Nilichokikuta kwenye iPhone sicho nilichokitarajia

Nilichokikuta kwenye iPhone sicho nilichokitarajia

Labda kwa manamba ya uongo uongo ila kwenye reality performances iphone ni moto wa kuotea mbali kaka sio iphone tu apple device ni next level chief
Yaaan mkuu unapozungumzia performance ni uwezo processor na ram sasa hii sikuiz hakunaga kampuni ya kudharau kwenye performance sema bei yako ndo inaamua unaipata simu ya uwezo gan
 
Yaani nimekuwa disappointed sana na hii simu,
Ina complications na ina lack features ambazo ni za kawaida sana kwenye android.

1. Number row on keyboard hamna.
2. Text massage app yao huwezi ku schedule message
3. Nikitaka kujua running apps yaani hadi ni click katika specific area very trickly na huwezi kuzi clear kwa pamoja.

In short apple complicate everything.
Apple ndio walianzisha ujinga wa kuondoa SD card slots na audio jack.

Simu zao ni kama jela fulani hivi.
 
Huyo jamaa hiyo simu hajui kuitumia kabisa na inaonekana kainunua baada ya kusikia hadithi sehemu hivyo yuko kwenye mafunzo ya simu yake ameona ajifunze kwa kutoa lawama….! Unaweza kukuta hata kuwasha tochi hadi leo hajajua au kurudi back 😂😂😁😁😁😁😁
Nimecheka kwenye kuwasha tochi…

Ukute hajui hata hiyo tochi waweza punguza/ kuongeza mwanga.
 
Wenyewe wanaoprogram wanasema iphones zimetengenezwa zikiwa perfect,jamaa anauliza number raw ilipo,kama inapatikana ktk dynamic island si mnasema tu!!!!!
Kiufupi ni kama hiyo feature kwenye iphone keyboard bado ni complicated labda kama wameweza kufix kwenye matoleo yao ya hivi karibuni au utumie third party app

Nimejaribu kupitia Apple forums nimekutana na malalamiko kama haya.

Lakini hakuna solution iliyowekwa kwa ajili ya ufumbuzi wa hii changamoto. Badala yake nimeona mods wa Apple wameipiga lock uzi watu wasiendelee kulalamika.

Ila ukitaka kujua kuwa hili ni tatizo common kwenye Iphone angalia hii screenshot hapa chini inaonesha idadi ya watu waliounga mkono uzi wa mtoa mada kwa kuonesha kuwa tatizo hilo pia hata wao wanali experience.

Screenshot_20231031-151836.png
 
mwaka 2019 niliamua kuhamia iphone, hadi hivi ninavyozungumza hakuna wa kunitenganisha mimi na iphone.

Lakini uhakika ni kwamba zaidi ya 75% ya watumiaji wa iphone kwa mara ya kwanza huwa wanaona wenge sana mwanzoni.
Hizi simu zina addiction..
nilipoteza 1
Nikapewa ka infinix nitumie, huwezi amini nilikuwa nasumbuka katika matumizi.
Nikamrudishia mwenye nayo, nikatumia kitochi..
 
Mimi ni muumini wa dhehebu la SAMSUNG. Hizo iPhones nilimnunulia aliyekua mpenzi wangu enzi hizo iphone 7 bado iko chatini. Maskini wengi sana nchini Tanzania hununua iPhones.

Last time statistics za brand ipi ya simu imenunuliwa zaidi na nchi kusini mwa jangwa la sahara, samsung inaongoza.
Isipokuwa nigeria tu ambayo iphones ndio nyingi zaidi
So number zako haziendani na uhalisia
 
Well samsung wanaelekea huko
Kuanzia A23,33,53 mpaka alina S23 zote hazina headphone jack

Wenyewe apple walifanya hivyo wakiamini wanaweza expand iphone storege so no need for sd cards
Iphone ndio walioanzisha kuondoa audio jack. Najua Samsung wamefuata, lakini Apple ndio walianzisha ujinga huo.

Sasa kama unataka ku expand storage kwani lazima uondoe sd cards? Wengine tunahitaji sd cards so tuachie option.

Waseme tu walitaka kuuza simu zenye storage kubwa kwa bei kubwa zaidi, na wakiacha sd cards, watu hawatanunua simu zenye storage kubwa, watanunua sd cards kubwa tu. Tenanuk8numua sd cards unaweza kuwa nazo nyingi unabadilisha tu.

Ni tamaa ya pesa tu.
 
mimi mchaga pure ubahili lazima😂

afu iphone battery life naskia ni kamzozo
Ukiwa unalipia lipia
Unapatamo na miofa
Hapa nililipia mwezi huu mwanzoni sijui
Ona nina liofa la Nov yote mpk dec 7 hapo nalipia tena.

Depends na series
Hii niliyo nayo nikichaji home mpk nirudi tena nyumbani ndio nachaji.

Nilikuwaga na 11
Nachaji nyumbani.. alasiri pia nachaji mpk kesho yake
IMG_2752.jpeg
 
Kwamba wamiliki iphone hawapendi utoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Kuna watu wana utoto kama watu wa iphones??
Mfano hapa badala ya kumuelekeza number raws inakaa wapi ktk keyboard umeishia kujishebedua tu!!!!

Lingekuwa tatizo ni la android kungekuwa na watu kibao wameshamuelekeza.
wanaongoza kwa kupiga picha vyooni mbele za vioo. Wamiliki wa iphone wanatumia muda mwingi vyooni kuliko hata nzi na mende.
Sasa huo kama sio utoto ni nini?
 
Ukiwa unalipia lipia
Unapatamo na miofa
Hapa nililipia mwezi huu mwanzoni sijui
Ona nina liofa la Nov yote mpk dec 7 hapo nalipia tena.

Depends na series
Hii niliyo nayo nikichaji home mpk nirudi tena nyumbani ndio nachaji.

Nilikuwaga na 11
Nachaji nyumbani.. alasiri pia nachaji mpk kesho yake
View attachment 2798974
wacha nitafute hela niache visingizio
 
Yaani nimekuwa disappointed sana na hii simu,
Ina complications na ina lack features ambazo ni za kawaida sana kwenye android.

1. Number row on keyboard hamna.
2. Text massage app yao huwezi ku schedule message
3. Nikitaka kujua running apps yaani hadi ni click katika specific area very trickly na huwezi kuzi clear kwa pamoja.

In short apple complicate everything.
Umenunu os ya iphone 5s kwenye cover ya iphone 11
 
Back
Top Bottom