Nilichokikuta kwenye iPhone sicho nilichokitarajia

Nilichokikuta kwenye iPhone sicho nilichokitarajia

Nina mwaka sasa natumia Mac Book pro, ukweli ni kwamba Windows is the best OS. Ni tools nyingi na ni rahisi kutumia, performance nzuri, look and feel nzuri etc. Device za apple ni majina tu hazina cha ziada ku compare na bei yake.
Watu wanashindwa kuelewa kitu kimoja unatakiwa unaponunua kitu kama simu angalia majority inayo kuzunguka ,sasa wewe unanunua iPhone alafu unazungukwa na window na android utateseka tu
 
kuna ukweli hapa,

simu yeyote ya 2M+ lazima iwe nzuri
ofcourse shida tunashindana brand na toleo maarufu, ni kweli kuna matoleo kweli ukiangalia unaona hii kitu sio poa, lakini ukishainunu ukajijaji kwa matumizi yako unaona mambo ni yale yale tofauti ni upya wa brand, unajikuta hakuna kipya ulichopata kimatumizi zaidi ya pride that you own new brand
 
Naijua babe, halafu nimeona maelekezo yako ya kuhusu kuongeza na kupunguza mwanga kwenye torch ikabidi nifanye majaribio maana nilikuwa sijui 🤣🤣🤣.

Ubarikiwe😊😍
😂😂😂 hizi cm zinapiga chenga tu
 
HIYO MAIL ALTERNATIVELY UNAWEZA UKAWEKA AKAUNTI YAKO YA GMAIL NA OUTLOOK ukaendelea kula maisha, so hamna haja ya kuinstall app ya gmail au outlook, nilikuwa nafanya hivyo kipindi natumia iPhone....

Reminder kwa sisi wasahaulifu nilikuwa naitumia sana, nikipata notification mambo yanakuwa fresh
I know.. ila Microsoft is the best… ina vingi nimevizoea
Ukinipeleka kwenye mail utanichanganya.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] iphone inaududu mwingi sana sema wewe ni wa kitambo umechakaa mzeee ....Very easy to use iphone but very complex kwa watu wenye utoto mwingi maana inaitaji akili tulivu kufanya utoto kwenye iphone Over !!

Am out [emoji1787][emoji1787]
Sorry, mbona ulikiandika wewe ni utoto mtupu, badala kumuelekeza aliyokosoa wewe umeishia ..............

#YNWA
 
Yaani nimekuwa disappointed sana na hii simu,
Ina complications na ina lack features ambazo ni za kawaida sana kwenye android.

1. Number row on keyboard hamna.
2. Text massage app yao huwezi ku schedule message
3. Nikitaka kujua running apps yaani hadi ni click katika specific area very trickly na huwezi kuzi clear kwa pamoja.

In short apple complicates everything.
Hakuna zaidi ya mfamle IPhone, ni zaidi ya uijuavyo. Wewe fikiria mpaka mademu wanagawa papuchi kwa hii kitu, si mchezo mkuu. Muulize mwanamke anataka ndoa au IPhone maishani mwake, usikie jibu lake.
 
Kwamba wamiliki iphone hawapendi utoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Kuna watu wana utoto kama watu wa iphones??
Mfano hapa badala ya kumuelekeza number raws inakaa wapi ktk keyboard umeishia kujishebedua tu!!!!

Lingekuwa tatizo ni la android kungekuwa na watu kibao wameshamuelekeza.
Watu wa Android wako smart sana.

Kwenye ulimwengu wa Mswahili utakuta Mtu asiye na kazi wala kipato cha Maana ndio anatumia Iphone wakati watu wenye mishe na pesa na hustlers wanatumia Android.

Hii si ndio ile category kweli?

Maana vijana wa siku hizi hadi wanauza utu waa.

Ndio maana sipendi Apple products hata kama nina uwezo navyo.
 
Kwenye uwanja wa smartfoni hakuna iiliyowahi kunisismua,iOs ishakuwa kama mdosho kila demu anayo, android ukiachana na matumizi basic hakuna jipya la kutisha,
sema wabongo tunakaushamba kwenye hizi brand kubwa ila ukiangalia performance kuna simu nyingine ziko vyedi ukikompare na brand yako ungesave hata 40%.
sina ushabiki na simu yoyote ushauri wangu tuache ushamba,
angalia unachokihitaji kwenye simu camera, processor, network coverage, upgaradable OS na mambo mengine ya msingi kuzungumzia brand ni ushamba wa kutojua matumizi ya simu, yaani unaweza kuta manzi anajibana, anadanga, anapiga mizinga ili anunue ayifoni lakini akishainunua hana matumizi yanayoendana na gharama na usumbufu aliopitia kutafuta hiyo simu, anaweka makava ya midoli na kuitoa toa mbele za watu, na kupiga selfie nje na hapo hamna cha ziada ambacho angekikosa kwenye tekno y3.
USHAMBA TU mi natumia nokia ya tochi,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe wanaotumia range au land cruise LC3000 niwashamba wajanja ni wanaotumia IST na corolla [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiwapangie watu matumizi huyo analala mika tu ndowale wanaonunua gari arafu wanalalamika yanakunywa mafuta tafuta simu unayoipenda wewe sio kusema haina maajabu wakati likitoka toleo jipya zinaongoza kwa mauzo kuliko android
 
Kwamba wamiliki iphone hawapendi utoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Kuna watu wana utoto kama watu wa iphones??
Mfano hapa badala ya kumuelekeza number raws inakaa wapi ktk keyboard umeishia kujishebedua tu!!!!

Lingekuwa tatizo ni la android kungekuwa na watu kibao wameshamuelekeza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
iPhone simu za maonesho sana ''show off'', complications kibao, limited access kwa baadhi ya apps hata watumiaji wake wengine baadhi ya app hawajui kuzitumia....

Ukiwauliza sanasana watakwambia tunaipenda kwa sababu ina security nzuri... Suala la Camera, RAM/ROM, Performance na vitu vingine ni za kawaida sana siku hizi kuna simu kali za ANDROID ukilinganisha na ''Aifoni", iPhone anakaa chini vizuri tu

Wale wa ios na apple najua mtakuja kunishambulia hapa ila ukweli ndio huo, nilishatumia hadi i14PM sijaona jipya nikaona nirudi zangu Android
Paragraph ya 1 ilifanya niachane na I4n.
 
Back
Top Bottom