Nilichokikuta kwenye iPhone sicho nilichokitarajia

Nilichokikuta kwenye iPhone sicho nilichokitarajia

Situmii audiomack aisee
Ule ni uchafu tu, yan mziki unaplay sambamba na miadd kibao? Nilishindwa
Natumia Boomplay premium… so futa Itune

Face time naitumia..

Apple watch si kwamba hatutumii, ni vile hatujanunua saa za apple. Yale ma smart watch sijawahi jaribu.
Rafiki angu anaitumia… so hii sio sababu.

Wallet naitumia + m pesa visa card

Health?? Nikishaangalia my daily steps zinanisaidia nn mie sio mwanariadha? Wapo wanaotumia

Stock.. wacheza Forex watumie tu
Kwenye android waulize wanatumia features Zote ? Some of us simu ni kwa ajili ya basics tu, be it android or iOS.

Watu utasikia wakiwaambia watu “live your life” but when comes to ios users mishipa inawatoka, kwani what happened to our motto “live your life”??? 😂

Iphone tutatumia tu hata kwa kuupgrade, naamini walioweka upgrade sio wajinga.
 
iPhone simu za maonesho sana ''show off'', complications kibao, limited access kwa baadhi ya apps hata watumiaji wake wengine baadhi ya app hawajui kuzitumia....

Ukiwauliza sanasana watakwambia tunaipenda kwa sababu ina security nzuri... Suala la Camera, RAM/ROM, Performance na vitu vingine ni za kawaida sana siku hizi kuna simu kali za ANDROID ukilinganisha na ''Aifoni", iPhone anakaa chini vizuri tu

Wale wa ios na apple najua mtakuja kunishambulia hapa ila ukweli ndio huo, nilishatumia hadi i14PM sijaona jipya nikaona nirudi zangu Android
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Uzi umebadilika kutoka Kumshauri jinsi ya kutumia namba kwenye Keyboard ya IPhone hadi vita baridi ya IPhone na Android.

Nami narusha mawe 😀Ukitoa Huawei(iliyotishia biashara nyingine mpaka kuzuiwa huko duniani) Ni shabiki kindakindaki wa Google pixel.

Apple endeleeni kulamba lips chooni
 
Kwenye android waulize wanatumia features Zote ? Some of us simu ni kwa ajili ya basics tu, be it android or iOS.

Watu utasikia wakiwaambia watu “live your life” but when comes to ios users mishipa inawatoka, kwani what happened to our motto “live your life”??? 😂

Iphone tutatumia tu hata kwa kuupgrade, naamini walioweka upgrade sio wajinga.
Our motto is mottoring unaambiwa
Moto umetuchoma mpaka tunasahau slogan “live your life” 😆

Mie binafsi watu wa kuponda IOS nashindwa kuwaelewa
Wao kama wamezoea kuvaa matambara ya Fredy si waendelee? Kwanini watuseme tunaovaa midosho ya mtumba 🤣🤣🤣🤣
 
Situmii audiomack aisee
Ule ni uchafu tu, yan mziki unaplay sambamba na miadd kibao? Nilishindwa
Natumia Boomplay premium… so futa Itune

Face time naitumia..

Apple watch si kwamba hatutumii, ni vile hatujanunua saa za apple. Yale ma smart watch sijawahi jaribu.
Rafiki angu anaitumia… so hii sio sababu.

Wallet naitumia + m pesa visa card

Health?? Nikishaangalia my daily steps zinanisaidia nn mie sio mwanariadha? Wapo wanaotumia

Stock.. wacheza Forex watumie tu
We ni mjanja unajua baadhi ya apps kuzitumia, wengine sasa ni kizungumkuti.. unaweza kumuuliza kazi ya hii app ni ipi anakwambia hajui yeye kaikuta tu
 
Yaani nimekuwa disappointed sana na hii simu,
Ina complications na ina lack features ambazo ni za kawaida sana kwenye android.

1. Number row on keyboard hamna.
2. Text massage app yao huwezi ku schedule message
3. Nikitaka kujua running apps yaani hadi ni click katika specific area very trickly na huwezi kuzi clear kwa pamoja.

In short apple complicates everything.
Number row ipo, inabidi ui activate. Bofya chini hapo:

 
Number row ipo, inabidi ui activate. Bofya chini hapo:

Khee
Kumbe shida ni kwake kutokujua? Sasa badala aulize anaponda simu.

Ahsante bibi kwa kutujulisha 😃
 
We ni mjanja unajua baadhi ya apps kuzitumia, wengine sasa ni kizungumkuti.. unaweza kumuuliza kazi ya hii app ni ipi anakwambia hajui yeye kaikuta tu
Kuna hii notes uliisahau 🤣

Naitumia kuandika ya moyoni.. na pia naitumia kuscan document.
Unaijua? Ms eyes
Mail situmii.. sbb natumia gmail na outlook
IMG_2754.jpeg
 
Back
Top Bottom