacha I4n kisa kuna chimbo 3 zilikataa ku install, nkaona niachane nayo tyuuh.Ww uyo[emoji1787][emoji1787]
π π πUnaanza upya kumpanga mkeo Dah ukija kugundua itauma sana. Hivi si anaweza kugundua mbona hizi pigo kama za Half americanInawezekana mkuu ni vile huku fake id n haki yake π
ππMfyuuuu!! Si yule chapombe andunje π€£π€£π€£
I4n ina limitations za kiwakiii, siweziii mie.very interesting mkuu
Awezi mimi wa humu na wa mtaani ni watu 7 tofautiπ π πUnaanza upya kumpanga mkeo Dah ukija kugundua itauma sana. Hivi si anaweza kugundua mbona hizi pigo kama za Half american
Simu ni Infinix huko kwingine mnapigwa pesa Bure ππYaani nimekuwa disappointed sana na hii simu,
Ina complications na ina lack features ambazo ni za kawaida sana kwenye android.
1. Number row on keyboard hamna.
2. Text massage app yao huwezi ku schedule message
3. Nikitaka kujua running apps yaani hadi ni click katika specific area very trickly na huwezi kuzi clear kwa pamoja.
In short apple complicates everything.