Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Umeongea jambo zito sana na lenye uhakika. 🤣🤣wacha nitafute hela niache visingizio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea jambo zito sana na lenye uhakika. 🤣🤣wacha nitafute hela niache visingizio
Hahaaa dah!Umenunu os ya iphone 5s kwenye cover ya iphone 11
Hiyo sio taaluma yake bhana , yeye ni mtumiaji wa mwisho tuKama ku operate tu ni shida,ungeambiwa ukae na kuanze ku program features za simu ingekuwaje?
Kwamba wengine hawapigi mirror selfie??wanaongoza kwa kupiga picha vyooni mbele za vioo. Wamiliki wa iphone wanatumia muda mwingi vyooni kuliko hata nzi na mende.
Sasa huo kama sio utoto ni nini?
Wewe ni Mimi Sasa ndio maana hapo kwenye animal prints palinichosha,ghafla nikasikia na I phone Daaah hatujamaliza bado kusikia🤣🤣🤣nitakuwa naku update kila nikisikia🤭🤔🤣
Makubwa,kazi ipo
Mbona tuna kazi....
Kwahiyo hata cm iphone tusitumie...🤣
Maana Kwa mfano , animal print mi ndo basi Malaya haswaa
Maana Ninavyopenda chuichui🙌
SAHIHI, unakosa uhuru wa kufanya baadhi ya mamboNi kama ka prison kadogo hivi.
wanapiga vizuri ila % kubwa wengi ni wa apple ili uone either anamiliki iphone au show off tuKwamba wengine hawapigi mirror selfie??
Kwakweli Bado tutasikia mengi....🤣Wewe ni Mimi Sasa ndio maana hapo kwenye animal prints palinichosha,ghafla nikasikia na I phone Daaah hatujamaliza bado kusikia🤣🤣🤣nitakuwa naku update kila nikisikia
sio idadi sawa na watumiaji wa iphone na nina hakika unalijua hilo mama. Kati ya kila selfie 10 za mbele ya kioo zinapostiwa na watu mbalimbali basi 8 ni za watumiaji wa iphone.Kwamba wengine hawapigi mirror selfie??
Mhh huu ni uongo….huu2014 mwishoni nilioga iphone, nilitumia siku tatu nikaiuza nusu bei baada ya kukataa kuunga bluetooth na redio ya gari, tokea siku hiyo ni mimi na android
STOCKSZitaje?
Sidhaniiii 😂sio idadi sawa na watumiaji wa iphone na nina hakika unalijua hilo mama. Kati ya kila selfie 10 za mbele ya kioo zinapostiwa na watu mbalimbali basi 8 ni za watumiaji wa iphone.
najua hudhani kwa maandishi lakini nafsi inajua kuwa nimeandika ukweli😀😀Sidhaniiii 😂
This is goodYaaan mkuu unapozungumzia performance ni uwezo processor na ram sasa hii sikuiz hakunaga kampuni ya kudharau kwenye performance sema bei yako ndo inaamua unaipata simu ya uwezo gan
Tupe uthibitisho wa kwamba iphone ni moto wa kuotea mbali hasa kwenye performanceLabda kwa manamba ya uongo uongo ila kwenye reality performances iphone ni moto wa kuotea mbali kaka sio iphone tu apple device ni next level chief
Situmii audiomack aiseeSTOCKS
FACETIME
APPLE TV
APPLE WATCH
WALLET
HEALTH
ITUNES MUSIC ( wanaona isiwe tabu tutumie audiomack kitonga 😁)